Adam Malima ni 'mbumbumbu?'

Adam Malima ni 'mbumbumbu?'

= regulation

Hivi hata Kiingereza huwa mnazikosea "R" na "L" - Majanga

Sheria si msahafu, inaweza kutungwa leo, mwezi baadae ikaonekana ina mapungufu ikaboreshwa - kumbuka hilo.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Unatumia kibwagizo kizuri kweli faiza!!!
 
= regulation

Hivi hata Kiingereza huwa mnazikosea "R" na "L" - Majanga

Sheria si msahafu, inaweza kutungwa leo, mwezi baadae ikaonekana ina mapungufu ikaboreshwa - kumbuka hilo.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Ulichoelewa hapa ni makosa ya uandishi ila yale kifikra hujayaona, nawe unayo.
 
Ulichoelewa hapa ni makosa ya uandishi ila yale kifikra hujayaona, nawe unayo.

Nisome vizuri, baada ya kusahihisha mstari unaofatia nimejibu hoja.

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
 
Back
Top Bottom