ACT Wazalendo waibwaga CCM Konde, Mohamed Said Issa ashindi kiti cha Ubunge

Tozo za parking zimeanza kuonesha makali yake,
Wenye magari wanajuta kuwa na magari daslam,
Lisaa limoja 500 ukichelewa kulipa faini 30,000
Kudadek hii ipo tz pekee
#sinunuigari
Utatemebea kwa miguu. Utakula winga mpaka ukome. Zanzibar 1 hour wanalipa 1000 na wala hawalalamiki.

Tujitolee kuijenga nchi yetu
 
Dai la TUME HURU linabaki pale pale acha Porojo!
Sasa hapo mnataka nini Tena hamna Imani na tume the nayotoa ushindi kwa chama chochote? Tatizo mnataka mpaka ashinde chagadema ndiyo muone uhuru wa tume wakati wagombea wenu hawana ushawishi kwa watu
 
T
Msiposhiriki mnapata faida gani ? CHADEMA inabidi msome upepo sio kushikiria msimamo usio na faida.
Ni lazima kutazama mbele mkiona wenzenu wa upinzani wanaweka wagombea..wekeni pamoja ili mkikosa mlie wote hapo sauti yenu itakuwa na mashiko.
Fikiria..mnaacha kuweka mgombea then mpinzani mwenzenu anashida,hoja ya kuwa tume kukosa uhuru itapata mashiko gani ?
Kinachowafanya kuwa chama kikuu cha upinzani ni idadi ya wawakilishi mliokuwa nao Bunge lililopita,leo hii wapinzani wenzenu wakipata wawakilishi wengi jua kuwa hata kambi rasmi ya upinzani wataichukua wao.then ninyi mtabaki kama CUF tu. Kwenye mapambano ni muhimu sana kuwa na mbinu zinazobadilika badilika.
Tatizo la chagadema wao ndiyo wanjifanya ndiyo wapinzani pekeyao wenzao wanawazarau wataishia kulalamika Kila siku
 
Sasa hapo mnataka nini Tena hamna Imani na tume the nayotoa ushindi kwa chama chochote? Tatizo mnataka mpaka ashinde chagadema ndiyo muone uhuru wa tume wakati wagombea wenu hawana ushawishi kwa watu

Sasa hapo mnataka nini Tena hamna Imani na tume the nayotoa ushindi kwa chama chochote? Tatizo mnataka mpaka ashinde chagadema ndiyo muone uhuru wa tume wakati wagombea wenu hawana ushawishi kwa watSasa hapo mnataka nini Tena hamna Imani na tume the nayotoa ushindi kwa chama chochote? Tatizo mnataka mpaka ashinde chagadema ndiyo muone uhuru wa tume wakati wagombea wenu hawana ushawishi kwa watu
Unachosema .Ni sawa na MECHI ya Simba na Yanga, kwa kuwa SIMBA ameshinda basii Refa akiwa Manara Ni sawa Sanaa tu.
Haiko Hivyo.
 
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Konde, Abdallah Said Hamad amemtangaza Mgombea wa ACT-Wazalendo, Mohamed Said Issa kuwa mshindi wa Ubunge kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo uliofanyika leo 09 Oktoba, 2021

View attachment 1969576

Mohamed Said Issa amepata kura 2,391 dhidi ya 794 za mgombea wa CCM, Mbarouk Amour Habib. Mgombea wa AAFP, Hamad Khamis Mbarouk amepata kura 55 na Salama Khamis wa CUF amepata kura 98
View attachment 1969577
Ilikuwaje juzi kati CCM ilikuwa imepata ushindi wa tsunami na sasa inashindwa kwa kishindo! Au safari hii hawakumpata mgombea anayekubalika? Au hata hizo kura mia saba zimeongezwa ongezwa kidogo ili zisiwe chache sana? Huu naona kama ni mwujiza wa kisiasa!
 
