Yote uliyoandika ungeweka kwenye post moja kungekuwa na ubaya gani? Ulichofanikiwa ni kuonyesha kuwa hiyo ACT siyo chama makini.watanzania hasa waishio vijijini wanakikubali sana hiki chama makini cha ACT
Ni upuuzi sana siku hizi watu wanaanzisha vyama vya upinzani ili kushundana na wapinzani wenzao...
chama makini cha ACT kinajiandaa kuchukua nchi mwakani
chama makini cha ACT kinajiandaa kuchukua nchi mwakani
chama makini cha ACT kinajiandaa kuchukua nchi mwakani