Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,465
- Thread starter
- #81
Mpitie na Fia Tanga (Fyatanga) huku Tegeta...kuna supu nzuri kweli na nyama choma!!lol
Pale yupo Ashura - Ukimtizama supu inashuka saaaaafi!
Mpitie na Fia Tanga (Fyatanga) huku Tegeta...kuna supu nzuri kweli na nyama choma!!lol
Mkuu kuna yule Enjo(sio Angel) alikuwa pale DECA INN Boko....akaja profesa mmoja akamzoa akamwachisha kazi na mimba juu....hajakaa vizuri akatinga dalali wa viwanja akamnunulia ka-Rav 4...yule prof kawa kama chizi manake alihama home kwa mazahausi akahamia kwa Enjo sasa hivi chumba yuko peke yake
na wengi walifunikia aiseeHii inanikumbusha miaka ya 94 pale Mwenge kulikuwa na baa inaitwa Igongwe - Honestly - Ma-Profesa wengi wa Chuo Kikuu walioa Ma-Bar Maid pale!
Hii inanikumbusha miaka ya 94 pale Mwenge kulikuwa na baa inaitwa Igongwe - Honestly - Ma-Profesa wengi wa Chuo Kikuu walioa Ma-Bar Maid pale!
ni kweli kabisa BE, kuna wakati unajiuliza na kutafakari kuwa,
Laiti kiwango hiki cha uvumilivu kingekuwepo angalau kidogo tu kwa hawa wake zetu,
dunia ingekuwa mahali salama kabisa pa kuishi lol......
Pale yupo Ashura - Ukimtizama supu inashuka saaaaafi!
huo nao ni uvumilivu? damn!
Mpendwa nilidhani uko Venezia.......hao jamaa ndio mabingwa wa kuchoma mbuzi 2011
endelea tu baba enoko. Ukishavuna matokeo uje utuhabarishe pia!
Pale yupo Ashura - Ukimtizama supu inashuka saaaaafi!
Chupaku - Kila baa nzuri ina wahudumu wazuri - mimi najaribu kutafuta uhusiano katika ya BIA/NyamaChoma na Bar Maids!!
Kule Oceanic unakuta watu wamefurika kaunta siku akiwepo Arafa - akihamia kaunta ya nyuma nako kunafurika! Why?
There must be "something" that we are missing! or we are denying!
Hahahaha! Usajili mpya unahusika sana.Hivi kwa nini bar mpya inajaza sana kuliko ya zamani?Je ni kweli watu wanapitia kuangalia usajili mpya?Au maswala ya jiko nako kupima supu inachakachuliwa au lah?
yaani nakosa hata la kusema, haya bwana niwatakie kila la kheri tu.
Uzuri wa baamedi hawana wivu.
Unamkamata leo unamega........... kesho unamgawia rafiki yako..........Anamega.......... Nawe ukimkuta na jamaa yake, anakuunganishia kwa rafiki yake......unamega.....Mkikutana tena mnamegana............Maisha yanasonga mbele!
Akikuona na wife wako anauchuna kama hakujui!
BE wewe ni noumerrr!!..mimi ningekuwa mama Enock, presha juu!!..huh
Uzuri wa baamedi hawana wivu.
Unamkamata leo unamega........... kesho unamgawia rafiki yako..........Anamega.......... Nawe ukimkuta na jamaa yake, anakuunganishia kwa rafiki yake......unamega.....Mkikutana tena mnamegana............Maisha yanasonga mbele!
Akikuona na wife wako anauchuna kama hakujui!
Nyamayao - but why? Sidhani kama ni uzinzi - there is something more than that! Watu wanakimbiza magari kutoka maofisini katikati ya mji na break ya kwanza ni LAZIMA mojawapo kati ya sehemu zifuatazo:-
- Rose Garden
- Hongera Baa
- Meeda Bar
- Maryland
- Play Time
- Calabash
- The River Between
- Future Resort
- Stela Matutina
- Costi
= = = = = = = = =
- Tegeta Resort
- Madrid
- PK
- Uptodate
- BM
- By Night
- Why Not
- Zero
- KM
- Vero In
- Family Bar
- Zanzibar
- Fairway
- Nyamachabes
- Sugar Bay
- FyaTanga
- Etienes
- King Star
- Deca In
- Reina Park
- Oceanic
- Sia
- Santori
- Kibira
- Julevu
- Vigae/e.t.c
Why don't they go straight home? Just a Beer or there is also an hidden role played by Bar Maids?
Na kwa sababu tunajua ni wagawaji nasi tunazingatia USALAMA KWANZA so tuko safe kuliko kwenye ooh! Sweet, honey,darling ambako tunajiaminisha usalama upo kumbe sometime kushaungua.Uzuri wa baamedi hawana wivu.Unamkamata leo unamega........... kesho unamgawia rafiki yako..........Anamega.......... Nawe ukimkuta na jamaa yake, anakuunganishia kwa rafiki yake......unamega.....Mkikutana tena mnamegana............Maisha yanasonga mbele!Akikuona na wife wako anauchuna kama hakujui!
Hawa mabinti wana kitu ndani ya mioyo yao ambacho kinaweza kuwa cha manufaa sana katika mahusiano - Tatizo ni kuweza kufahamu nini walichonacho!
ni kweli kabisa BE, kuna wakati unajiuliza na kutafakari kuwa,
Laiti kiwango hiki cha uvumilivu kingekuwepo angalau kidogo tu kwa hawa wake zetu,
dunia ingekuwa mahali salama kabisa pa kuishi lol......
ingawaje mnanisikitisha lakini hii imebidi nicheke ama kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa.......