ACP Hemed Msangi...

ACP Hemed Msangi...

kuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (zco) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka dr.ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki steven kanumba ya kuwa eti kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.
you have got a black out while wrtiting this thread,i think you are microcephalic...
 
Kuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (ZCO) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka Dr.Ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki Steven Kanumba ya kuwa eti Kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.
Wewe muuaji usitake kujikosha hapa. Wewe ni muuaji tu, na hakika siku zako zinahesabika. Mpuuzi sana wewe
 
Mods mpeni ban huyu lamaya hana adabu. Amelaaniwa
 
Kuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (ZCO) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka Dr.Ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki Steven Kanumba ya kuwa eti Kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.

Una kazi ya kuwaaminisha watu wenye akili kama watu wa JF kuwa mtu aliyejipaka kinyesi si kinyesi ila ni matope tu ya udongo wa Songea au Kasulu! jaribu
 
Kuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (ZCO) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka Dr.Ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki Steven Kanumba ya kuwa eti Kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.
Embu nenda katubu Jangiri mkubwa wee. Usitutafutie BAN waungwana humu ndani. Hiyo michezo huu ndio mwisho wenu umefika. Siri sio Siri tena. Kajipange upya Uje na uzi wa kutubu na kukubali maovu yako. Firigisi mkubwa wee:boxing:
 
Kuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (ZCO) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka Dr.Ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki Steven Kanumba ya kuwa eti Kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.

Nakuheshimu usitake tule ban,Hiyo heshima kubwa sana nimekupa,so ingia humu ndani fata kilichokuleta na usitake kutuletea akiri zako finyu.jiheshimu uheshimiwe.wewe kama nani mpaka uandike hii thread??na unafatiliaga thread za humu ndani na unazisoma kwa umakini zaidi??

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Tumeshajuwa adui wetu ni nani so msitake kuja na thread za ajabu ajabu,hamna watoto hapa JF,na kwenye hili mmepotea sana,na huyo jamaa sasa hivi ndio itakuwa mwisho wake wa kutesa watu,lazima tumuadabishe.Usalama wa taifa akawa yeye mjinga katili??

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
HUYU jamaa ni jambazi. Alitajwa na Reginald Mengi katika sakata la kutaka kumwekea mwanawe madawa ya kulevya. Hana hadhi wala haki ya kuchunguza tukio la mpiganaji Ulimboka. Ajibu kwanza madai ya Mengi.
 
watz kwa uzushi c mchezo,kwa mtu mwenye akili timamu inaingia akilini? mtu anaweza kuhusika na tukio km lile na kisha akaenda kumualia?acheni uzushi wa kijinga
 
Msangi anajua kahusika, na vita aliyoianzisha na madokta inabidi ajifunze mbinu za kupambana nao, maana hawa madokta kama hawatomdhuru yeye, basi watawadhuru wote walio karibu naye...kama haamini, basi asubiri aone
na hii itahusisha vita ya madaktari na polisi wote na familia zao, labda watatibiwa na polisi wenzao ambao ni madaktari, aulize yaliyotokea Kigoma vita ya Hosp ya mkoa na polisi miaka ya nyuma
 
HUYU jamaa ni jambazi. Alitajwa na Reginald Mengi katika sakata la kutaka kumwekea mwanawe madawa ya kulevya. Hana hadhi wala haki ya kuchunguza tukio la mpiganaji Ulimboka. Ajibu kwanza madai ya Mengi.

Mkuu wangu si unaona serikali wanavyofanya mambo ya ajabu ajabu??walishajuwa kwamba huyu jamaa kahusika kwenye huu mpango sasa akipewa mtu mwingine afanye upepelezi then inaweza kuwa aibu kwako,sasa huyu atafanya kitu gani hasa??na ikijulikana ni yeye kafanya kosa la kukusudia kuuwa na yeye atapewa adhabu gani??

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Nimakosa makubwa sana kumwita Msangi eti Kamanda! hana hadhi ya kuitwa kamanda ila jambazi mkuu. Huyu ni mbaya kuliko hata Al qaida au Al shabaab maana wao hatujasikia waliowateka wakiwangoa meno na kucha kwa praise. Huyu hana tofauti na shetani au nini sijui nilinganishe.
Mtu mwenye akili hata akitumwa afanye nini huwa anajiangalia kwanza ubinadamu wake kisha anatekeleza alilotumwa kwa kiwango kile anachoona kiko ndani ya ubinadamu. Mateso aliyoyapata Ulimboka yamevuka kiwango cha kufikirika katika ulimwengu wa ustaarabu.
Hivi ni kwa kuongoza madaktari kudai haki ndio afanyiwe hivyo tuu au kuna mengine?
 
Endeleeni kusema habari za kizushi,hii ndio JF kuliko mnavyoijuwa,kuna makada wenu humu kila topic ikitolewa wenyewe wanapinga mfanoa Rejao,Ritz na wengine ila wote hawaonekani mmoja tu Zomba ndio anajikongoja,so subirini,haki sawa kwa kila mwanadamu so huu ni wakati wenu.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Join Date : 29th June 2012
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0

Umejiunga lini ? kwaajili ya nini ? Mijitu mingine hovyo.

UKUBWA JIWE


POST YAKE YA 1 (11:11hrs)
Kuna habari za kuaminika kumbe zile sms zilizokuwa zinasambazwa ya kuwa kamanda msangi (ZCO) ni mmoja wa watu waliohusika kumteka Dr.Ulimboka sio kweli ni kwamba hizo habari zimetengenezwa kama zile sms zilizotengenezwa wakati alipofariki Steven Kanumba ya kuwa eti Kanumba hakufa bali alikuwa anatengeneza filamu.

POST YAKE YA 2 (11:27hrs)
jeshi la polisi ni kweli halihusiki mbona dr.kwa kauli yake amesema tuhuma zinazosambazwa kuhusu kamanda msangi sio za kweli na yeye wala hajasema kuwa arudishiwe simu yake na wallet yake na kamanda huyo.

POST YAKE YA 3 (12:48hrs)
kweli walimwengu waongo, hakuna ACP anayeitwa chagonja, pili huna uhakikika na elimu yake, tatu soma public sercvice act ujue watu wanaoruhisiwa kugoma kisheria, nne usikurupuke kuandika mambo ambayo huyajui
 
Msangi U-SACP huo unanukia kwa hilo ulilolifanya mkuu, utukumbuke nasisi wapiganaji wako.
 
Sidhani kama umekuja na ushahidi mzuri wakumtao kamanda msangi kwenye tuhuma hizi.

Kama amekutuma wala hakukupa ushahidi wa kumtoa kweye tuhuma.

Yan post yako kwanza haina hata source

kazi yako uliyotumwa hata hauja jaribu kuifanya lazima na wewe ukutwe pande.
 
Back
Top Bottom