Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,453
- 40,446
- Thread starter
-
- #61
ha ha ha ha,ata mimi nimeona hivyo kwa sababu kulikuwa na maazimio ya kumpa laki 9 mwezi wa tisa.....kutokuja kwake nimetumia kama sababu ya kujiondoa kwenye hayo majukumu.Nimeshablock mawasiliano kabisausiwaze. Maana haujui mungu anakuepusha na nini.
mimi nikimtumia demu nauli asipokuja uwa nashukuru mungu.
Wala sigombani nae demu maana naamini kuna kitu kimeniepuka.
juzi TU kuna mmoja yupo arusha nimemtumia nauli aje dar. Kakausha. Sijamtafuta.
Umeona eeh.. mnaongea tu kwenye cm hata hakuon muda mwingine hupokei hata cm yenyewe basi burudanHahahahahaha ndo ujinga huo... Hakuna pesa tamu kama ya nauli jamani nasema hakunaaaaaa
Yaani ukienda kuitumia huskii maumivu wala uchungu unaenda kwa mariiingo kabisa heheheheheh
Acha hiyo laki 9, sasa lingekuja kukufia getoha ha ha ha,ata mimi nimeona hivyo kwa sababu kulikuwa na maazimio ya kumpa laki 9 mwezi wa tisa.....kutokuja kwake nimetumia kama sababu ya kujiondoa kwenye hayo majukumu.Nimeshablock mawasiliano kabisa
Hii ishanitokea sana
Kumbe kuna watu bado mna pesa za kuchezeaausiwaze. Maana haujui mungu anakuepusha na nini.
mimi nikimtumia demu nauli asipokuja uwa nashukuru mungu.
Wala sigombani nae demu maana naamini kuna kitu kimeniepuka.
juzi TU kuna mmoja yupo arusha nimemtumia nauli aje dar. Kakausha. Sijamtafuta.
Sasa hyo fanya kuntumia mimi nije this weekend,hahahahàah.ha ha ha ha,ata mimi nimeona hivyo kwa sababu kulikuwa na maazimio ya kumpa laki 9 mwezi wa tisa.....kutokuja kwake nimetumia kama sababu ya kujiondoa kwenye hayo majukumu.Nimeshablock mawasiliano kabisa
Kumbe kuna watu bado mna pesa za kuchezeaa
Nipo ugenini katika mishe zangu za kila siku,nikaamua kumuita mchepuko wangu ambaye yuko mkoa mwingine aje ani-keep busy huku niliko.Tukakubaliana na akaomba nimtumie nauli.......baada ya masaa manne kupita baada ya kumtumia nauli,akaghairi safari...akaanza kuweka sababu mara nitakuja siku nyingine,mara mimi ndio niende huko aliko.....ameniharibia siku kweli imebidi nivunje mawasiliano. Nawasihi wale wapenda kula nauli za watu acheni tabia hizo.
Duh!!!Ulikutana na mtoto kiazi... Una kutana na wakali wa hizi kazi ukituma tu inahama mtandao wa kwanza... Inahamia wa pili, Inahamia wa Tatu mara paap imepelekwa NMB utarudisha kokoto
Yaani ni hivi, unatuma nauli m-pesa salio likisoma tu ndani ya dk 3 nalirusha tigo pesakwani hujasikia siku izi kuna huduma ya kurudisha muhamala bila kuwasiliana na wakala??
Kwa nini mkuu..Utakuwa una tatizo la akili mkuu!,
ha ha ha ha ha hapana mkuu mimi mwenyewe nilikuwa naona uchungu kutoa....nilikuwa najaribu kumtafutia sababu tu..mbaya zaidi ameingia kingi mwenyewe.Sasa hyo fanya kuntumia mimi nije this weekend,hahahahàah.
Umewaza mbali sana mkuu....tena bora hata hakujaAcha hiyo laki 9, sasa lingekuja kukufia geto
Nimeshafuta mawasiliano mkuuEndelea kusubiri atakuja tu usikate tamaa.
Mkuu na ww umepigwa daah pole,Nipo ugenini katika mishe zangu za kila siku,nikaamua kumuita mchepuko wangu ambaye yuko mkoa mwingine aje ani-keep busy huku niliko.Tukakubaliana na akaomba nimtumie nauli.......baada ya masaa manne kupita baada ya kumtumia nauli,akaghairi safari...akaanza kuweka sababu mara nitakuja siku nyingine,mara mimi ndio niende huko aliko.....ameniharibia siku kweli imebidi nivunje mawasiliano. Nawasihi wale wapenda kula nauli za watu acheni tabia hizo.
ha ha ha ha ni mtu wangu wa sikunyingi tu....ila kwa sasa ndio kanifanyia uhuniMkuu na ww umepigwa daah pole,