LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,746
Habari za humu poleni na majukumu
Kabla sijaoa nilibahatika kuwa na mahusiano tofauti na mabinti wa kigoma kwa nyakati tofauti
Wa kwanza nilikutana naye dar gongo la mboto alikuwa mtu wa kigoma mgambo
Alikuwa na heshima sana
Wa pili hao wengine zaidi ya wa nne nilikutana nao nikiwa huko huko kigoma
Kusema ukweli wale mabinti nilikuwa nao kimahusiano wote kwa wakati mmoja japo sikuwahi kufanya nao chochote lakini walikuwa na upendo wa tofauti kidogo pia heshima na hii mada inazugumzia heshima
Kusema ukweli kila mmoja niliahidi kumuoa na wote walikubali watatu walikuwa waislmu na mmoja mkristo
Wale watatu wote walikuwa hawana shida kuhusu dini walikuwa tayari kwenda kanisani na walijuana kwamba nawapenda,
Nilichokipenda kwao sio sura au rangi naaumbo hapana ilikuwa ni hesha walionionyesha
nilifanikiwa kufika nyumbani kwa kila mmoja kwa nyakati tofauti kawaida nikifika huwa naomba maji ya kunywa
Kila nilipoletewa maji wakati nikiwa na kunywa walikuwa eananipigia magoti hata kama gotioja tu limegusa chini mpaka nimalize ndo wanyanyuke
Sehemu nilipokuwa naishi kulikuwa na changamoto ya maji ya kunywa hivo muda mwingine tulitumia maji machafu ya mto ruiche
Basi kila walipokuja kufanya kazi ya kukata au kusaga mafuta kila niliye muagiza aniletee maji aliniletea kwa nyakati tofauti
Nikichukia Basi anatwa mdogo mtu ananiletea kikaratasi cha kuomba msaha na maneno mazuri au yeye mwenyewe ananifuata na kuniomba msamaha pale aliponikosea
Na Mimi nasemehemaisha yanaendelea, kila mmoja alitamani kupanda treni ya kuelekea singida na Mimi lakini mungu naye ana mipango yake
Basi siku zilipo karibia za kuondoka ndo ikawa mbaya hadi kwangu mpaka nilisogeza siku tatu mbele kwa ajili ya mmoja alinimbia nisiondoke nsubiri Kuna kitu aniambie
Kitu chenyewe Sasa akanipo tu zawadi ya kigaloni cha mafuta ya mawese
Nikiwa kwenye treni mida ya saa 2 usiku baadhi yao wenye simu walinitumia sms nzuri za kunitakia safari njema na nisiwasahau
Basi si mnajua mapenzi ya mbali yalivyo, kidogo kidogo nikaanza kuwapotezea mmoja mmoja baada ya kupitamwaka hivi Kuna mmoja alinitafuta na kuniomba ruhusa aolewe
Nikamwambia tu aolewe maana maisha yangu yalikuwa bado kabisa
Na kweli wote wameolewa kasoro mmoja tu ndo sina taarifa zake
Hongereni mabinti wa kigoma ambao hamjafanikiwa kufika Dar
Nawasilisha.
Kabla sijaoa nilibahatika kuwa na mahusiano tofauti na mabinti wa kigoma kwa nyakati tofauti
Wa kwanza nilikutana naye dar gongo la mboto alikuwa mtu wa kigoma mgambo
Alikuwa na heshima sana
Wa pili hao wengine zaidi ya wa nne nilikutana nao nikiwa huko huko kigoma
Kusema ukweli wale mabinti nilikuwa nao kimahusiano wote kwa wakati mmoja japo sikuwahi kufanya nao chochote lakini walikuwa na upendo wa tofauti kidogo pia heshima na hii mada inazugumzia heshima
Kusema ukweli kila mmoja niliahidi kumuoa na wote walikubali watatu walikuwa waislmu na mmoja mkristo
Wale watatu wote walikuwa hawana shida kuhusu dini walikuwa tayari kwenda kanisani na walijuana kwamba nawapenda,
Nilichokipenda kwao sio sura au rangi naaumbo hapana ilikuwa ni hesha walionionyesha
nilifanikiwa kufika nyumbani kwa kila mmoja kwa nyakati tofauti kawaida nikifika huwa naomba maji ya kunywa
Kila nilipoletewa maji wakati nikiwa na kunywa walikuwa eananipigia magoti hata kama gotioja tu limegusa chini mpaka nimalize ndo wanyanyuke
Sehemu nilipokuwa naishi kulikuwa na changamoto ya maji ya kunywa hivo muda mwingine tulitumia maji machafu ya mto ruiche
Basi kila walipokuja kufanya kazi ya kukata au kusaga mafuta kila niliye muagiza aniletee maji aliniletea kwa nyakati tofauti
Nikichukia Basi anatwa mdogo mtu ananiletea kikaratasi cha kuomba msaha na maneno mazuri au yeye mwenyewe ananifuata na kuniomba msamaha pale aliponikosea
Na Mimi nasemehemaisha yanaendelea, kila mmoja alitamani kupanda treni ya kuelekea singida na Mimi lakini mungu naye ana mipango yake
Basi siku zilipo karibia za kuondoka ndo ikawa mbaya hadi kwangu mpaka nilisogeza siku tatu mbele kwa ajili ya mmoja alinimbia nisiondoke nsubiri Kuna kitu aniambie
Kitu chenyewe Sasa akanipo tu zawadi ya kigaloni cha mafuta ya mawese
Nikiwa kwenye treni mida ya saa 2 usiku baadhi yao wenye simu walinitumia sms nzuri za kunitakia safari njema na nisiwasahau
Basi si mnajua mapenzi ya mbali yalivyo, kidogo kidogo nikaanza kuwapotezea mmoja mmoja baada ya kupitamwaka hivi Kuna mmoja alinitafuta na kuniomba ruhusa aolewe
Nikamwambia tu aolewe maana maisha yangu yalikuwa bado kabisa
Na kweli wote wameolewa kasoro mmoja tu ndo sina taarifa zake
Hongereni mabinti wa kigoma ambao hamjafanikiwa kufika Dar
Nawasilisha.