ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

Kuna mtu aliniambia Kitila ni fully TISS na ndiye aliyekuwa assigned kuimaliza cdm by 2013. Sikuwahi kmwamini huyo jamaa maana ni mtu wa kawaida tu. Lakini kutokana na huu uking'ng'anizi wa jamaa nimeanza kuamini huenda ikawa ni kweli!

Mkuu natamani sana hawa jamaa wangekuwa hawa-hack haya ma mitandao ningekupa full kuhusu kitila na mpaka alivyokuwa recruited akisoma UDSM ila poa tu , tunaomjua hatupi shida nami CDM nilikuwa simwangalii vyema nimefanya nae kazi tukiwa chaso kanda ya kati, ila nilikuwa namuenjoy sana maana namjua mpaka ukucha ila madam tulikuwa tunajenga chama mambo yake ya ujasusi yalikuwa hayaniumizi kwani nawengine tulikuwa tunamjasusi pasipo kujua....na bado wapo tutazidi kuchomoa pale wanapotaka kuleta madhara si kwmaba hatuwajui na wengine
 
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.

Walitufanyia nini cha maana pomoja na usomi wao? Wengi tu wamesoma zaidi yenu na wako kimya na wanachapa kazi! Mkumbushe mwekiti wenu(zz) tunataka najina ya pesa za Uswizi! Nasikia mafisadi walimkomesha alipofika uswizi akakuta na jina lake limo! Chezea mafisadi wewe! Huwezi kupambana na watu unaokula nao! Mbwa hawezi kumuama anayempa chakula!
 
Mkuu,

Nimekuwa nikisoma mada nyingi sana katika ukumbi huu ambazo umezianzisha!

Naomba nikiri kuwa,Kati ya wachangiaji wote wa JF ,nafikiri wewe utakuwa na akili ndogo kuliko wote!!!?

Nafikiri ujazo wa akili yako haujai ujazo wa KISODA!
Duh. Hii kiboko!
 
we msukule unahitaji kukombolewa kifikra na chama makini ACT

LEO ACT KIMEKUWA CHAMA MAKINI KULIKO CCM UNAYOTOA MAPOVU KILA KUKICHA KUITETEA HUMU?Acha unafiki na kujitoa nguo hadharani ndugu...
 
LEO ACT KIMEKUWA CHAMA MAKINI KULIKO CCM UNAYOTOA MAPOVU KILA KUKICHA KUITETEA HUMU?Acha unafiki na kujitoa nguo hadharani ndugu...

we ni mchumia tumbo tu huna hoja, chama makini cha act kitakukomboa
 
CHADEMA mnakera sana kwa hoja.zenu mufilisi, chama cha ACT ni chama cha watanzania wote, watanzania wote wanakipenda sana.
 
wakuu, mpaka sasa hivi wabunge wa chadema 10 wameshachukua kadi za chama makini ACT.
 
chama makini cha ACT kinajiandaa kuchukua nchi mwakani
 
hakika chama cha ACT ndio mkombozi wetu watanzania
 
mbowe na dr.slaa usiku hawalali kwa kuogopa chama makini ACT.
 
Ala... Chama cha siasa kinaenezwa kwenye mitandao
 
Ala... Chama cha siasa kinaenezwa kwenye mitandao

Mkuu kwa mtindo huu CCM itatawala milele manake upinzani kugawanyika ndo raha ya CCM sasa naona wanaitangaza ACT bila kujua kuna watakaoondoka CCM na kujiunga na ACT wakidhani hili ni pigo kwa CHADEMA tu
 
Mkuu kwa mtindo huu CCM itatawala milele manake upinzani kugawanyika ndo raha ya CCM sasa naona wanaitangaza ACT bila kujua kuna watakaoondoka CCM na kujiunga na ACT wakidhani hili ni pigo kwa CHADEMA tu

Ni upuuzi sana siku hizi watu wanaanzisha vyama vya upinzani ili kushundana na wapinzani wenzao...
 
Mhaya na Mnyambo wanazo tunu za kuzaliwa. Tunu hizi huwa zikichanganywa na mazingira mazuri ya Kagera wahaya na wanyambo huishi maisha mazuri hasa kwa tz yetu. Lakini itokeapo mmoja akajichanganya kama Abakorakamo, huanza kuchanganyikiwa, kuwa Opportunist, Tapeli, Mwizi, Mnafiki, Mbabaishaji, Kuendesha Shallow Politics, Biashara bila eneo au mtaji, hujilazimisha kuwa Wasomi kwa kuchanganya kiingereza koko, watakwambia kitu fulani wanajua au mkubwa fulani ni rafiki yangu, nk. Hawa ndio ACT! Nshomile bwana, kama atakuwa ni Mkiristo atajidai kaslim na kuanza kulala msikitini ili awalagai na kuwaibia waislamu maana huwa rahisi, ni mwepesi wa kuifahamu kwa kuisoma na kuitafsiri koran, kwa malengo yaliyo hasidi. Wana lugha ya kutongoza kama ya ZZK na watakudanganya kwa suti zao za mitumba. Zamani wakibeba briefcase siku hizi wana lap top za kichina. Wana tabia ya umalaya usio wa kuuza miili lakini wanaamini kuwa hapendwi mtu au chama bali pesa, hawa watashinda wakiandika ACT hapa mitandaoni wapuuzie.
 
