demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
- Thread starter
- #21
Nimejaribu kutoa mfano hapo awali.cdhani kama ni unafiki wa sisi wat wa chini ila ni watu wenye uwezo wa kufanya kitu kama hicho ndio wanafiki...i mean wenye nafasi kutowajali wa chini.....mf watu wenye social media au viongozi ...hata bradley issue yake ingekuwa promoted na john wa kawaida england isingepata popularity kama hii....akitokea mwafrika akaweka lets pray for aliyescorpiniwa ...we will
Ubaguzi & Unafiki si wa aina pekee unao uzungumzia. Kwa mfano
Kuna mtu anaandika kabisa. "Dah mineumizwa sana na hili la Bradley" au "Merry Christmas Bradley".
Lakini mtu huyo huyo hajawahi kuonyeshwa kuumizwa na hali ya watoto wa kiafrika kwenye hizo picha na pengine hajawahi hata kuwatakia Christmas watoto wa kiafrika wenye hali mbaya.
Huu ndio unafiki niuzungumziao.