Chantaburi
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 749
- 194
Wewe ni mgeni hapo uwanjani. Hao ni departure ya Term 3.Kama umeenda uwanja mpya, hakuna ghorofa kwa juu ambalo unaweza kumuona mtu wa chini kama hiyo picha ya pili, that's means ni cctv camera
Wewe ni mgeni hapo uwanjani. Hao ni departure ya Term 3.Kama umeenda uwanja mpya, hakuna ghorofa kwa juu ambalo unaweza kumuona mtu wa chini kama hiyo picha ya pili, that's means ni cctv camera
Ameshasoma namba. Uongo wake umejibiwa na Kikwete huko huko kwao mbele ya dada zake membeNdiyo Maana CHADEMA iligoma Kuungana Na ACT
Membe Haaminiki
Jasusi huyu anajipanga vizuri na kwa umakini mkubwa sana,tusubiri tu tuone atakavyowagaragaza ccm
Nawewe unaamini hivyo Mkuu?!!!Jasusi huyu anajipanga vizuri na kwa umakini mkubwa sana,tusubiri tu tuone atakavyowagaragaza ccm
Ameenda kukutana na Mabingwa wa Ukachero CIA na mossad na M16 wampe mbinu za kumnutralize stone apotee zakeHabari zinazozunguka mitandaoni hivi sasa ni kuonekana kwa Bernard K. Membe uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere, taarifa za awali zinasema anaelekea nje ya nchi. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi kutoka chama cha ACT Wazalendo, Je Mh. Membe ameamua kuachana na kampeni? Kuna nini kinaendelea?
==
Picha zaidi:
View attachment 1566534
Hahaaa...... Kachero kikazi zaidiAmeenda kukutana na Mabingwa wa Ukachero CIA na mossad na M16 wampe mbinu za kumnutralize stone apotee zake
Wewe ni mgeni hapo uwanjani. Hao ni departure ya Term 3.
Wewe ni mgeni hapo uwanjani. Hao ni departure ya Term 3.
umeshinda basiWw ndio mgeni me nafanya kazi hapo hata Sasa hivi niko hapa
Kuna tetesi ambazo hazijathibitishwa kwamba Membe ametoroka na kukimbilia nje. Je, yule mropokaji wa Kigoma yupo tayari kuweka habari kamili?
Kuna tetesi ambazo hazijathibitishwa kwamba Membe ametoroka na kukimbilia nje. Je, yule mropokaji wa Kigoma yupo tayari kuweka habari kamili?