ACP Hemed Msangi...

ACP Hemed Msangi...

unatafuta kwa kufia ukubwa jiwe ee? kafie kwa mamaako huko, ktk hili jamii haitoki njiani kirahisi hivyo msichukilie poa kila kitu wewe na msamgi wako
 
Msangi tuondolee ***** wako mateso uliyompa Dr na wahanga wengine huko nyuma yatakurudia wewe na yataitesa sana familia yako!! Kiukweli hamjamtendea haki dr na watanzania kwa ujumla,what goes around comes around.
 
Msangi na wenzake wanatafutiwa kazi nje ya nchi..soon watakwea pipa!
 
Kuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (ZCO) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka Dr.Ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki Steven Kanumba ya kuwa eti Kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.


Umeingia kuja kujisaafisha ama umetumwa kuja kumsafisa huyo Msangi...hovyo...

Join Date : 29th June 2012
Posts : 3
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
 
Kuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (ZCO) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka Dr.Ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki Steven Kanumba ya kuwa eti Kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.


man umekuja kupima upepo et?
 
Alifanya kazi arusha na kilimanjaro,anasifika kwa kuu,ndio profession yake hiyo hakuna analojua lingine

Kuua kwa haki ama kwa kudhulumu? Maana kama kwa dhuluma, malipo yake yapo kwa wanaolia machozi ya kudhulumiwa. Mambo mengine tunayafanya kama wanyama vile.
 
Hivi mkuu wa Kaya yuko wapi katika sakata hili? Anangoja ampeleke Dr. India kama alivyofanya kwa Kubenea au Dr. Mwakyembe? Anadhani Dr. Uli akitoka kutibiwa Mungu akimsaidia akapona atamshukuru kama alivyofanya Mwakyembe?

Ni kawaida yake JK kutimua vumbi halafu kujidai kutuliza baada ya vumbi kupoa
 
Kuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (ZCO) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka Dr.Ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki Steven Kanumba ya kuwa eti Kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.
Mbona mnahangaika sana kumsafisha?
 
najiuliza kwani huyu msngi kuwepo kwenye tume ya kova ni ili afunike alikoficha wallet and simu ya Dr? Kwani mbona wanalazimisha tume angali wahusika hawaitaki? Shame on them.
 
kidumeso

Mkuu hakuna mahali nimesema ACP Hemed Msangi kasoma Botswana.Nilichosema alikuwa PP ingawa elimu yake na kazi aliyokuwa akiifanya havilingani kabisa labda ulisababishwa na uhaba wa wataalamu.Umesema Hemed Msangi ni mtu mzuri nakataa kwa asilimia zote labda unamtetea kwakuwa ni ndugu yako au rafiki yako....

Huyu Hemedi Msangi ni mtu mzuri tu, yeye alifanya kazi pale ofisi ya PP's arusha kwa muda mwingi akiwa na akina Duwani Nyanda,Massawe,Temu,Selemani,Juma,Thomas na Awadhi. Yeye siyo mwanazuoni kabisa lakini kujuana ndio kuliko msaidia, na sio kweli kwamba alisomea Botswana bali alikwenda kule kuudhuria kozi fupi za kipolisi.
 
Last edited by a moderator:
kakakiiza acha kukurupuka rudi kwenye thread orijino usome vizuri alicho andika mwanaharakati huru sio wassira hiyo ni editing yako katika kutafuta mahali tu pakukosoa wacheni uhuni bwana kuweni watu makini thanx
nawasilisha.
 
Huyu jamaa anamuogopa Mungu kweli?hakika Mungu atamlipa kwa ujinga alioufanya.Dr Ulimboka Mungu akubariki ili upone tupambane na serikali hii dhalimu.madaktari tupo pamoja.Revolution ideas never die.Aluta continuer
 
BornTown nimekusoma vizuri. Namwona Bw. Dhaifu kaendeleza uzushi huo. Wala hakuzungumzia hilo suala la vifaa tiba au hali duni inayowakuta wagonjwa hospitalini. Yeye anakazania, madaktari wanalipwa shilingi laki ti.... TU!

Laki tisa? Kwani hizo pesa, kwa hali ya sasa, zinamtosha hata karani aliyemaliza Darasa la Saba mwaka arobaini na ushee?

P.S. Nimeipenda signature yako. 🙂
 
Last edited by a moderator:
Kamanda Chagonja huwa anaropoka. Anamtetea home boy wake Msangi. Hebu soma hii kuhusu MsangiAfande Msangi.docx
Ngoja niiweke hapa ila sijuhi kama itasomeka.
New Picture (1).png
New Picture (2).png
 
Back
Top Bottom