ACT-Tanzania, Mapato na matumzi ya chama

ACT-Tanzania, Mapato na matumzi ya chama

ACT ni chama kilichoanzishwa katika misingi Kharamu.
ACT ni plan B ya Wanafiq,waoga na wasaliti walioshindwa kutekeleza mipangao yao ya kishetani ndani ya CHADEMA.
baada ya kustukiwa na kutolewa nduki ndani ya CHADEMA plan B ikawa kuanzisha hiki kikundi na kukiita Alliance for Cowards and Traitors ili kujipa moyo na kutaka kuendeleza mipango yao miovu walioshindwa kuifanya wakiwa ndani ya CHADEMA.
Lakini kinachowaumiza kichwa kwa sasa ni kwa yule Kiongozi wao mkuu kung'ang'ania kubaki CHADEMA na mpaka kukimbilia mahakamani,ingawa kikubwa kilichompeleka Mahakaman ni kutaka kutetea maslahi yake binafsi ayapatayo akiwa mbunge hata kwa ticket ya Mahakama.
Lakini bado akina betlehem wako dilemma kama kiongozi wao ata wa join ama atawachinjia baharini kama alivyowafanyia wale Nyumbu wa wili waliokimbilia CCM nao kujikuta wakijisalimisha Lumumba.
Njaa ni kitu kibaya sana
 
Last edited by a moderator:
ACT ni chama kilichoanzishwa katika misingi Kharamu.
ACT ni plan B ya Wanafiq,waoga na wasaliti walioshindwa kutekeleza mipangao yao ya kishetani ndani ya CHADEMA.
baada ya kustukiwa na kutolewa nduki ndani ya CHADEMA plan B ikawa kuanzisha hiki kikundi na kukiita Alliance for Cowards and Traitors ili kujipa moyo na kutaka kuendeleza mipango yao miovu walioshindwa kuifanya wakiwa ndani ya CHADEMA.
Lakini kinachowaumiza kichwa kwa sasa ni kwa yule Kiongozi wao mkuu kung'ang'ania kubaki CHADEMA na mpaka kukimbilia mahakamani,ingawa kikubwa kilichompeleka Mahakaman ni kutaka kutetea maslahi yake binafsi ayapatayo akiwa mbunge hata kwa ticket ya Mahakama.
Lakini bado akina betlehem wako dilemma kama kiongozi wao ata wa join ama atawachinjia baharini kama alivyowafanyia wale Nyumbu wa wili waliokimbilia CCM nao kujikuta wakijisalimisha Lumumba.
Njaa ni kitu kibaya sana

umemaliza kila kitu mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Msije baadae kurusha ngumi mkiulizwa mapato na matumizi.
 
Mwigamba,
Hiki siyo chama cha mabadiliko, bali chama cha kinafiki na cha kishenzi kutokea Tanzania. Mkasalitiane wenyewe majinga nyie
 
Wekeni source zote za hela i.e cash flows na msisahau ruzuku toka CCM ili kuimaliza CDM. By the way kesi ya Saliti Zitto wale vijana wa CUF na UVCCM mbona hawamsindikizi tena? Inahudhuriwa kimya kimya kama vile mazishi ya mfungwa.
 
Nani amekuuliza wewe Mwigamba? Mbona mnahangaika sana?

Zamani nilimwona Mwajamba ni mtu kumbe ni mbabaishaji kama Wassira, sasa kutuletea matumizi yao ya ACT huku JF inatuhusu nini sie ambao si wanachama wao? ..anajaribu ku force popularity kwa kutumia media kwa kuamini kuwa waTz ni rahisi kuwadanganya?
 
Zamani nilimwona Mwajamba ni mtu kumbe ni mbabaishaji kama Wassira, sasa kutuletea matumizi yao ya ACT huku JF inatuhusu nini sie ambao si wanachama wao? ..anajaribu ku force popularity kwa kutumia media kwa kuamini kuwa waTz ni rahisi kuwadanganya?
Laiti kila mtu angeamua kujitoa fahamu, basi ungekuta dunia bado iko katika zama za mawe za mwanzo.
 
Zamani nilimwona Mwajamba ni mtu kumbe ni mbabaishaji kama Wassira, sasa kutuletea matumizi yao ya ACT huku JF inatuhusu nini sie ambao si wanachama wao? ..anajaribu ku force popularity kwa kutumia media kwa kuamini kuwa waTz ni rahisi kuwadanganya?
Hayo maswali yako muulize Zogwale maana yeye ni mwanachama . (kwa kuwa mapato na matumizi yanamuhusu mwanachama na Zogwale anayaulizia)
Wekeni source zote za hela i.e cash flows na msisahau ruzuku toka CCM ili kuimaliza CDM. By the way kesi ya Saliti Zitto wale vijana wa CUF na UVCCM mbona hawamsindikizi tena? Inahudhuriwa kimya kimya kama vile mazishi ya mfungwa.
 
Last edited by a moderator:
Bethlehemu, ukitoa taarifa ya robo mwaka, weka pesa chanzo cha fedha mlizowapa vijana kasulu wajikimu kwa kuanzisha biashara ndogo ndogo
 
Hayo maswali yako muulize Zogwale maana yeye ni mwanachama . (kwa kuwa mapato na matumizi yanamuhusu mwanachama na Zogwale anayaulizia)

Ha ha ha Mkuu betlehem umeamua kunivunja mbavu? Nitakuwa wa mwisho kuwa mwanachama wa ACT baada ya vyama vyote kumalizika kusajiliwa na kuwa vimejaa havihitaji tena wanachama. Nilichomaanisha ni kuwa tunataka cash flow ili tuone source zao za hela hapa!!!! Wathubutuuuuu kuweka hapa!!! Masaliti hawa.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha Mkuu betlehem umeamua kunivunja mbavu? Nitakuwa wa mwisho kuwa mwanachama wa ACT baada ya vyama vyote kumalizika kusajiliwa na kuwa vimejaa havihitaji tena wanachama. Nilichomaanisha ni kuwa tunataka cash flow ili tuone source zao za hela hapa!!!! Wathubutuuuuu kuweka hapa!!! Masaliti hawa.
Tehe! tehe! tehe! salama lakini mkuu @zongwale ! nilijua tu utajitokeza kuwasha moto! ungefuatilia msingi wa swali nililokuwa najibu ungenielewa
 
Bethlehemu, ukitoa taarifa ya robo mwaka, weka pesa chanzo cha fedha mlizowapa vijana kasulu wajikimu kwa kuanzisha biashara ndogo ndogo
Kuna pesa ambazo betlehem kawapa vijana huko kasulu ambazo anatakiwa azitolee taarifa? tehe! tehe! tehe! kajunju uko vizuri lakini!
 
Last edited by a moderator:
Tehe! tehe! tehe! salama lakini mkuu @zongwale ! nilijua tu utajitokeza kuwasha moto! ungefuatilia msingi wa swali nililokuwa najibu ungenielewa
Vp Katibu ile listi yenu ya uongozi tunahitaji ufafanuzi maana naona mpaka 2015,
 
Mapato na matumizi ya wajumbe wote wa Baraza kuu waliokuja Dsm kutukana Chadema vipi????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom