Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,851
Waganga njaa hao. Wanajipendekeza wapate CHOCHOTE.ADC ni chama cha siasa au NGO
Chadema cyo chama kinachopenda maendeleo kufanywa na ccm ili wapate cha kuongea kwenye kampeni, wao wanadhani mazuri yatafanywa na viongozi wa chadema tu.huo ni ujingaIko hivi,
misaada kwa wahisani hutolewa kwa nchi inayoheshimu demokrasia na haki za binadamu, nchi inayokandamiza haki za binadamu na demokrasia inanyimwa misaada ya wahisani, sasa ili Nduli aheshimu misingi ya haki za binadamu na demokrasia nchini anapaswa kunyimwa hisani zote na hao wazungu.
Hayawani ni wewe na wanaccm wote mnaohamaki baada ya kuona wazungu wanajulishwa kuwa hatustahili hisani kwakuwa serikali yetu inakandamiza haki za binadamu na kukiuka misingi ya demokrasia.
Demokrsasia + haki za binadamu = Misaada kutoka kwa wahisani.
Wana criteria zao za kunyima misaada sio kwa kilio cha Lissu na chadema
kivipisasa kama kilio cha Chedema na Lissu hakina madhara mbona mnapanic??
Kachemuka wapi?,,,,,,hebu soma uchambuziMkubali tu kama hapa mpendwa wenu kachemka pasipo kuweka siasa. Kuendelea kumsapoti ndio ile kuonekana hayawani .