Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Kwani kuna shida gani! Wewe kubali kutongozwa.Mimi ni single mother
Kwani kuna shida gani! Wewe kubali kutongozwa.Mimi ni single mother
Vyombo ataosha mwenyewe....ataona aibu kunionyesha vyombo.Mkuu unataka kuosha vyombo, kufua na kupika
Bila kusahau kulea mtoto
Huyu ni 50/50 ?
Wewe si nasikia huwa hauwapendi single mothers na huwa unawakashifu balaa?Kwani kuna shida gani! Wewe kubali kutongozwa.
Kama mimi nakusaidia majukumu yako basi na wewe lazima unisaidie majukumu yanguVyombo ataosha mwenyewe....ataona aibu kunionyesha vyombo.
Shauri zako endelea kuwasikiliza shoga zako. Hata sijui kuwatofautisha wanawake akilini mwangu wewe ndiyo unaniambia wapo single mama.Wewe si nasikia huwa hauwapendi single mothers na huwa unawakashifu balaa?
-pressure cooker.Kama mimi nakusaidia majukumu yako basi na wewe lazima unisaidie majukumu yangu
Njoo unielekeze PM basi...hapa naona maandishi yanakatakata.
Shoga zangu wepi hao? Kwani mimi sisomagi posts zako au comments zako?Shauri zako endelea kuwasikiliza shoga zako. Hata sijui kuwatofautisha wanawake akilini mwangu wewe ndiyo unaniambia wapo single mama.
Yaani kweli umejiunga 2019 halafu unanisomaga?Shoga zangu wepi hao? Kwani mimi sisomagi posts zako au comments zako?
Anha kwahiyo na mimi majukumu yako nisikusaidie eti?-pressure cooker.
-rice cooker.
-Dish washer.
-washing mashine.
Nitakusaidia kwa kununua hivyo.
Halafu kwetu umasaini mwanaume na wanawake tunaheshimiana hatushindanagi.
Kwani ajabu? Mbona nawasomaga wengi tu.Yaani kweli umejiunga 2019 halafu unanisomaga?
Naona haunitaki wewe.
Unayajua yangu kwanza?Anha kwahiyo na mimi majukumu yako nisikusaidie eti?
Ajabu saana.Kwani ajabu? Mbona nawasomaga wengi tu.
NdioUnayajua yangu kwanza?
Nilijileta mwenyeweAjabu saana.
Nani alikuleta JF?