ADC wamjia juu Lissu

Samahani bila kutoa mapovu waungwana wa ccm , chadema inawatakiwa wafanye nini ili waruhusiwe kufanya siasa na mikutano ya ndani na nje ? Maana inawezekana wanakosea ila hawajui. Ishu ya kuomba vibali wanaomba ila ma Rpc hawatoi na kuwanyima ,je wakinyimwa wafanyaje na kama hakuna sababu yoyote ya msingi ya kuwazuia?

Tutoe mawazo ya kujenga ,itasaidia kuondoa marumbano haya.
 
ADC wenge shauri serikali kufuata katiba, sheria, kanuni na miongozo mbalimbali lakini sio kuropoka huku mambo yanaendesha na mtu mmoja, wakati nchi inaongozo kwa mfumo! Watu wanafukushwa ovyo bila kufuata sheria, fuatine sheria hakuna wa kuhoji wa kulalamika!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Kwamba chadema mmeshindwa kupambana na ccm na selikali yake?

......
Shule ni muhimu sana bibie. Selikali ndio kitu gani?
Mbona upo nnje ya mada dada?

Sent from my Kremlin using JamiiForum mobile app
 
Nyie misaliti mnaoshinda sebuleni kwa mifisiem mna la kusema kuhusu mapambano kweli!!??
 
~~~>>>ADC ni chama cha kufa na kuzikana ama?,,
 
Baada use ADC, ACT bado Uvccm any time watakuwa on air
 


Nimejaribu kutathmini kama uhusika wa kina Matonya na Makao Makuu ya Serikali kupelekwa Dodoma vinawiana ni jambo la makusudi au ni kiashiria cha tabia zetu za kupenda misaada na vitu vya burebure? Ninashangaa watu wanapotoa kauli za kupingana na mkuu wa Nchi, Tanzania si nchi ombaomba ni nchi tajiri jambo ambalo kiukweli kwa rasilimali tulizonazo zinathibitisha ukweli huo. Hiki alichokifanya Katibu Mkuu wa ADC kinaashilia umatonya bila tone la shaka ndani yake. Je kuombaomba na kuishi kwa misaada kunaweza kutukomboa kutoka katika lindi la ujinga na utegemezi? Je tutaendelea kuwa magoigoi hadi lini? Au Katibu wa ADC anafurahia anapopewa T-Shirt bila cha kumstiri nyeti zake au Chumvi bila kujua kitoweo gani atakikolezea chumvi hiyo?
Hivi tumefikia mahala pa kupagawa kwa ajili ya misaada? Ikiwa ndivyo je masharti ya misaada hatuyajui madhara yake? Na je ikiwa tunahitaji misaada kwanini tunakataa kile tulichokikubali mwaka 1992?
 
Wana criteria zao za kunyima misaada sio kwa kilio cha Lissu na chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…