wamempa waonekane demokrasia ya uchaguzi ipo, wanadhani watu wote ni wajingaHii inaitwa kumlambisha mtoto sukari ili uweze kumtafuna vizuri mama yake 😆😆. Hakuna uchaguzi huru na haki kama hakuna tume huru ya uchaguzi
wamempa waonekane demokrasia ya uchaguzi ipo, wanadhani watu wote ni wajingaHii inaitwa kumlambisha mtoto sukari ili uweze kumtafuna vizuri mama yake 😆😆. Hakuna uchaguzi huru na haki kama hakuna tume huru ya uchaguzi
Hakuna kushinda hapo, ACT haijashinda, CCM wameamua YAISHE ili kulinda upuuzi unaoitwa serikali ya umoja wa kitaifa. Kama hakuna Tume huru ya uchaguzi hakuna ACT kushinda. CCM wamekubaliana wawaachie wenzao ACT ndiyo maana yule alijiuzuruKwa hiyo ikishinda CCM mnasema kura zimeibwa ila wakishinda upinzani basi mnasema uchaguzi ni wa haki
kwa hiyo ktk uchaguzi wa haki CCM haina haki ya kushinda???
Ebu tubadilike; yeyote anastahili kushinda
isiyo CCM iko wapi?hapo ni ccm B kamshinda ccm A, inshort hapo hamna kitu.
Kwa hio?ACT wazalendo ndio chama kikuu cha upinzani!
ACT wazalendo ndio chama kikuu cha upinzani!
Ile ya aliyejiuzuru alipata ngapi?
Unadhani hatuna uelewa wowote? Huo uchafu tunauelewa mwanzo mwisho, na hatuko tayari kushiriki chini ya tume hii. Na kwa bahati mbaya hatusikii hata wivu wala kutamani kushiriki huo ushenzi. Ukitaka kujua Cdm ina mvuto, fuatilia uchaguzi huko Ushetu jinsi ulivyokosa mvuto. Hao Wapemba huwa wanaishinda ccm toka enzi za Nyerere, hakuna jipya hapo.Mabavicha mnaona sasa wenzenu wanashinda chini ya tume hii hii tena kwenye uchaguzi mdogo!
Ndio maana mama yake mwenye hofu na Mungu hakutaka upuuzi huu.Kwa hiyo ule wa kwanza ulikuwa ni uporaji au? Kura zote hizo? Yule aliyejiuzulu alishindaje?
Nilishasema mara nyingi uko nyuma kwamba uhamuzi wa Chadema kususia uchaguzi mpaka pawe na tume huru. Utakuwa na impact kama vyama vyote vya upinzani vitakubali kususiha.
Nikawatahadhari, kuna vyama vitaendelea kushiriki chaguzi na vita shinda. Hii itadhoofisha madai ya kususia uchaguzi mpaka kuwe na tume huru!!
Tunasema yetu macho!!
Wapemba walishasema wazi, kati ya kifo na ccm wanachaguwa kifo.Unadhani hatuna uelewa wowote? Huo uchafu tunauelewa mwanzo mwisho, na hatuko tayari kushiriki chini ya tume hii. Na kwa bahati mbaya hatusikii hata wivu wala kutamani kushiriki huo ushenzi. Ukitaka kujua Cdm ina mvuto, fuatilia uchaguzi huko Ushetu jinsi ulivyokosa mvuto. Hao Wapemba huwa wanaishinda ccm toka enzi za Nyerere, hakuna jipya hapo.
kuu,
Liangalie ili la kususia uchaguzi kwa upana zaidi.
Kama vyama vingine vya upinzani vitaendelea kushiriki uchaguzi na kishinda. Zaidi ya kudhoofisha madai ya Chadema ya kutaka tume huru kabla ya uchaguzi, unajua kitakachofuatia?
Kukusaidi, wagombea wa Chadema watakimbilia kwenye vyama vingine kama ACT, watapewa nafasi ya kugombea na watashinda!! The rest is history!
mnadai nini Tena wakati hiyo time ambayo hamuitaki ndiyo inawapa ubunge au chagadema mpaka washinde wao ndiyo ionekane uvhaguzi ulikuwa huru?
Na nyie endeleeni kusikikiza akili matope za mbowe kususia wenzenu wanapeta chagadema siasa imewashinda
Hii ni kitu inajulikana Pemba ndio ngao ya mrithi wa CUF ambayo baadae imerrithiwa na ACT.Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Konde, Abdallah Said Hamad amemtangaza Mgombea wa ACT-Wazalendo, Mohamed Said Issa kuwa mshindi wa Ubunge kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo uliofanyika leo 09 Oktoba, 2021
View attachment 1969576
Mohamed Said Issa amepata kura 2,391 dhidi ya 794 za mgombea wa CCM, Mbarouk Amour Habib. Mgombea wa AAFP, Hamad Khamis Mbarouk amepata kura 55 na Salama Khamis wa CUF amepata kura 98
View attachment 1969577
Aliukataa?Wapemba walishasema wazi, kati ya kifo na ccm wanachaguwa kifo.
Hata hivyo tumpongeze yule mwanaccm aliyepewa ushindi wa dhulma akaukataa, hizo ndio njia sahihi za kumuogopa Mungu.
Ukifika peponi ukimkuta mtu kama huyo huwezi kushangaa, siyo yule kichaa wa Chato, kuzimu ndio makazi yake.
Ingekuwa sehemu nyingine yoyote ile ningekubaliana na maelezo yako lakini sio Pemba!!CCM wajanja sana watatumia uchaguzi huu kama kigezo Tume ipo huru.
Zitto anatumika kama daraja la kuhalalisha dhulma siku za usoni.