Acheni kupotosha alichokuwa amesema Tundu Lissu kuhusu Acacia na MIGA

Mimi binafsi naamini ushauri ule wa Lissu ulikuwa ni kipumbavu na usio na mantiki kabisa,

Endapo serikali ingefaya kama alivyoshauri Lissu,basi leo hii Tanzania asingekuwepo muwekezaji yeyote wa kimataifa.

Unachotakiwa kujua ni kwamba,hivyo vyombo kama MIGA vipo kwa ajili ya kulinda maslahi ya hao wawekezaji wa kimataifa,


Hivyo basi,kitendo cha serikali kujitoa kwenye hivyo vyombo kisa tu wana mgogoro na mmoja kati ya wawekezaji wakubwa nchini,kingesababisha wawekezaji wa kimataifa kuona kwamba uwekezaji wao haupo salama tena ndani ya nchi,na hiyo ingepelekea wao kusitisha uwekezaji wao wote ndani ya Tanzania.


Jinsi hali ilivyo tu leo hii,kelele kibao zinapigwa juu ya kuvurugwa uchumi wa nchi,hebu niambie sasa,hali ingekuwaje kama wawekezaji wakubwa wote wangefunga virago vyao na kusepa?

Unaweza ukaona ni jinsi gani jamaa alitoa ushauri wa kipumbavu,kwa yeye kutokujua ama kwa makusudi kabisa.
 
Ukishakuwa mwanaCCM akili inachukuliwa
Kama hivi
tapatalk_1558852188968.jpeg
 
Mimi binafsi naamini ushauri ule wa Lissu ulikuwa ni kipumbavu na usio na mantiki kabisa,

Endapo serikali ingefaya kama alivyoshauri Lissu,basi leo hii Tanzania asingekuwepo muwekezaji yeyote wa kimataifa.

Unachotakiwa kujua ni kwamba,hivyo vyombo kama MIGA vipo kwa ajili ya kulinda maslahi ya hao wawekezaji wa kimataifa,


Hivyo basi,kitendo cha serikali kujitoa kwenye hivyo vyombo kisa tu wana mgogoro na mmoja kati ya wawekezaji wakubwa nchini,kingesababisha wawekezaji wa kimataifa kuona kwamba uwekezaji wao haupo salama tena ndani ya nchi,na hiyo ingepelekea wao kusitisha uwekezaji wao wote ndani ya Tanzania.


Jinsi hali ilivyo tu leo hii,kelele kibao zinapigwa juu ya kuvurugwa uchumi wa nchi,hebu niambie sasa,hali ingekuwaje kama wawekezaji wakubwa wote wangefunga virago vyao na kusepa?

Unaweza ukaona ni jinsi gani jamaa alitoa ushauri wa kipumbavu,kwa yeye kutokujua ama kwa makusudi kabisa.
You don't understand...!Mataifa wanatumia hoja ya kujitoa just for bluffing!! Mbele ya camera mnakaza kweli kweli huku mkionesha mnamaanisha!

Watu mnaweka vikao vya kitalaamu kujadili kujitoa, at the end unaitisha press kwamba tunapeleka taarifa rasmi ya kujitoa; na kweli unapeleka huku ikiwa na mapungufu kwa sababu mnajua in a week or two, or even a month, mtaambiwa wasilisheni upya; lakini hapo tayari unakuwa umeshaonesha nia kwamba "unaweza kujitoa"!

Na Magu vile alishaonesha ni wa aina gani, Acacia na mkubwa wao Barrick lazima chupi zingewabana tu... hata kama wasingetoa hizo trilions lakini wangetoa zaidi ya USD 300M! Hata kama wangetoa only 5% bado ingekuwa pesa ndefu sana!!

Na kimsingi, hata wale Acacia kwenda LCIA London, it's just a bluff!! Ule ulikuwa mchezo wa wote wawili... Acacia and Barrick! Wewe uliona wapi mwenye 64% ya hisa anasema "tuzungumze" yule wa 36% anajifanya kuvimba na kwenda mahakamani kwamba hatambui "makubaliano yenu!"

Na lengo ilikuwa kuwafanya serikali wafikie sehemu wajisemee "...heri nusu shari kuliko shari kamili... kwahiyo bora tulambe tu hii USD 300M tusije kukosa yote!" Na kweli wakaingia mkenge!!

The one who bluffs smarter is the winner!!!!

Lakini hata kama unajitoa... man, asikudanganye mtu!! Hakuna mwekezaji wa kweli atakayeshindwa kuwekeza nchini mwako eti kisa umejitoa MIGA!!! Hawa watu ni wasaka pesa popote ilipo! Watu wanaenda kuwekeza kwenye nchi ambazo kila siku makombora yanapita hewani ndo waogope nchi ambayo sio mwanachama wa MIGA!!!

