CHADEMA wanapata wapi fedha za mikutano?

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,896
22,666
Ishu ya kufanya mikutano sio kazi ndogo ni ishu kubwa hasa inahitaji pesa sio tu pesa pesa haswa kutoka huku na huko zikusanywe ziwe mingi mfanye jambo.

Kuna vyama hata ile mikutano ya kusimama kwenye vituo vya dala dala hawawezi, ACT wazalendo licha ya kuwa ndani ya serikali hawawezi wapo wapo tu, swali ni je CHADEMA wanapata wapi pesa za kuzunguka nchi nzima kwa mikutano mikubwa na majukwaa ya kisasa?

Hili ni swali kama huna jibu kaa kimya tena kwa kutulia?

Hawana ruzuku kwa sasa?

Siwasikii wakichangishwa pesa mikutanoni kama zamani?

Hakuna taarifa yoyote ile ya wanachama kuwa chama kimepokea msaada kutoka nje hasa Ujerumani?

Tuliambiwa Mbowe aliyekuwa anatumia pesa zake binafsi kuwakopesha kisha anajilipa baadae amefirisiwa na serkali ya Magufuli na kubaki apeche alolo yupo yeye na gwanda zake tu?

Hawana wabunge walikuwa wanawachaji milioni kila mwezi?

Hawana madiwani wala halmashauri wanazo ongoza?

Tetesi;

Je, wamepewa pesa na serikali ya CCM (pesa za walipa kodi)?

Je, wameamua kumuangukia msajili na sasa wanachukua ruzuku ya Covid-19 kimya kimya?

USSR
 
Ishu ya kufanya mikutano sio kazi ndogo ni ishu kubwa hasa inahitaji pesa sio tu pesa pesa haswa kutoka huku na huko zikusanywe ziwe mingi mfanye jambo.

Kuna vyama hata ile mikutano ya kusimama kwenye vituo vya dala dala hawawezi, ACT wazalendo licha ya kuwa ndani ya serikali hawawezi wapo wapo tu, swali ni je CHADEMA wanapata wapi pesa za kuzunguka nchi nzima kwa mikutano mikubwa na majukwaa ya kisasa?

Hili ni swali kama huna jibu kaa kimya tena kwa kutulia?

Hawana ruzuku kwa sasa?

Siwasikii wakichangishwa pesa mikutanoni kama zamani?

Hakuna taarifa yoyote ile ya wanachama kuwa chama kimepokea msaada kutoka nje hasa Ujerumani?

Tuliambiwa Mbowe aliyekuwa anatumia pesa zake binafsi kuwakopesha kisha anajilipa baadae amefirisiwa na serkali ya Magufuli na kubaki apeche alolo yupo yeye na gwanda zake tu?

Hawana wabunge walikuwa wanawachaji milioni kila mwezi?

Hawana madiwani wala halmashauri wanazo ongoza?

Tetesi;

Je, wamepewa pesa na serikali ya CCM (pesa za walipa kodi)?

Je, wameamua kumuangukia msajili na sasa wanachukua ruzuku ya Covid-19 kimya kimya?

USSR
Unataka kusema wanaiba kama vile ccm wanavyosafirisha maliasili zetu kwenda arabuni?

Chadema ni nguvu ya umma, jana tu nimetoka kutuma hela kwenye account yao kwa ajili ya kusupport kazi za chama, jiulize tupo wangapi tunaokichangia chama kwa moyo
 
Ishu ya kufanya mikutano sio kazi ndogo ni ishu kubwa hasa inahitaji pesa sio tu pesa pesa haswa kutoka huku na huko zikusanywe ziwe mingi mfanye jambo.

Kuna vyama hata ile mikutano ya kusimama kwenye vituo vya dala dala hawawezi, ACT wazalendo licha ya kuwa ndani ya serikali hawawezi wapo wapo tu, swali ni je CHADEMA wanapata wapi pesa za kuzunguka nchi nzima kwa mikutano mikubwa na majukwaa ya kisasa?

Hili ni swali kama huna jibu kaa kimya tena kwa kutulia?

Hawana ruzuku kwa sasa?

Siwasikii wakichangishwa pesa mikutanoni kama zamani?

Hakuna taarifa yoyote ile ya wanachama kuwa chama kimepokea msaada kutoka nje hasa Ujerumani?

Tuliambiwa Mbowe aliyekuwa anatumia pesa zake binafsi kuwakopesha kisha anajilipa baadae amefirisiwa na serkali ya Magufuli na kubaki apeche alolo yupo yeye na gwanda zake tu?

Hawana wabunge walikuwa wanawachaji milioni kila mwezi?

Hawana madiwani wala halmashauri wanazo ongoza?

Tetesi;

Je, wamepewa pesa na serikali ya CCM (pesa za walipa kodi)?

Je, wameamua kumuangukia msajili na sasa wanachukua ruzuku ya Covid-19 kimya kimya?

USSR
Wanaiba!!
 
Ishu ya kufanya mikutano sio kazi ndogo ni ishu kubwa hasa inahitaji pesa sio tu pesa pesa haswa kutoka huku na huko zikusanywe ziwe mingi mfanye jambo.

Kuna vyama hata ile mikutano ya kusimama kwenye vituo vya dala dala hawawezi, ACT wazalendo licha ya kuwa ndani ya serikali hawawezi wapo wapo tu, swali ni je CHADEMA wanapata wapi pesa za kuzunguka nchi nzima kwa mikutano mikubwa na majukwaa ya kisasa?

Hili ni swali kama huna jibu kaa kimya tena kwa kutulia?

Hawana ruzuku kwa sasa?

