Mkeka ukichanika umechanika...hela ya mhindi hua hairudi.
Mnajaribu kuokoa jahazi ila ukweli Tundu Lissu alikua na chuki iliyopitiliza kiasi kwamba alitamani nchi inyimwe misaada.
Verified user unajadili hoja kipumbavu namna hii, hujisikii aibu/kuabika?