johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema Chama cha Siasa hakiuzi Nyanya Vitunguu wala Maandazi bali kinauza Mawazo na Mteja wake ni Nchi
Naye Katibu mkuu Addo Shaibu amesema Chama makini lengo lake ni zaidi ya kuchukua Dola bali kuwakomboa kabisa Wananchi
Source ITV habari
Naye Katibu mkuu Addo Shaibu amesema Chama makini lengo lake ni zaidi ya kuchukua Dola bali kuwakomboa kabisa Wananchi
Source ITV habari