ADC wamjia juu Lissu

Tanzania ni yetu sote, Tanzania sio ya CCM peke yake, ni ya watanzania wote, wawe wamepiga kura, kutopiga, kumchagua raisi au kutomchagua, raisi katokea chama cha ccm hivyo ni raisi wa tanzania yote, sasa cha ajabu hii nchi wapinzani wanaonekana ni maharamia, ni magaidi, hawasikilzwi wanachosema wanabezwa, wanadhihakiwa, tukae pamoja vyama vyote tuwe wa1, tujenge nchi yetu kwa mustakabli wetu wote, lakini hizi chuki, ubinafsi hazitatufikisha popote, CCM wakae na wapinzani waongee wanafanyeje kutatua kero na matatizo ya wananchi wao, lakini kama kuongea na wapinzani pa1 inaonekana kama unapatana na magaidi, hatutafika tunapotaka kwenda, chuki kati ya jamii zetu ndio zitazidi kama zinavyozidi kusambaa sasa,
 
ADC hawana hata kiongozi mmoja aliyechaguliwa na wananchi kuanzi ngazi ya mtaa, kata hadi kwenye majimbo hivyo hizo nguvu wanazotumia kumfuatilia Lissu ni bora wazihamishie kwenye kujenga chama chao.
 

Dar es Salaam.
Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC) wameitaka Chadema itoe msimamo wake kuhusu kauli ya mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu kutaka jumuiya za kimataifa zisitishe misaada kwa Tanzania.

Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan amesema kama huo hautakuwa msimamo wa Chadema ,Lissu anapaswa kuomba radhi.

Amesema kauli ya kutaka misaada isitishwe hailengi kuwatakia mema Watanzania.

"Tunadhani matatizo yetu ya ndani ni vema tukapambana nayo kuliko kutangazia ugomvi wako kwa mtu asiyekuhusu.’’

"Kwa kauli hii hizi za Chadema ni wazi wameshindwa mapambano ya ndani na sasa wanafikiria njia nyingine ambazo ni hatari zaidi katika nchi yetu,"amesema Hassan.

Amesema kama Chadema imeshindwa kupambana na CCM na Serikali yake ni wazi wawaeleze wafuasi wao kuliko kutoa matamshi ambayo yanahatarisha ustawi wa taifa letu.

ADC wamjia juu Lissu
mbona fresh tu maana hata bosi wetu kuna kipindi alisema hataki misaada so tuifanye official tu....hivi vyama vya ruzuku havijui hata vinataka nini. ccm inapotupeleka tutaumia woote sio chadema du so lazima nguvu za nje ziwepo kumtisha kidogoa aachane na mienendo hii
 
Lissu ni habari nyingine, yaani serikali mzima, ccm kama chama pamoja na vibaraka wake wote wanatoka mapovu hadi wanatia huruma
 

Dar es Salaam.
Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC) wameitaka Chadema itoe msimamo wake kuhusu kauli ya mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu kutaka jumuiya za kimataifa zisitishe misaada kwa Tanzania.

Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan amesema kama huo hautakuwa msimamo wa Chadema ,Lissu anapaswa kuomba radhi.

Amesema kauli ya kutaka misaada isitishwe hailengi kuwatakia mema Watanzania.

"Tunadhani matatizo yetu ya ndani ni vema tukapambana nayo kuliko kutangazia ugomvi wako kwa mtu asiyekuhusu.’’

"Kwa kauli hii hizi za Chadema ni wazi wameshindwa mapambano ya ndani na sasa wanafikiria njia nyingine ambazo ni hatari zaidi katika nchi yetu,"amesema Hassan.

Amesema kama Chadema imeshindwa kupambana na CCM na Serikali yake ni wazi wawaeleze wafuasi wao kuliko kutoa matamshi ambayo yanahatarisha ustawi wa taifa letu.

ADC wamjia juu Lissu

Msimamo wetu ni go go go go Lissu,ukweli na uwazi hauwezi kuiacha CCM salama.Hao ADC ni tawi la CCM
 
Chadema hawajawahi kuitakia mema hili Taifa letu; wanawakaribisha mafisadi na kuwapa nafasi za uongozi .

Chadema ni watu hatari sana kwa ustawi wa Taifa letu.
 
Back
Top Bottom