ACT-Wazalendo mnapata wapi pesa za kuendesha chama?

ACT-Wazalendo mnapata wapi pesa za kuendesha chama?

Hivi zile mil 700 tayari zimeshatolewa na ccm?
 
Mbona hili kalijibu mapema wee maswaswa. akisema wao kuna Wambunge zaidi ya 50 wa pande zote wanamchangia .wewe ulitakiwa kuuliza majina yao.
 
Kuna mtu aliulizwa chanzo cha mapato akazimia...nyie mnataka mumtoe roho supreme leader
 
Cdm ni halali ku kuchangisha . wao bado wako kwenye harakati na sio siasa.
 
Mnauliza wanapata wapi hela?,kwani alowatuma anakazi gani zaidi ya kuwafadhiri
 
Back
Top Bottom