ADC wamjia juu Lissu

ADC wamjia juu Lissu

Iko hivi,

misaada kwa wahisani hutolewa kwa nchi inayoheshimu demokrasia na haki za binadamu, nchi inayokandamiza haki za binadamu na demokrasia inanyimwa misaada ya wahisani, sasa ili Nduli aheshimu misingi ya haki za binadamu na demokrasia nchini anapaswa kunyimwa hisani zote na hao wazungu.


Hayawani ni wewe na wanaccm wote mnaohamaki baada ya kuona wazungu wanajulishwa kuwa hatustahili hisani kwakuwa serikali yetu inakandamiza haki za binadamu na kukiuka misingi ya demokrasia.

Demokrsasia + haki za binadamu = Misaada kutoka kwa wahisani.
Chadema cyo chama kinachopenda maendeleo kufanywa na ccm ili wapate cha kuongea kwenye kampeni, wao wanadhani mazuri yatafanywa na viongozi wa chadema tu.huo ni ujinga
 
Back
Top Bottom