Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,943
- 6,863
Makatibu Wakuu wa vyama vyote vya siasa wana hadhi na mamlaka sawa.Ukimsikiliza Addo Katibu mkuu wa ACT Wazalendo hakika unakiona kiburi, majivuno na hata hali ya kuvimba kama vile yeye ni..
Ushauri wangu kwake bwana mdogo yule aache majivuno ya haja kwa sababu yeye bado mchanga katika uga huu wa siasa.
Pengine kwa mindhari ya uzani huenda anafikiri ukatibu wake wa chama cha siasa anajiringanisha na ubabe wa kina Katibu mkuu wa CCM jambo ambalo uzani wao si sawasawa hata kidogo.
Ki hadhi na ki mamlaka Katibu mkuu wa CCM bado anayo heshima ya kipekee tofauti kabisa na ukatibu wa akina Addo.
Amandla...