Hilo kwao ni risk but risk pia kwao ni part of the business... the higher the risk, the higher the return!
 
Wafuasi wa Lumumba ama kwa ile kukosa uelewa, au kwa makusudi tu, since Day 1 wamekuwa wakipotosha ambacho Tundu Lissu aliongea kuhusu MIGA! Au wakati mwingine inawezekana ni kutokana na tabia yetu Watanzania ya kutotafuta ukweli!

Binafsi nimekuwa nikilijadili suala la makinikia since Day 1, na kwavile nilikuwa nafuatilia sana nakumbuka vyema nini Tundu Lissu aliongea, na ninamnukuu hapa chini:-
Hiyo ndiyo hoja ya Lissu... kwamba, kama kweli Serikali ya Magufuli ilikusudia kupambana na Acacia, basi walitakiwa kwanza wajitoe kwenye mkataba wa MIGA!

Ushauri sawa na huo wa TL ulikuja tena kutolewa na Dr. Rugemeleza Nshala mbele ya Wabunge walipokuwa wanatafuta maoni ya wadai wakati wa utungwaji wa sheria mpya ya madini.

Gazeti la the Citizen linatujuza:pia the Citizen wanatukumbusha kwamba, Dr. Nshala ni Mtanzania wa pili kutoa ushauri kama huo huku wa kwanza akiwa ni TL:-Kwa maajabu ya wale waliofuatilia suala la umakini, watu wakapotosha na kudai TL amesema tukipambana na Acacia, watatupeleka MIGA, na huu ndo umekuwa wimbo wa wana-CCM na wafuasi wa serikali!

Busara ya TL kushauri kujitoa MIGA unaweza kuiona kupitia tovuti ya MIGA, hivi ndivyo wanasema:-Hapo wanaongea wazi ni namna gani pamoja na mambo mengine, wana jukumu la kulinda uwekezaji dhidi ya maamuzi ya serikali!

Sasa basi, hoja ya TL ilikuwa ni kwamba, tukishavurugana na Acacia ,watakachofanya wao ni kile ambacho kinafanywa na kampuni zingine... yaani kukimbilia Mahakamani, au MIGA!

Lakini kama kweli umeamua kupambana na hawa jamaa, unachotakiwa ni kuchomoa betri kwa kujitoa MIGA ili wasiwe na kwa kukimbilia zaidi ya kwenda kwenye mahakama zetu wenyewe... yaani mahakama zile zile zinazoamua ma-DED wanastahili kusimamia uchaguzi ambao mmoja wa washiriki ni mwajiriwa wake mwenyewe!!!

Kwa maana nyingine, ukishajitoa MIGA maana yake ni kwamba unakuwa huzitambui mahakama zao! Ni kama United States asivyoitambua International Criminal Court, matokeo yake pamoja na uhalifu wote wa kivita wanaoufanya duniani kote, huwezi kumpeleka Mmarekani ICC .

Maajabu makubwa zaidi ya taifa hili, badala ya kuiangalia hoja ya TL Critically, watu wale wale wanaojiona ndio wazalendo zaidi, wakaona mtu kama TL anastahli kuuawa mara moja... na wafuasi wa CCM na serikali yake wamekuwa wakiirudia kauli hii mara kwa mara!!!!

Je, kumpuuza TL kumetugharimu kama taifa?!

Serikali na watetezi wataendelea kujitekenya wenyewe na kucheka wenyewe lakini ukweli ni kwamba imetugharimu kama taifa!

Sote tumeshuhudia danadana za Acacia... watetezi wa serikali wasichofahamu ni kwamba, danadana zote zile ni kwa sababu walifahamu maji yakiwazidi shingo, wangekimbilia mahakamani ambako katu tusingetoka.

Na kwa Mtanzania yeyote anayekejeli kauli hiyo ya TL, kwa hakika anatakiwa kujitafakari mara mbili... anatakiwa kujitafakari kwa sababu sisi ni victim wa hizi mahakama, hususani kupitia IPTL!

Sote sisi tunakumbuka kushikiliwa kwa Bombardier kwa wiki kadhaa kule Canada kutokana na maamuzi yaliyotolewa na mahakama za aina hii!!

Hivyo basi, ili kujilinda tusipelekwe kwenye mahakama kama hizi ambazo kuchomoka ni nadra sana, ndipo TL akasema ukitaka kupambana na hawa watu, basi jitoe MIGA lakini sio kwamba tukipamba na Acacia, wanatupeleka mahakamani!!!

Je, kwanini Acacia Hawajatupeleka MIGA?

