PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,458
Wakati kunavyama vina miaka zaidi ya 10 vimeshindwa kufanya mikutano hata mkoa mzima.
Nyie hamna wabunge wala madiwani wanaokichangia chama.
Kama Zitto aliweza kutangaza mali alizonazo na amezipata vipi, kwanini ameshindwa kutueleza pesa za kuendesha chama zinapatikana wapi?
Wadhamini wa chama ni akinanani.
Kama mtanzania nahitaji majibu?
Nyie hamna wabunge wala madiwani wanaokichangia chama.
Kama Zitto aliweza kutangaza mali alizonazo na amezipata vipi, kwanini ameshindwa kutueleza pesa za kuendesha chama zinapatikana wapi?
Wadhamini wa chama ni akinanani.
Kama mtanzania nahitaji majibu?