Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 8,740
- 11,966
Ubaguzi unamsumbua Tu huyo jamaa....Watu kama hawa maisha yao huwa yamejaa mashaka NA wasiwasi teleUnafiki uko wapi sasa mtoa mada kama una POVU iv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubaguzi unamsumbua Tu huyo jamaa....Watu kama hawa maisha yao huwa yamejaa mashaka NA wasiwasi teleUnafiki uko wapi sasa mtoa mada kama una POVU iv
what's your point broUnafiki mbaya sana....
Utasikia:-
"So sad"
"Jamani inaumiza sana"
"Mwili wangu wote umesisimka"
Simply because ni Mtoto wa Kizungu.
Ni unafiki wa kipuuzi sana. Ndio maana hata viongozi wetu wanatuongoza kinafiki nafiki.
Unajifanya unajali sana mtoto mmoja wa kizungu anaye ugua Cancer.. Wakati watoto wa kiafrika huku barani Africa wanakufa kila kukicha.....
View attachment 447106
Tuacheni unafiki wa kujipendekeza.
Katika kipindi/muda ambacho Dogo Bradley ametabiriwa kuishi kabla hajakutana na Kifo chake, bila shaka yapata watoto takribani 20 wa kiafrika watafariki. Je hao 20 si muhimu zaidi.
Au mnamaanisha tuonyeshe kuumizwa sana na mtoto Bradley kwa kuwa yeye ni wa kizungu? Halafu tuwapotezee hawa wakwetu kwa sababu kifo kwao ni kawaida?