Kama jua lilivyomakinika kuchwa kwa wakati na commitment bila kuchoka mpaka wakati wa kuzama na sisi inabidi tuwe hiyo kwenye maisha bila kuchezea muda Wala visingizio.
".........Unapingana na kauli "Serikali ya wanyonge....."Sure.
Kukaa kwa kusema kwamba mimi ni mnyonge ... Mungu ataniona tu ... Naonewa ... Haitafanya maisha yakuonee huruma.
Bahati ina nafasi yake katika maisha.Sahihi kabisa mkuu.
Mwalimu wetu alikuwa akituambia, Life has no mercy! And always only the fit will conquer. Alafu anasisitizia tena ONLY THE FIT!
Bahati ina nafasi yake katika maisha.
Hata hivyo bahati ni kama lifti.
Lifti huipata aliyeanza safari. Haikukuti nyumbani.
Katika soka penati inaweza kukupa ushindi.
Hata hivyo penati inapatikana kwa bahati. Si rahisi kuiitafuta ukaipata.
Huja kwa bahati.
Ukweli unabaki palepale kuwa hutapata penati bila kucheza.
Lazima uwe mchezoni ndipo upate penati.
Ni kweli kabisa, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...