Unatafuta faraja, hizo propaganda zako zinafanana na zile za chama cha kijani. Watanzania wa leo wameelimika, wewe ndiyo wa kuwaambia, zilitengenezwa ama anahusika kama alivyotajwa na dk pale alipokwenda icu kumkejeli
Mods, hili ni jukwaa la great thimkers. Toa huu *****. Huyu jamaa anataka kutuletea speculations walizokuwa wanaongelea jana akina Ephrahim Kibonde na kutaka kutuaminisha kwamba eti ni SMS kama za Kanumba! Sijui wapuuzi wa dizaini hii wanaingiaje humu!Kuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (ZCO) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka Dr.Ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki Steven Kanumba ya kuwa eti Kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.
Lo! Posti ya kwanza tu unaanza na pumba kiasi hicho. Je umejiunga ili kumtetea kamanda msangi? Au wewe mwenyewe ndiyo kamanda msangi?
Anatumia spinal cord.???? Spinal cord mbona afadhali mkuu, huyu katumia "masaburi"Use your Brain not your spinal cord, ... when you r doing a critical thinking!!OK?
Kuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (ZCO) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka Dr.Ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki Steven Kanumba ya kuwa eti Kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.
Limeshapewa kitu kidogo linakuja kutetea huku..p...vu..Join Date : 29th June 2012
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
Umejiunga lini ? kwaajili ya nini ? Mijitu mingine hovyo.
Kweli bwana msangi ukubwa jiwe, ninachojiulizwa kwanini utajwe wewe kati ya watz 40mweeeeeeeeeeeeeeeee!!!! take care watu wamefunguka, hadanganyiki mmtu wala hasafishiki mtu , lazima huyu kamanda awajibike kwa vitendo vyake vya ukatili ,
Atakuwa kamkodisha mtu amsaidie..manake hawa mapolisi wetu unaweza ukute hata kuwasha computer hajui.Join Date : 29th June 2012
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received0Huyu ni msangi kajoin Jana kuja kijisafisha kwi! Kwi! Kwi!
Likes Given0
Hivi kweli ni utu kumuacha mgonjwa afe ili udai vifaa vya kutibia mgonjwa huyohuyo anayekufa au hiki ni kiiini macho cha kudaia mafao.Haya sasa vitanda vimekua tupu huko hosp basi wakalale wao maana walikua wanavidai