Mayonene
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 1,595
- 1,419
Akiongea Tundu upande wa pili hawalali wala kutulia Polepole bado ana load!!!
Kwa nini awaambie wazungu? Mbona tulizoea kutumia NGUVU YA UMMA? mliipotezea wapi?Iko hivi,
misaada kwa wahisani hutolewa kwa nchi inayoheshimu demokrasia na haki za binadamu, nchi inayokandamiza haki za binadamu na demokrasia inanyimwa misaada ya wahisani, sasa ili Nduli aheshimu misingi ya haki za binadamu na demokrasia nchini anapaswa kunyimwa hisani zote na hao wazungu.
Hayawani ni wewe na wanaccm wote mnaohamaki baada ya kuona wazungu wanajulishwa kuwa hatustahili hisani kwakuwa serikali yetu inakandamiza haki za binadamu na kukiuka misingi ya demokrasia.
Demokrsasia + haki za binadamu = Misaada kutoka kwa wahisani.
Kwamba chadema mmeshindwa kupambana na ccm na selikali yake?
......
ADC Jepesi na Lipumbavuni hawa wamepewa posho kuua kwa propaganda the Giant chademaa by any means hakuna upinzani bongoADC ndiyo takataka gani hiyo??
ADC ...ACT....Vyote hivi ni vitawi vya CCM
Ndg. Hebu jaribu kutulia uandike kitu kinachoeleweka, inawezekana unajambo la msingi unataka kutushirikisha.HIKI NA CHAMA AU SACCOS,MBONA HAKISIKIKI KAM WTU ANVIONGOZI WAKE WAKO HAI ANAGALAU HATA KAMA HASHEEM RUNGWE CHAUMA??????
Kwa nini awaambie wazungu? Mbona tulizoea kutumia NGUVU YA UMMA? mliipotezea wapi?
jina ADC linataka kufanana na ACT so lazima watakuwa na tabia za kufanana yan watakuwa wachumia tumbo kama ACT.......na inawezekana na wao ni tawi la chama cha makinikia
Dar es Salaam. Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC) wameitaka Chadema itoe msimamo wake kuhusu kauli ya mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu kutaka jumuiya za kimataifa zisitishe misaada kwa Tanzania.
Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan amesema kama huo hautakuwa msimamo wa Chadema ,Lissu anapaswa kuomba radhi.
Amesema kauli ya kutaka misaada isitishwe hailengi kuwatakia mema Watanzania.
"Tunadhani matatizo yetu ya ndani ni vema tukapambana nayo kuliko kutangazia ugomvi wako kwa mtu asiyekuhusu.’’
"Kwa kauli hii hizi za Chadema ni wazi wameshindwa mapambano ya ndani na sasa wanafikiria njia nyingine ambazo ni hatari zaidi katika nchi yetu,"amesema Hassan.
Amesema kama Chadema imeshindwa kupambana na CCM na Serikali yake ni wazi wawaeleze wafuasi wao kuliko kutoa matamshi ambayo yanahatarisha ustawi wa taifa letu.
ADC wamjia juu Lissu
CHADEMA ni SACCOS?ADC ni chama cha siasa au NGO
Kuzungumza siyo sawa na kuropoka.Hivi kuna chama cha siasa kinaitwa ADC?
Na kabla ya Lissu hayo matatizo ya ndani wamepambanaje?
walikuwa wapi kabla ya Lissu kuzungumza?
Hao ADC tangu lini wakapambana na matatizo ya ndani? Kiongozi wao si ni yule kibaraka wa CCM aliyezawadiwa uwaziri kule Zanzibar? Hawa wanafikiri watz wote ni wajinga? Naona wamepewa bakshishi wameanza kujitokeza kwenye media kupambana na Chadema!
Dar es Salaam. Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC) wameitaka Chadema itoe msimamo wake kuhusu kauli ya mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu kutaka jumuiya za kimataifa zisitishe misaada kwa Tanzania.
Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan amesema kama huo hautakuwa msimamo wa Chadema ,Lissu anapaswa kuomba radhi.
Amesema kauli ya kutaka misaada isitishwe hailengi kuwatakia mema Watanzania.
"Tunadhani matatizo yetu ya ndani ni vema tukapambana nayo kuliko kutangazia ugomvi wako kwa mtu asiyekuhusu.’’
"Kwa kauli hii hizi za Chadema ni wazi wameshindwa mapambano ya ndani na sasa wanafikiria njia nyingine ambazo ni hatari zaidi katika nchi yetu,"amesema Hassan.
Amesema kama Chadema imeshindwa kupambana na CCM na Serikali yake ni wazi wawaeleze wafuasi wao kuliko kutoa matamshi ambayo yanahatarisha ustawi wa taifa letu.
ADC wamjia juu Lissu
Huyo "hayawani" ndio msaada wako na familia yako-ila inabidi uwe na fikra pana kidogo kuelewa!Tatizo ni mtoa hoja au hoja yake?
CHADEMA ni muhimu ikajitenga na UHAYAWANI wa Lissu.
Viva Lissu Viva Chadema, siku njema mkuuSi anatafuta kick kwa pikipiki? Lisu ni msomi nzuri asiye na akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
jamani hamkumbuki alisema nchi yetu ni tajiri haitegemei misaada, sasa wanachomjia juu lissu nini, wanataka tuwe omba omba mpaka lini
Dar es Salaam. Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC) wameitaka Chadema itoe msimamo wake kuhusu kauli ya mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu kutaka jumuiya za kimataifa zisitishe misaada kwa Tanzania.
Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan amesema kama huo hautakuwa msimamo wa Chadema ,Lissu anapaswa kuomba radhi.
Amesema kauli ya kutaka misaada isitishwe hailengi kuwatakia mema Watanzania.
"Tunadhani matatizo yetu ya ndani ni vema tukapambana nayo kuliko kutangazia ugomvi wako kwa mtu asiyekuhusu.’’
"Kwa kauli hii hizi za Chadema ni wazi wameshindwa mapambano ya ndani na sasa wanafikiria njia nyingine ambazo ni hatari zaidi katika nchi yetu,"amesema Hassan.
Amesema kama Chadema imeshindwa kupambana na CCM na Serikali yake ni wazi wawaeleze wafuasi wao kuliko kutoa matamshi ambayo yanahatarisha ustawi wa taifa letu.
ADC wamjia juu Lissu