Bila wizi wa kura na msaada wa Police na Tume ya uchaguzi CCM ni wepesi kama uzi wa Sufi
Msiwe wajinga nyiny ilo jimbo wameachia ili kupunguza lile sekeaeke la katiba mpya ili tume pia ionekane ipo huru

Kesho itasikia km tume isingekuwa huru fulan asingekuwa mbunge wameshawaleteq propaganda basi mnatulia na wangetaka hilo jimbo wanhelichukua fasta tu
 
Ilikuwa mipango kuwa ajihizuru ili uchaguzi irudiwe na ACT watangazwe washindi,ili kudanganywa jumuia ya madola kuwa Tanzania Kuna Semokrasia.
Sio ivo CCM zanzibar walibanwa pabaya sana Makamo wa kwanza alitaka kujiuzulu na ule unaotiwa Umoja wa Kitaifa uwe ndio Kwishnehi na mtoto wa Mkuranga bado analiogopa hilo kwenye kuongoza serikali ya Zanzibar
 
Chadema ni branchi ya nani? Kule Zanzibar viongozi wenu wa chadema uchaguzi uliopita walipigia kampeni wagombewa wa CCM mchana kweupee
Mshindi amepata kura elfu mbili na kitu, na CCM kapata kura mia saba na kitu, hilo jimbo au mtaa?
Wingi wa watu is nothing as long as Zanzibar tuna idadi ndogo ya population naturally., ndio maumbile ya baadhi ya nchi nyingi duniani, tembea upate kufungua macho
 
K
Wacheni kutumiwa na kucheza ngoma ya CCM.
ACT wanapambana na madhila kama walivyo CHADEMA, wanatofautiana strategy na so lazima wafanane.

Kurudiwa kwa uchaguzi was konde ni kutokana na sindikizo LA ACT kupitia SUK. CCM walifanya uhuni ule ule was 2020 kwa kupora ule uchaguzi was mwanzo was marudio was yule mwana ccm aliyejiuzulu.
Sindikizo lilihatarisha SUK na makandokando ya hadaa za kukubalika JMT na Rais Mwinyi kwenye siasa za dunia.
Kamwe CCM hawana nia njema na ACT seuze CHADEMA.
Wakati ndio ulioamua.
Mazingira ya Zanzibar yana strategy zake hilo mlikubali.

Wanamageuzi msicheze ngoma msioijua.

Hongereni ACT, hongereni wapinzani.

Pambaneni na msitolewe nje ya reli kwa visababu vya mpito. Madai ya tume huru yako pale pale.
Kwani wakijitoa suk Kuna hasara Gani warnde huko nchi inawenyewe hii na wenyewe ni ccm tu
 
Chadema ni branchi ya nani? Kule Zanzibar viongozi wenu wa chadema uchaguzi uliopita walipigia kampeni wagombewa wa CCM mchana kweupee

Wingi wa watu is nothing as long as Zanzibar tuna idadi ndogo ya population naturally., ndio maumbile ya baadhi ya nchi nyingi duniani, tembea upate kufungua macho
Leta facts
 
Leta facts
Mratibu mkuu wa Chadema Zanzibar juzi ameteuliwa na mwinyi kuwa Afisa Mdhamini ofisi ya rais na bado anavaa nguo za chadema na kuna wakati analazimika kuvaa za kijani.,

Wakati wa Kampeni mpaka makamo wenu kule Zanzibar alishiriki kwenye dua ya kumuombea Mwinyi ashinde urais Zanzibar na sasa ndio wanalipwa fadhilia.,

Ukija hapa na kusema ACT ni tawi la CCM lazima utuambie na Chadema ni tawi la nani
 
Lengo ni kuhadaa dunia kuwa nchi hii kuna uchaguzi huru na wa haki na ndio maana hawajapora ushindi wa ACT.

ACT hili wanalijua na wanatumika.
 
Hii inaonyesha jinsi Tanzania ilivyokomaa kwenye demokrasia mpaka upinzani unaigaragaza CCM.
 
Weka video
Mratibu mkuu wa Chadema Zanzibar juzi ameteuliwa na mwinyi kuwa Afisa Mdhamini ofisi ya rais na bado anavaa nguo za chadema na kuna wakati analazimika kuvaa za kijani.,

Wakati wa Kampeni mpaka makamo wenu kule Zanzibar alishiriki kwenye dua ya kumuombea Mwinyi ashinde urais Zanzibar na sasa ndio wanalipwa fadhilia.,

Ukija hapa na kusema ACT ni tawi la CCM lazima utuambie na Chadema ni tawi la nani
 
Back
Top Bottom