Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,854
- 10,110
Habari za muda huu wakuu,
Nina Account 2 za CRDB, ya kwanza niliifungua mwaka 2020 kwa kitambulisho changu cha utaifa, na ya pili niliifungua 2021 kwa kitambulisho changu cha chuo kikuu muda huo nilikuwa namalizia mwaka wa tatu wa masomo
Baada ya kumaliza chuo maisha yalinitwanga haswa kiasi kwamba nikakosa saving amount ya kudumbukiza kwenye tu account twangu. Hivyo nikabeba kadi zangu za benki na kuzitupa ndani ya begi, 2021
Mpaka sasa ni miaka mitatu hivi sijatumia akaunti hizo. Nahisi tayari zimekwisha uwawa, hivi utaratibu wa kuzifufua uko vipi? Je kuna kiwango cha pesa kinachotakiwa katika ufufuaji huo? Na je process zake ni changamano kiasi cha kupoteza muda mwingi ili nisisumbuke nifungue tu NMB?
Pia kadi zenyewe zina expire November. Utaratibu wa kuzirenew uko vipi?
Ni hayo tu wakuu...
Nina Account 2 za CRDB, ya kwanza niliifungua mwaka 2020 kwa kitambulisho changu cha utaifa, na ya pili niliifungua 2021 kwa kitambulisho changu cha chuo kikuu muda huo nilikuwa namalizia mwaka wa tatu wa masomo
Baada ya kumaliza chuo maisha yalinitwanga haswa kiasi kwamba nikakosa saving amount ya kudumbukiza kwenye tu account twangu. Hivyo nikabeba kadi zangu za benki na kuzitupa ndani ya begi, 2021
Mpaka sasa ni miaka mitatu hivi sijatumia akaunti hizo. Nahisi tayari zimekwisha uwawa, hivi utaratibu wa kuzifufua uko vipi? Je kuna kiwango cha pesa kinachotakiwa katika ufufuaji huo? Na je process zake ni changamano kiasi cha kupoteza muda mwingi ili nisisumbuke nifungue tu NMB?
Pia kadi zenyewe zina expire November. Utaratibu wa kuzirenew uko vipi?
Ni hayo tu wakuu...