Mhaya na Mnyambo wanazo tunu za kuzaliwa. Tunu hizi huwa zikichanganywa na mazingira mazuri ya Kagera wahaya na wanyambo huishi maisha mazuri hasa kwa tz yetu. Lakini itokeapo mmoja akajichanganya kama Abakorakamo, huanza kuchanganyikiwa, kuwa Opportunist, Tapeli, Mwizi, Mnafiki, Mbabaishaji, Kuendesha Shallow Politics, Biashara bila eneo au mtaji, hujilazimisha kuwa Wasomi kwa kuchanganya kiingereza koko, watakwambia kitu fulani wanajua au mkubwa fulani ni rafiki yangu, nk. Hawa ndio ACT! Nshomile bwana, kama atakuwa ni Mkiristo atajidai kaslim na kuanza kulala msikitini ili awalagai na kuwaibia waislamu maana huwa rahisi, ni mwepesi wa kuifahamu kwa kuisoma na kuitafsiri koran, kwa malengo yaliyo hasidi. Wana lugha ya kutongoza kama ya ZZK na watakudanganya kwa suti zao za mitumba. Zamani wakibeba briefcase siku hizi wana lap top za kichina. Wana tabia ya umalaya usio wa kuuza miili lakini wanaamini kuwa hapendwi mtu au chama bali pesa, hawa watashinda wakiandika ACT hapa mitandaoni wapuuzie.

Mkuu umetumia maneno mengi ikiwa n pamoja na kukashifu kibila za watu kama kawaida ya cdm. Ambayo sera yao kuu ni kukejeli na kukashifu makabila mengine. Mkuu acha ACT iwakomboe watanzania.
 
Mkuu umetumia maneno mengi ikiwa n pamoja na kukashifu kibila za watu kama kawaida ya cdm. Ambayo sera yao kuu ni kukejeli na kukashifu makabila mengine. Mkuu acha ACT iwakomboe watanzania.

We ndo hujielewi kabisa
 
duh ACT iwakomboe watz mbona hii kalie naamini vyama vinavyoweza kuwakomboa watz ni vyama vyenye jina adhim ya kiswahili ambayo ndo lugha ya muunganiko na ukombozi wa mtanzania mmetoa maneno sijui Afghanistan unakuja na chama kitakachotambulika nchi za nje kwa kuwa kina lugha ya kiingereza acheni u.f.ala chama tawala ni CCM chama kikuu cha ukombozi ni CDM hakuna wa kupinga salitini tu mwisho wa siku mtasalitiana wenyewe tutayaona tu....

cha kushangaza chama pinzani kinaanzishwa kumpinga mpinzani mwenzake na matahaira wana kipigia kampeni hujiulizi tu kuwa hiki chama kina mlengo gani sababu vyama vyote vya upinzani vinakipinga chama tawala ili vikipata ridhaa vichukue dola sasa hawa wanaoipinga CDM wanataka wachukue nini???

Me naona hii ni dalili ya CCM kushindwa ndio maana wanaanzisha taasisi nyingne zisizo rasmi ili kupinga ukombozi ndio maana hazina kweupeee kumbe pesa wamempa zitto akaanzshe chama na kuna watu wanakisupport watz tuna laana kubwa sana.
 
Watanzania wenzangu nani amewaroga?nauliza kwa sabanu naona tunakosa mwelekeo sasa!vyama vya upinzani vinaanzishwa kupambana na vile vya upinzani yaani kupbana upinzani kwa upinzani au kubana na chama tawala?
ukweli ni huu kama kuna -------- kupita wote duniani ni yule anaeamini kuwa upinzani unaanzishwa kuua upinzani!
Kama kuna mjinga mkuu duniani ni yule anayetaka mabadiliko lakini bado ana chukia vyama vya upinzani!
ACT haiwezi kuwa mbadala wa chadema kwa sababu vyote vinabana na chama kimoja tu CCM.mtu akisema ACT ni mbadala wa chadema nadhani atakuwa anataka tujue kuwa ACT ni pandikizi la ccm kuiua chadema.ACT itakuwa mkakati wa ccm kuua upinzani kwa vyovyote.
Nimepita naona dhreads nyingi zinasisitiza chadema kuwa itaanguka kwa sababu ya ACT sasa kumbe ACT si kutukomboa sisi ila kuiokoa ccm iendelee kutawala.
ACT kama kweli imekuja ili chadema iangamie basi hatuna budi kuamini kwamba imezaliwa na ccm kwa sababu adui yao ni mmoja nae ni chadema.
lakini niulize kama ACT ni mbadala wa ccm na chadema kama wajinga waaminivyo je vyama vingine vya upinzani kama CUF,Nccr chausta n.k viko salama?
 
Back
Top Bottom