Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,198
- 7,537
[h=1]Tupunguzeni kunung'unika!, Tujilazimishe katika Ubunifu na Uvumbuzi.[/h]Mapato na matumizi ya wajumbe wote wa Baraza kuu waliokuja Dsm kutukana Chadema vipi????
Ni ushauri tu lakini ,ukiona haukufai, basi endelea kunung'unika nung'unika, kulalama lalama, kuzusha zusha, kutunga tunga riwaya, kutoa toa matamko n.k.
Dunia yako chaguo lako.