Addicted to "Bar Maids"

Addicted to "Bar Maids"

Ana rafiki yake mmoja siku hizi namwona pale PK Pub Tegeta.

Hivi yule Mwainaisha alikuwa kwa MMASI aka Zanzibar yupo wapi siku hizi? Jana niliona mtu kama yeye mitaa ya Standard Bar - Ubungo!
 
Nyiye watamu unajua!
Uzuri wa baamedi hawana wivu.

Unamkamata leo unamega........... kesho unamgawia rafiki yako..........Anamega.......... Nawe ukimkuta na jamaa yake, anakuunganishia kwa rafiki yake......unamega.....Mkikutana tena mnamegana............Maisha yanasonga mbele!

Akikuona na wife wako anauchuna kama hakujui!
 
baba if somebody (especially a mere bar maid) knows 'everything' about u wewe huoni kama hiyo ni probleme??? not only about you, but also about everybody.....!!!" ooh any way kila mtu na mtazamo wake, but to me its no safe for my 'everything' to be known by someone like bar maid ambaye leo yuko huku na kesho yuko kule, at least angekuwa ni mtu ambae mna mahusiano ya angalau kudumu kama ndoa hivi, undugu wa damu etc!

muhanga - Kama haujawahi kukaa na kuongea na Bar Maids unaweza ukawa unawachukulia POA! Lakini nenda pale ROMBO Green View au Rose Garden umpe mmoja bia halafu mdadisi kuhusu kitu fulani au mtu fulani - you will be amazed!
 
Pale Fairway nilipita juzi nikitoka site....wameleta kapya keupee....jizee moja liko NBC na miwani mikubwa lilikuwa nae buzy hadi saa tano naondoka bado lipo nae
 
kazi tunayo kwa kweli, tena nzito haswaa, naomba kujua matumizi ya hizo nos.

Hizo namba ni kwa ajili ya kufanya "order" - ya nyama choma, makange, na bia za bariiiiiiiidi - kuna sehemu uwezi kupata bia aina zote kwahiyo unapiga simu mapema ili ku-confirm availability!
 
Nhisi kama ni utani vile, kama kweli anza kwenda na mkeo bar, uko hatarini.
 
Hizo namba ni kwa ajili ya kufanya "order" - ya nyama choma, makange, na bia za bariiiiiiiidi - kuna sehemu uwezi kupata bia aina zote kwahiyo unapiga simu mapema ili ku-confirm availability!

Baeleze baelewe.......nakupa na hizi:

Kawe Club(samaki wa kuchoma safi) 0656-672550
Safari Carnival (michemsho,makange etc) 0713-772805
 
Mweeee nitamsindikiza kila mahali sasa ni :music:nini kutugeuza cartoon watoto wa wenzenu.


Uzuri wa baamedi hawana wivu.

Unamkamata leo unamega........... kesho unamgawia rafiki yako..........Anamega.......... Nawe ukimkuta na jamaa yake, anakuunganishia kwa rafiki yake......unamega.....Mkikutana tena mnamegana............Maisha yanasonga mbele!

Akikuona na wife wako anauchuna kama hakujui!
 
Uzuri wa baamedi hawana wivu.

Unamkamata leo unamega........... kesho unamgawia rafiki yako..........Anamega.......... Nawe ukimkuta na jamaa yake, anakuunganishia kwa rafiki yake......unamega.....Mkikutana tena mnamegana............Maisha yanasonga mbele!

Akikuona na wife wako anauchuna kama hakujui!



huwa najiuliza kuwa haya maadili wameyatoa wapi? lol......
Ni uvumilivu wa kiwango cha juu kabisa.................
 
huwa najiuliza kuwa haya maadili wameyatoa wapi? lol......
Ni uvumilivu wa kiwango cha juu kabisa.................

Tatizo na huduma zinadorora......ndio maana watu huwaacha mawaifu homu.....
 
Mpitie na Fia Tanga (Fyatanga) huku Tegeta...kuna supu nzuri kweli na nyama choma!!lol
 
Hizo namba ni kwa ajili ya kufanya "order" - ya nyama choma, makange, na bia za bariiiiiiiidi - kuna sehemu uwezi kupata bia aina zote kwahiyo unapiga simu mapema ili ku-confirm availability!

yaani mnajua bar zote hapo Dar, mnakaaga saa ngapi na kina Enock jamani?
 
huwa najiuliza kuwa haya maadili wameyatoa wapi? lol......
Ni uvumilivu wa kiwango cha juu kabisa.................

Hawa mabinti wana kitu ndani ya mioyo yao ambacho kinaweza kuwa cha manufaa sana katika mahusiano - Tatizo ni kuweza kufahamu nini walichonacho!
 
Uzuri wa baamedi hawana wivu.

Unamkamata leo unamega........... kesho unamgawia rafiki yako..........Anamega.......... Nawe ukimkuta na jamaa yake, anakuunganishia kwa rafiki yake......unamega.....Mkikutana tena mnamegana............Maisha yanasonga mbele!

Akikuona na wife wako anauchuna kama hakujui!

mhh hawa viumbe jamani, bac tu.
 
Hawa mabinti wana kitu ndani ya mioyo yao ambacho kinaweza kuwa cha manufaa sana katika mahusiano - Tatizo ni kuweza kufahamu nini walichonacho!


ni kweli kabisa BE, kuna wakati unajiuliza na kutafakari kuwa,
Laiti kiwango hiki cha uvumilivu kingekuwepo angalau kidogo tu kwa hawa wake zetu,
dunia ingekuwa mahali salama kabisa pa kuishi lol......
 
Hawa mabinti wana kitu ndani ya mioyo yao ambacho kinaweza kuwa cha manufaa sana katika mahusiano - Tatizo ni kuweza kufahamu nini walichonacho!

Mkuu kuna yule Enjo(sio Angel) alikuwa pale DECA INN Boko....akaja profesa mmoja akamzoa akamwachisha kazi na mimba juu....hajakaa vizuri akatinga dalali wa viwanja akamnunulia ka-Rav 4...yule prof kawa kama chizi manake alihama home kwa mazahausi akahamia kwa Enjo sasa hivi chumba yuko peke yake
 
ingawaje mnanisikitisha lakini hii imebidi nicheke ama kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa.......

Mkuu kuna yule Enjo(sio Angel) alikuwa pale DECA INN Boko....akaja profesa mmoja akamzoa akamwachisha kazi na mimba juu....hajakaa vizuri akatinga dalali wa viwanja akamnunulia ka-Rav 4...yule prof kawa kama chizi manake alihama home kwa mazahausi akahamia kwa Enjo sasa hivi chumba yuko peke yake
 
Back
Top Bottom