Addicted to "Bar Maids"

Addicted to "Bar Maids"

Bar Maids ni muhimu sana katika maisha ya wanaume walio wengi! Na honestly wanaume walio wengi wanafahamiana na Bar Maids wengi kuliko wanawake walio kwenye "proffessions" nyingine..

Kwenye phone book yangu kuna namba za Bar Maids zipatazo 40..

I'm just wondering if this is "Addiction" or what?
mkuu tupo wengi....they are easy goers na hawana gharama..teh teh teh fidel anawajua hawa
 
Basi usichuke ya Vivian wa Fairway...nshamuwahi.... HoMe Boys ya Wazo?.........Hapo kuna Fatuma nshachukua namba zake japokuwa najua ntashea na Michael wa Wazo Cement.......Jamaa kampangishia room kabisa.

Mimi ninayo ya akaunta yule shotie!

Vipi mbona FUTURE RESORT - opp na kwa Komba hauonekani siku hizi? Mishi na Jack walikuwa wanakuulizia jana!
 
mwe kwanini mnatusema ..............:A S 114:
 
Mimi ninayo ya akaunta yule shotie!

Vipi mbona FUTURE RESORT - opp na kwa Komba hauonekani siku hizi? Mishi na Jack walikuwa wanakuulizia jana!
tatizo kuna Sylvia pale Africana Pub..........(.Hivi hata wahudumu wa jikoni nao si ni mabaamedi?).........Alikuwa ananisumbua sana... Lakini tushamalizana.
 
Hatari ipo wapi? Kuwa na namba ya msichana ni hatari kumbe? I did not know!!!

BTW: Hakuna watu wanaofahamiana na watu kwa undani kama "Bar Maids"! These "ladies" knows everything about everybody - trust me!
baba if somebody (especially a mere bar maid) knows 'everything' about u wewe huoni kama hiyo ni probleme??? not only about you, but also about everybody.....!!!" ooh any way kila mtu na mtazamo wake, but to me its no safe for my 'everything' to be known by someone like bar maid ambaye leo yuko huku na kesho yuko kule, at least angekuwa ni mtu ambae mna mahusiano ya angalau kudumu kama ndoa hivi, undugu wa damu etc!
 
Mimi ninayo ya akaunta yule shotie!

Vipi mbona FUTURE RESORT - opp na kwa Komba hauonekani siku hizi? Mishi na Jack walikuwa wanakuulizia jana!


kazi tunayo kwa kweli, tena nzito haswaa, naomba kujua matumizi ya hizo nos.
 
Back
Top Bottom