Acha kujitetea uongo weweMkuu ilikua kama ajali kuwasha Tv wakati nabadili channel nikapokea simu nikawa nimestack ndo naona hilo tukio.
Vipi ule uzi ulioanzisha wa kuangalia upande wako umeona hauna nguvu. Chadema bwana.Kilichotokea ni aibu kubwa Sana Kwa waandaji na hiyo ni ishara kuwa MUNGU hayupo upande wenu, kuna mengi yatatokea Kwa kila mtakalokuwa mnaliandaa
Kumbe channel za bongo huwa mnaangaliaWakuuu huko Uwanja Wa taifa wasaniii wamezichapa live bila chenga baada Ya mbasha kumwiiita mchovu kuwa anavuta bangi, hakika kuna kitu hapa walioandaa hilo tamasha watakuwa wamejifunza kuwa wanachokifanya kinamchukiza MUNGU, watu kupigana live wakiwa wanatazamwa kwenye TV zaid ya tano ni Aibu kubwa na hiii ni ishara Fulani kuwa MUNGU hayupo upande wenu na huenda mkakutwa na majanga zaid
Acha kumsingizia Mungu kwenye mambo ya kijinga weweYani watu huwa hawatafakari mambo, hapa kuna Jambo MUNGU kalifanya ila watu hawatajua Kwa haraka haraka, mmeandaa shughuli mmekodi matv meeeengi halafu walioko kwenye jukwaa wanapigana live na kutukanana live mamilioni Ya watu wakiwa wanatazama, maaana yake nikuwa mmetia aibu kubwa, pamoja na pesa mlizowalipa wamekuja kuwaharibia shughuli ambayo hata rais wa nchi alikuwa akiitazama, MUNGU kafanya Kwa kupitia hao wasanii mliotamba nao
Mbasha mlevi kalewa huyo, analeta masihara kwenye kazi za watu. Alistahili kichapo.Wakuuu huko Uwanja Wa taifa wasaniii wamezichapa live bila chenga baada Ya mbasha kumwiiita mchovu kuwa anavuta bangi, hakika kuna kitu hapa walioandaa hilo tamasha watakuwa wamejifunza kuwa wanachokifanya kinamchukiza MUNGU, watu kupigana live wakiwa wanatazamwa kwenye TV zaid ya tano ni Aibu kubwa na hiii ni ishara Fulani kuwa MUNGU hayupo upande wenu na huenda mkakutwa na majanga zaid
Tulia Bac Utupe Umbea, Yaan Unatoa Taarifa Unakimbia Kimbia Mno Hata Hatujaelewa, Halaf Tupia Bac Hata Kavideo Tuone.Wakuuu huko Uwanja Wa taifa wasaniii wamezichapa live bila chenga baada Ya mbasha kumwiiita mchovu kuwa anavuta bangi, hakika kuna kitu hapa walioandaa hilo tamasha watakuwa wamejifunza kuwa wanachokifanya kinamchukiza MUNGU, watu kupigana live wakiwa wanatazamwa kwenye TV zaid ya tano ni Aibu kubwa na hiii ni ishara Fulani kuwa MUNGU hayupo upande wenu na huenda mkakutwa na majanga zaid
😲😲Duuuh....Chuki KuuKama ni wale wapambe wa CCM sio mbaya hata wakiuana.