Kwa kifupi ni kwamba, Acacia hawakuwa na sababu ya kutupeleka MIGA kwa sababu serikali imepita njia ambayo ni nafuu maradufu kwa Acacia!

Kuweka kumbukumbu sawa, wakati Profesa Orosso akiwakilisha Ripoti ya Pili, alitoa takwimu ya pesa ambayo serikali ilipoteza kama mapato! Prof. Orosso na timu yake waliweka makadirioo ya kiwango cha chini kabisa ambacho serikali ilipoteza, na kiwango cha juu kabisa!

Tuachane na kiwango cha juu kabisa, Profesa Orosso anatujuza, na ripoti kamili inapatikana tovuti ya Ikulu:-Hicho ndicho kiwango cha chini kabisa... na ukichanganya na adhabu (ya kuchelewesha kulipa kodi), jumla ndo ile figure maarufu ya TRilioni 450!!

Sasa hebu tujiulize... Uchunguzi uliofanywa na akina Prof Mruma na mwenzake Prof Orosso (pamoja na timu ya watu wa TRA), ilionesha Acacia wamekwepa kulipa Sh. 68 kwa miaka 17. Leo hii serikali imekubali kulipwa Sh. 700 Billion... sasa hata kama wewe ndo ungekuwa Acacia, ungeenda MIGA kufanya nini?!

Na kama ilivyo kwa mahakama zingine, kesi za MIGA zinachukua miaka na miaka!! Sasa kwanini ukae miaka yote hayo huku biashara ikiendelea kuathirika kwa kushindwa kusafirisha makinikia?!

Sasa wakati Wafuasi wa CCM na serikali yake wakiendelea kumkejeli TL kwamba mbona hao Acacia hawajaenda MIGA, jibu ndo hilo hapo! Hawajaenda kwa sababu sisi ndio tumeliwa! Tumekubali kuchukua Sh. 700 Billion out of 68 Trillion!!!!

NOTE: Moderator punguzeni kasi ya kuunganisha threads bila sababu za msingi eti kisa tu kuna baadhi ya keywords zinafanana!!! Kuandika haya mambo it takes time... so, it sucks mtu unapoteza saa moja na ushee kuandika thread, unakuja next time, huoni kwa sababu imeunganishwa na thread nyingine!
Kamanda kwenye issue ya mgogoro wa Accacia na Serikali Tundu alichemka,hasafishiki.
 
UCHUNGUZI HURU UMEBAINI KWAMBA LISSU THE GREAT NDIYE MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUWEPO KWENYE ENEO LA MAZIWA MAKUU TANGU KUUMBWA KWA MBINGU NA ARDHI .
 
Binafsi mimi huwa sielewi hii misaada tunapewa lini na nani na pesa inaenda wapi?!
Kila siku nasikia deni la taifa linaongezeka, haya madeni ni sehemu ya hiyo misaada?! Au misaada na mikopo tunayokopa ni tofauti?!
Wewe mwenzetu misaada huwa unaipatia wapi?! Binafsi hadi leo hii na umri huu mkubwa sijawahi ona msaada tunaopewa kama taifa popote, naomba msaada kueleweshwa eneo hili la misaada.
Kuna filimbi huwa inapigwa halafu tunapanga foleni pale viwanja vya Mnazi mmoja na bakuli zetu tunapokea misaada.
 
Mimi binafsi naamini ushauri ule wa Lissu ulikuwa ni kipumbavu na usio na mantiki kabisa,

Endapo serikali ingefaya kama alivyoshauri Lissu,basi leo hii Tanzania asingekuwepo muwekezaji yeyote wa kimataifa.

Unachotakiwa kujua ni kwamba,hivyo vyombo kama MIGA vipo kwa ajili ya kulinda maslahi ya hao wawekezaji wa kimataifa,


Hivyo basi,kitendo cha serikali kujitoa kwenye hivyo vyombo kisa tu wana mgogoro na mmoja kati ya wawekezaji wakubwa nchini,kingesababisha wawekezaji wa kimataifa kuona kwamba uwekezaji wao haupo salama tena ndani ya nchi,na hiyo ingepelekea wao kusitisha uwekezaji wao wote ndani ya Tanzania.


Jinsi hali ilivyo tu leo hii,kelele kibao zinapigwa juu ya kuvurugwa uchumi wa nchi,hebu niambie sasa,hali ingekuwaje kama wawekezaji wakubwa wote wangefunga virago vyao na kusepa?

Unaweza ukaona ni jinsi gani jamaa alitoa ushauri wa kipumbavu,kwa yeye kutokujua ama kwa makusudi kabisa.

..alishauri tusitaifishe.

..serikali haikutaifisha.

