Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ktk hali ya kushangaza chama kipya ca Adc kimetoka na bendera inayofanana kwa rangi zote na chadema. Je wamekurupuka?
ktk hali ya kushangaza chama kipya ca Adc kimetoka na bendera inayofanana kwa rangi zote na chadema. Je wamekurupuka?
weka pichaNimeshtuka kidogo baada ya kuona chama kipya cha ADC kupata usajiri wa muda huku bendera yake ikionekana kufanana kwa rangi kama zinazotumiwa na CDM, Hivi hii haiwezi kuwa ni mbinu ya wana magamba kuwachanganya wananchi? Na hivi kabla ya msajiri hajatoa huo usajiri, hakuna sheria inayombana ili kuhakiki logo na alama zitakazo tumiwa na chama husika?....
mkuu unaonaje ukituwekea hapa tupime ukweli?ktk hali ya kushangaza chama kipya ca Adc kimetoka na bendera inayofanana kwa rangi zote na chadema. Je wamekurupuka?
ILA KWELI HEBU CHEKI BENDERA YAOktk hali ya kushangaza chama kipya ca Adc kimetoka na bendera inayofanana kwa rangi zote na chadema. Je wamekurupuka?
Hwajakurupuka hawa huu ni mtandao wa CCM kuihujumu chadema, na sitashangaa kuona Msajili anairuhusu bendera hiyo yenye utata mkubwa kutumika!
sasa mbona hizi rangi zimeendana sana na za Chadema!! Hizi ni hila za wazi