Siwasikii wakichangishwa pesa mikutanoni kama zamani?

Hakuna taarifa yoyote ile ya wanachama kuwa chama kimepokea msaada kutoka nje hasa Ujerumani?

Tuliambiwa Mbowe aliyekuwa anatumia pesa zake binafsi kuwakopesha kisha anajilipa baadae amefirisiwa na serkali ya Magufuli na kubaki apeche alolo yupo yeye na gwanda zake tu?

Hawana wabunge walikuwa wanawachaji milioni kila mwezi?

Hawana madiwani wala halmashauri wanazo ongoza?

Tetesi;

Je, wamepewa pesa na serikali ya CCM (pesa za walipa kodi)?

Je, wameamua kumuangukia msajili na sasa wanachukua ruzuku ya Covid-19 kimya kimya?

USSR
nguvu ya chadema si dola kama ccm bali wanachama ambao ndiyo wanaiendesha kwa michango ya kila wakati midogo midogo kwa kutumia hata mobile money au kuweka benki.
 
Ishu ya kufanya mikutano sio kazi ndogo ni ishu kubwa hasa inahitaji pesa sio tu pesa pesa haswa kutoka huku na huko zikusanywe ziwe mingi mfanye jambo.

Kuna vyama hata ile mikutano ya kusimama kwenye vituo vya dala dala hawawezi, ACT wazalendo licha ya kuwa ndani ya serikali hawawezi wapo wapo tu, swali ni je CHADEMA wanapata wapi pesa za kuzunguka nchi nzima kwa mikutano mikubwa na majukwaa ya kisasa?

Hili ni swali kama huna jibu kaa kimya tena kwa kutulia?

Hawana ruzuku kwa sasa?

Siwasikii wakichangishwa pesa mikutanoni kama zamani?

Hakuna taarifa yoyote ile ya wanachama kuwa chama kimepokea msaada kutoka nje hasa Ujerumani?

Tuliambiwa Mbowe aliyekuwa anatumia pesa zake binafsi kuwakopesha kisha anajilipa baadae amefirisiwa na serkali ya Magufuli na kubaki apeche alolo yupo yeye na gwanda zake tu?

Hawana wabunge walikuwa wanawachaji milioni kila mwezi?

Hawana madiwani wala halmashauri wanazo ongoza?

Tetesi;

Je, wamepewa pesa na serikali ya CCM (pesa za walipa kodi)?

Je, wameamua kumuangukia msajili na sasa wanachukua ruzuku ya Covid-19 kimya kimya?

USSR
Kwa mara ya kwanza tangu nikufahamu leo umeuliza swali zuri mno ! Hongera sana , sasa tukirudi kwenye swali lako nitajaribu kukusaidia ili upate majibu , usiogope ni rahisi sana .

Wakati tunaanzisha JOIN THE CHAIN kuna wale wenye akili ndogo walitubeza , Join the chain ulikuwa mpango wa kisasa wa kuchangia chama , mpango huu uliruhusu hata mwenye jero au buku kuchangia Chadema , Kumbuka hili lilikuwa zoezi lililofuatia baada ya Chadema Digital , Sijui kama unanielewa , Chadema Digital ilikuwa na lengo la kusajili wanachama kidigitali na kujua idadi yake , tulikuja kujua kwamba wanachama wa Chadema ni zaidi ya mil 12 , sasa hawa tukawaingiza kwenye Join the chain , hata kama wangetoa buku buku unadhani ingekuwa bei gani ? mimi binafsi nimechangia mil 10 , kyela niliweka mil 5 na Tandika niliweka mil 5 , sasa vibopa wenzangu unadhani nao waliweka bei gani ?

Sasa hapa ndio penye tofauti kati yenu nyie mliozoea kuiba na kudhulumu na Chadema yenye uwezo wa ushawishi .

Kwa msaada zaidi fuatilia nyuzi zangu kuhusu Join the chain , mle niliweka hadi kiasi kilichopatikana , na miongoni mwenu mlinitukana .
 
Ishu ya kufanya mikutano sio kazi ndogo ni ishu kubwa hasa inahitaji pesa sio tu pesa pesa haswa kutoka huku na huko zikusanywe ziwe mingi mfanye jambo.

Kuna vyama hata ile mikutano ya kusimama kwenye vituo vya dala dala hawawezi, ACT wazalendo licha ya kuwa ndani ya serikali hawawezi wapo wapo tu, swali ni je CHADEMA wanapata wapi pesa za kuzunguka nchi nzima kwa mikutano mikubwa na majukwaa ya kisasa?

Hili ni swali kama huna jibu kaa kimya tena kwa kutulia?

Hawana ruzuku kwa sasa?

Siwasikii wakichangishwa pesa mikutanoni kama zamani?

Hakuna taarifa yoyote ile ya wanachama kuwa chama kimepokea msaada kutoka nje hasa Ujerumani?

Tuliambiwa Mbowe aliyekuwa anatumia pesa zake binafsi kuwakopesha kisha anajilipa baadae amefirisiwa na serkali ya Magufuli na kubaki apeche alolo yupo yeye na gwanda zake tu?

Hawana wabunge walikuwa wanawachaji milioni kila mwezi?

Hawana madiwani wala halmashauri wanazo ongoza?

Tetesi;

Je, wamepewa pesa na serikali ya CCM (pesa za walipa kodi)?

Je, wameamua kumuangukia msajili na sasa wanachukua ruzuku ya Covid-19 kimya kimya?

USSR
ACHA KUULIZA MASWALI YA JELA Wote tupo JF nenda kawaulize wahusika
 
Back
Top Bottom