Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja ina nyota nyota (ishara ya watu wanaomwamini Allah) nyingine haina nyota nyota ishara ya Chama cha watanzania wote
ngoja 2zione katiba zao najua watafafanua.Na hizo nyota tatu zinamaanisha/wakilisha nini!???
sijaona wala kusikia hamad rashid kawa mwanachama wa hiki chama,,.wewe ndio unaweweseka na iticuf yakoHakuna mfanano wa bendera ni uoga wa CDM na kuweweseka maana wanajua HR anatisha akishaanza kupanda jukwaani upepo utabadilika
si wengetumia rangi kama za CUF
Another CCM move to try to create confusion towards CDM members, funs and supporters. Shame on weakest politechnics.Chama kipya cha siasa ADC (Alliance for Democratic Change) kutumia bendera inayofanana kwa ukaribu na bendera ya CHADEMA linanitatiza xana, najaribu kujiuliza hivi kama bendera yao ingefanana na ya CCM kingepata usajili kwel? TIME WILL TELL! huu ni mtazamo tu wadau msijenge chuki!
picha plz za hiyo bendera wengine hatuijui