Mwizukulu wa Buganda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2024
- 638
- 1,771
Kwenye gharama za Wharfage ndio kuna maumivu makubwa. Wharfage (tozo ya kutumia gati/bandari) imeongezeka karibia mara 5–7 zaidi ya ilivyokuwa mwanzo.
Kwa mfano, kama gharama ilikuwa 1,000 kwa kontena, now ni mara 5–7 yake. Kama mwanzo ulikuwa unapaswa kulipia 250,000 TZS, now jiandae kutoa kati ya 1,250,000 TZS hadi 1,750,000 TZS kwa tozo moja. Ni ongezeko la moja kwa moja kwenye gharama ya uendeshaji (Overhead costs).
---
Kutoka kwa mdau X
HII NI BALAA KUBWA SANA KWA WAFANYABIASHARA.
Tunaomba utusaidie kupaza sautiLeo TRA Wameamka na kupandisha kodi za wharfage gari ambayo ulikua unalipa tsh 230,000 leo wametoa control namba ulipie 1,200,000 anaconda ilikua inalipiwa 500k leo ni mil 3.4
Kusogezwa mbele Mamlaka ya Bandari yasogeza mbele kuanza kwa ada ya uendelezaji wa miundombinu bandari hadi Julai 1
Kwa mfano, kama gharama ilikuwa 1,000 kwa kontena, now ni mara 5–7 yake. Kama mwanzo ulikuwa unapaswa kulipia 250,000 TZS, now jiandae kutoa kati ya 1,250,000 TZS hadi 1,750,000 TZS kwa tozo moja. Ni ongezeko la moja kwa moja kwenye gharama ya uendeshaji (Overhead costs).
---
Kutoka kwa mdau X
HII NI BALAA KUBWA SANA KWA WAFANYABIASHARA.
Tunaomba utusaidie kupaza sautiLeo TRA Wameamka na kupandisha kodi za wharfage gari ambayo ulikua unalipa tsh 230,000 leo wametoa control namba ulipie 1,200,000 anaconda ilikua inalipiwa 500k leo ni mil 3.4
Kusogezwa mbele Mamlaka ya Bandari yasogeza mbele kuanza kwa ada ya uendelezaji wa miundombinu bandari hadi Julai 1