Kuchota fedha huko ng'ambo!Jasusi litakuwa linaenda kuchota mbinu kwenye.ma.SADC huko
🤣🤣🤣🤣 hawa mamluki shughuliInanikumbusha picha ya Lipumba 2015 ile ya Rwanda ilivyovuja..
Labda ya Zamani hii.
Unajua hiyo ni terminal gani?JNIA huwa ni kwa wanaoenda nje tuu?
Na wanaonda Zenji watapitia wapi??
Anyway anaenda Uk alaf atasema afya haimruhusu alafu kura zake apewe lissu
PESA ZA UCHAGUZI ZIMEMUISHIA ANAENDA KUKOPA KWA MABEBERU HIVYO LAZIMA MKAE KWENYE MEZA YA MAKUBALIANOHabari zinazozunguka mitandaoni hivi sasa ni kuonekana kwa Bernard K. Membe uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere, taarifa za awali zinasema anaelekea nje ya nchi. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi kutoka chama cha ACT Wazalendo, Je Mh. Membe ameamua kuachana na kampeni? Kuna nini kinaendelea?
==
Picha zaidi:
View attachment 1566534
alisema tarehe 15 Septemba watu wataona kimbnga kumbakumba wasitarajie kuwa atajitoaMembe ameamua kusacrifice kutofanya kameni ili ambebe Lissu.
Lissu mwenyewe alishasema kuwa kuna makubaliano ya siri kati ya Chadema na Act.
Alichofanya Membe ni sacrifice ili asigawe kura.
Badala ya sisi kumpongeza kwa yeye kujitolea ili Jiwe ang'oke, Sisi tunambeza!
Vipi MO keshakubali kukupatia ule mkopo wa zile pikipiki 16? Pimbi kabisa, wenzako wanakopa benki were unakopa kwa MO? Halafu ukinyimwa unaleta zogo Twitter utadhani kupewa na MO ni haki yako!Mawakala wa mabeberu wakipishana angani kuhongwa hela za kampeni.
Hapo Terminal 3 lazima itakuwa nje anaenda.JNIA huwa ni kwa wanaoenda nje tuu?
Na wanaonda Zenji watapitia wapi??
Anyway anaenda Uk alaf atasema afya haimruhusu alafu kura zake apewe lissu
Vipi MO keshakubali kukupatia ule mkopo wa zile pikipiki 16? Pimbi kabisa, wenzako wanakopa benki were unakopa kwa MO? Halafu ukinyimwa unaleta zogo Twitter utadhani kupewa na MO ni haki yako!
Labda yupo kwenye shughuli zake za UKACHERO.Habari zinazozunguka mitandaoni hivi sasa ni kuonekana kwa Bernard K. Membe uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere, taarifa za awali zinasema anaelekea nje ya nchi. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi kutoka chama cha ACT Wazalendo, Je Mh. Membe ameamua kuachana na kampeni? Kuna nini kinaendelea?
==
Picha zaidi:
View attachment 1566534
Not sure.....ila ni kundi lile la wapumba.vuKumbe Elitwege ni Kigwangala?