ADC wamjia juu Lissu

ADC wamjia juu Lissu

Iko hivi,

misaada kwa wahisani hutolewa kwa nchi inayoheshimu demokrasia na haki za binadamu, nchi inayokandamiza haki za binadamu na demokrasia inanyimwa misaada ya wahisani, sasa ili Nduli aheshimu misingi ya haki za binadamu na demokrasia nchini anapaswa kunyimwa hisani zote na hao wazungu.


Hayawani ni wewe na wanaccm wote mnaohamaki baada ya kuona wazungu wanajulishwa kuwa hatustahili hisani kwakuwa serikali yetu inakandamiza haki za binadamu na kukiuka misingi ya demokrasia.

Demokrsasia + haki za binadamu = Misaada kutoka kwa wahisani.
Kwa nini awaambie wazungu? Mbona tulizoea kutumia NGUVU YA UMMA? mliipotezea wapi?
 
Kwamba chadema mmeshindwa kupambana na ccm na selikali yake?

......

kuheshimu Demokrsasia + kuheshimu haki za binadamu = Misaada kutoka kwa wahisani.


kama mnataka hisani za wazungu mwambieni Nduli huu mchezo hauhutaji jazba.
 
Nyakati kama hizi ndiyo mapandikizi yanachipua, wamshukuru Lissu, ingalao wamesikika.
 
HIKI NA CHAMA AU SACCOS,MBONA HAKISIKIKI KAM WTU ANVIONGOZI WAKE WAKO HAI ANAGALAU HATA KAMA HASHEEM RUNGWE CHAUMA??????
 
HIKI NA CHAMA AU SACCOS,MBONA HAKISIKIKI KAM WTU ANVIONGOZI WAKE WAKO HAI ANAGALAU HATA KAMA HASHEEM RUNGWE CHAUMA??????
Ndg. Hebu jaribu kutulia uandike kitu kinachoeleweka, inawezekana unajambo la msingi unataka kutushirikisha.
 
Kwa nini awaambie wazungu? Mbona tulizoea kutumia NGUVU YA UMMA? mliipotezea wapi?

usiishi kwa mazoeya,

leo tunaongea na waznungu wainyime hii nchi hisani ili Nduli aheshimu demokrasia na haki za binadamu.

Kuheshimu demokrasia + kuheshimu haki za binadamu = Misaada kutoka kwa wahisani.
 

Dar es Salaam.
Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC) wameitaka Chadema itoe msimamo wake kuhusu kauli ya mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu kutaka jumuiya za kimataifa zisitishe misaada kwa Tanzania.

Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan amesema kama huo hautakuwa msimamo wa Chadema ,Lissu anapaswa kuomba radhi.

Amesema kauli ya kutaka misaada isitishwe hailengi kuwatakia mema Watanzania.

"Tunadhani matatizo yetu ya ndani ni vema tukapambana nayo kuliko kutangazia ugomvi wako kwa mtu asiyekuhusu.’’

"Kwa kauli hii hizi za Chadema ni wazi wameshindwa mapambano ya ndani na sasa wanafikiria njia nyingine ambazo ni hatari zaidi katika nchi yetu,"amesema Hassan.

Amesema kama Chadema imeshindwa kupambana na CCM na Serikali yake ni wazi wawaeleze wafuasi wao kuliko kutoa matamshi ambayo yanahatarisha ustawi wa taifa letu.

ADC wamjia juu Lissu
jina ADC linataka kufanana na ACT so lazima watakuwa na tabia za kufanana yan watakuwa wachumia tumbo kama ACT.......na inawezekana na wao ni tawi la chama cha makinikia
 
Hivi kuna chama cha siasa kinaitwa ADC?
Na kabla ya Lissu hayo matatizo ya ndani wamepambanaje?
walikuwa wapi kabla ya Lissu kuzungumza?
Kuzungumza siyo sawa na kuropoka.
 

Dar es Salaam.
Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC) wameitaka Chadema itoe msimamo wake kuhusu kauli ya mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu kutaka jumuiya za kimataifa zisitishe misaada kwa Tanzania.

Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan amesema kama huo hautakuwa msimamo wa Chadema ,Lissu anapaswa kuomba radhi.

Amesema kauli ya kutaka misaada isitishwe hailengi kuwatakia mema Watanzania.

"Tunadhani matatizo yetu ya ndani ni vema tukapambana nayo kuliko kutangazia ugomvi wako kwa mtu asiyekuhusu.’’

"Kwa kauli hii hizi za Chadema ni wazi wameshindwa mapambano ya ndani na sasa wanafikiria njia nyingine ambazo ni hatari zaidi katika nchi yetu,"amesema Hassan.

Amesema kama Chadema imeshindwa kupambana na CCM na Serikali yake ni wazi wawaeleze wafuasi wao kuliko kutoa matamshi ambayo yanahatarisha ustawi wa taifa letu.

ADC wamjia juu Lissu
Hao ADC tangu lini wakapambana na matatizo ya ndani? Kiongozi wao si ni yule kibaraka wa CCM aliyezawadiwa uwaziri kule Zanzibar? Hawa wanafikiri watz wote ni wajinga? Naona wamepewa bakshishi wameanza kujitokeza kwenye media kupambana na Chadema!
 
Tatizo ni mtoa hoja au hoja yake?
CHADEMA ni muhimu ikajitenga na UHAYAWANI wa Lissu.
Huyo "hayawani" ndio msaada wako na familia yako-ila inabidi uwe na fikra pana kidogo kuelewa!
 
ADC wanamtumia The Great Lissu kupata umaarufu,nadhani hata msajili wa vyama vya siasa hawatambui.
 

Dar es Salaam.
Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC) wameitaka Chadema itoe msimamo wake kuhusu kauli ya mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu kutaka jumuiya za kimataifa zisitishe misaada kwa Tanzania.

Katibu Mkuu wa ADC, Doyo Hassan amesema kama huo hautakuwa msimamo wa Chadema ,Lissu anapaswa kuomba radhi.

Amesema kauli ya kutaka misaada isitishwe hailengi kuwatakia mema Watanzania.

"Tunadhani matatizo yetu ya ndani ni vema tukapambana nayo kuliko kutangazia ugomvi wako kwa mtu asiyekuhusu.’’

"Kwa kauli hii hizi za Chadema ni wazi wameshindwa mapambano ya ndani na sasa wanafikiria njia nyingine ambazo ni hatari zaidi katika nchi yetu,"amesema Hassan.

Amesema kama Chadema imeshindwa kupambana na CCM na Serikali yake ni wazi wawaeleze wafuasi wao kuliko kutoa matamshi ambayo yanahatarisha ustawi wa taifa letu.

ADC wamjia juu Lissu
jamani hamkumbuki alisema nchi yetu ni tajiri haitegemei misaada, sasa wanachomjia juu lissu nini, wanataka tuwe omba omba mpaka lini
 
Back
Top Bottom