..alisema madai ya usd 191 na ripoti za kina Prof.Mruma na Prof.Ossoro zina kasoro kubwa.

..serikali imeachana na madai ya 191 billion badala yake ime-negotiate, pia imeachana na ripoti za maprofesa.

..alisema tutashtakiwa miga. Kweli tulishtakiwa na kesi iliondolewa baada ya Tz kukubali "kishika uchumba" na minority shareholders wa accacia kununuliwa kwa bei waliyoridhia.

..alisema kama tunaona miga wanatuonea basi serikali ijitoe miga na migogoro yote kati ya Tz na wawekezaji wa nje iamuliwe na mahakama za ndani.

..serikali imepeleka bungeni sheria kwamba mashauri na migogoro ya uwekezaji itaamuliwa na mahakama za Tz.

..hili la kujitoa miga, Lissu alikuwa akishauri kwa mikataba mipya, siyo mikataba ya zamani.

..mwenye uelewa walikuwa wanajua kuwa anachoshauri Tundu Lissu ni sahihi.
 
You don't understand...!Mataifa wanatumia hoja ya kujitoa just for bluffing!! Mbele ya camera mnakaza kweli kweli huku mkionesha mnamaanisha!

Watu mnaweka vikao vya kitalaamu kujadili kujitoa, at the end unaitisha press kwamba tunapeleka taarifa rasmi ya kujitoa; na kweli unapeleka huku ikiwa na mapungufu kwa sababu mnajua in a week or two, or even a month, mtaambiwa wasilisheni upya; lakini hapo tayari unakuwa umeshaonesha nia kwamba "unaweza kujitoa"!

Na Magu vile alishaonesha ni wa aina gani, Acacia na mkubwa wao Barrick lazima chupi zingewabana tu... hata kama wasingetoa hizo trilions lakini wangetoa zaidi ya USD 300M! Hata kama wangetoa only 5% bado ingekuwa pesa ndefu sana!!

Na kimsingi, hata wale Acacia kwenda LCIA London, it's just a bluff!! Ule ulikuwa mchezo wa wote wawili... Acacia and Barrick! Wewe uliona wapi mwenye 64% ya hisa anasema "tuzungumze" yule wa 36% anajifanya kuvimba na kwenda mahakamani kwamba hatambui "makubaliano yenu!"

Na lengo ilikuwa kuwafanya serikali wafikie sehemu wajisemee "...heri nusu shari kuliko shari kamili... kwahiyo bora tulambe tu hii USD 300M tusije kukosa yote!" Na kweli wakaingia mkenge!!

The one who bluffs smarter is the winner!!!!

Lakini hata kama unajitoa... man, asikudanganye mtu!! Hakuna mwekezaji wa kweli atakayeshindwa kuwekeza nchini mwako eti kisa umejitoa MIGA!!! Hawa watu ni wasaka pesa popote ilipo! Watu wanaenda kuwekeza kwenye nchi ambazo kila siku makombora yanapita hewani ndo waogope nchi ambayo sio mwanachama wa MIGA!!!

Hilo kwao ni risk but risk pia kwao ni part of the business... the higher the risk, the higher the return!





Naona unazungumzia mambo kinadharia zaidi,
Alichoshauri Lissu ni kwamba kama serikali inataka kupambana na ACACIA bila kuburuzwa katika mahakama za kimataifa na kushindwa kesi(kunyolewa kwa chupa) basi hawana budi awali ya yote, kujitoa katika hivyo vyombo kama MIGA,hakuna sehemu aliyosema serikali itishie kujitoa.

Halafu unaposema kuwa serikali imeambulia pesa kiduchu sana (kishika uchumba tu) kwa kuzingatia deni ambalo serikari ilisema inawadai jamaa,
Je unafahumu lengo kuu la serikali lilikuwa ni lipi tangu mwanzoni kabisa mwa hilo sakata?


Imeshatokea kichwani mwako ukajiuliza kuwa pengine serikali ilikuwa na lengo lake lingine kabisa nyuma ya pazia tangu kusimamisha usafirishaji wa makinikia mpaka kuundwa kwa hizo tume na mwishowe kutangaza hilo deni lao la matrilion ya tshiling?

Vp kama lengo lao lilitimia kama walivyotaka wao na hicho kishika uchumba ni BONUS tu?
 
Tutashitakiwa MIGA ulikuwa ushauri kutoka kwa mwanasheria uchwara.
pamoja na ufafanuzi uliotolewa bado tu hujaelewa? you're a mere simpleton, imbecile and idiot. situkani hapa bali call a spade a spade. na hilo jina lako ondoa - li- libaki tu etwege. laana kwako zitapungua. ushauri wa bure!
 
Back
Top Bottom