bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,700
- 4,126
Mkuu mbona unahangaika hivyo umepewa boda boda hizi zilizotolewa juzi? naona kasi imezidi....
Ha ha ha ha ha kazidi kiherehere ja ha ha dah jf hadi raha.
Mkuu mbona unahangaika hivyo umepewa boda boda hizi zilizotolewa juzi? naona kasi imezidi....
Kwanza niwape hongera kwan mnajitaidi sana.
Naona mnajibu maswali mengi mnayo ulizwa humu, ivyo nami napenda kuwauliza swali.
1. Ni nin maoni au msimamo wenu kwenye rasimu ya katiba?
2.Hasa kwenye muundo wa serekali, je mnatetea serekali mbili au mnataka serekali tatu?
3. Na kwa nn mna msimamo huo juu ya muundo wa serekali?
4. Ni wazi hamna (formal) mjumbe ambaye anawakilisha ACT-TANZANIA kwenye bunge la katiba. Je ni njia gan mtatumia kuwasilisha maoni yenu katika bunge hilo pindi awamu ya pili itakapo anza?
Natumaini nitajibiwa na majibu yatajeka uwelewa zaidi juu ya chama chenu na pia natarajia kusikia mambo mapya tofauti na ya ukawa na CCM ivyo kutujenga zaidi kuhusu katiba.
Ahsante
Act ni SACCOS ya ccm
Watu wa dizaini yako hata zingewekwa tarakimu wangelalamika tu vile vile, na penngine hata kama ni wanaume wanalalmika kwa nini ni wanaume badala ya wanawake na kama wangekuwa wanawake, wangelalamika kwa nini si wanaume.Nilifikiri unaleta tarakimu kumbe maneno matupu
miezi minne ni robo mwaka???
ndivyo mtatufundishia watoto wetu hivyo?
Kwani mkuu mwezi una miaka mingapi vile?Ha ha haaa! Kwi kwiii! Hawa act ni wapuuzi sijawahi ona.
Kwani mkuu mwezi una miaka mingapi vile?
Unauliza mwezi una miaka mingapi? Haya maswali yasiyo na majibu ndo yalikuwa kwenye mtihani wa darasa la 7 uliokimbiwa na maprofesa wa hesabu baada ya kutangaziwa dau na mbatia!!
Na ofisi zetu zipo face book JF na tweetertumetoa NSSF na TANAPA
Kwani mkuu mwezi una miaka mingapi vile?
Kikwete alianza kwa kuongea na Waandishi wa Habari sasa anamalizia na Wazee wa Dar esalaam. Nyie mtaanza hivyo mwisho mtawasomea Wazee Wa Kigoma.
Kila la Heri.