Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 30,473
- 55,361
Nana anawafanya majuha? Hamna mzungu anachangia pesa za mdafi hela ndogo ndogo hizoooAcha kufanya watu ni majuha halafu unadhani hamuonekani?
kama mu wasafi kilio cha nini?
Ruzuku haikuwatosha kujenga chama?
Mlidekezwa mnoNana anawafanya majuha? Hamna mzungu anachangia pesa za mdafi hela ndogo ndogo hizooo
Kama mlikua na doupt, why msifungue kesi mahakamani?
Kila hila wanayo fanya ni kumpiga chura teke tu. Wanajisumbua tu. Michango itachangwa hazina kitu gani 😆😆😆. Wangekua na akili tu wangekubali reforms zifanyike tupate katiba mpya. Kosa wanalofanya hawa watawala wa CCM ni kidhani dunia ya leo ni ile ile iliyo kuwa ina itikia tu kauli za Nyerere. Tupo karne ya 21 na tupo na kizazi kipya na mitazamo mipya. Fungia tone tone uone nyomi la michango tena na tena yaani. Solution ni ku accept BO REFORMS NO ELECTION. Na reforms sio kwa ajili ya chadema wala Cuf wala chama chochote bali ni kuweka usawa na uwazi katika kutambua maamuzi ya watanzania [wapiga kura]Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,
Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale
Uzi
Nyumba mithili ya Meli pachungu hapakaliki, mbelgiji awe makin sana, aliyeshika pembe anaingizwa Chaka kumuumiza
Yes the man is Smart Chama WALATA kilizoea sana vya kuchinjwa, kwa sasa Mbelgiji katembelea Taasisi zaidi ya 30 na mashirika ya Kimataifa na balozi za nchi mbali mbali, kwamba “HAKUNA MAGEUZI HAKUNA KUDINDISHA” isomeke hivi penye (L)pakiwekwa (R) Jamaa ameonekana mtu anayefuata utaratibu...www.jamiiforums.com
Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu
Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’
Britanicca
Wewe ni kima tuseme na zile goli la mama ninutakatishaji..? Unajua maana ya utakatishaji kweli..?Tone Tone na uchangishaji usio rasmi wa fedha ni njia ya kutakatisha fedha.
Yaani mnapewa fedha na walami halafu mnajidai mnataka kuvuruga uchaguzi.
Hamkatazwi kupewa fedha lakini mkumbuke fedha hizo zikishaingia kwenye akaunti ni mali ya umma na lazima zifuate taratibu za kisheria za matumizi ta fedha.
CAG afanye ukaguzi maalumu kutambua fedha zilizopo kwenye akaunti ya CDM zinetokea wapi?
😂😂 huna hoja kajipange tenaMlidekezwa mno
Tutachangia kwenye account ya HecheSina shaka na taarifa yako.
Cdm watafute plani B
zingatia maelezo yangu ya msingi bila mihemko gentleman 🐒Unafuarahia tanganyika kuliwa na kina abduli na wajomba zake waarabu kwa deals chafu na za hovyo za kuiibia fedha nchi na wewe mtanganyika una unga mkono na kurukaruka
Nyie ndo mnafanya CCM ionekane tuna watu wajinga kumbe CCM Kuna watu smart sana wewe kwa akili yako Uoni kwamba wakifungia Account wanazidi kuipa Chadema Airtime kwa wananchi nyie ndo mnamshauri mama vibaya hata kumkamata Lissu ilikua ni kosa na mtego Lissu wamemuongezea ushawishi na umaarufu wa bureTone Tone na uchangishaji usio rasmi wa fedha ni njia ya kutakatisha fedha.
Yaani mnapewa fedha na walami halafu mnajidai mnataka kuvuruga uchaguzi.
Hamkatazwi kupewa fedha lakini mkumbuke fedha hizo zikishaingia kwenye akaunti ni mali ya umma na lazima zifuate taratibu za kisheria za matumizi ta fedha.
CAG afanye ukaguzi maalumu kutambua fedha zilizopo kwenye akaunti ya CDM zinetokea wapi?
Nimecheka sana wanawapiga mapigo ya Musa na FirauniWasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,
Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale
Uzi
Nyumba mithili ya Meli pachungu hapakaliki, mbelgiji awe makin sana, aliyeshika pembe anaingizwa Chaka kumuumiza
Yes the man is Smart Chama WALATA kilizoea sana vya kuchinjwa, kwa sasa Mbelgiji katembelea Taasisi zaidi ya 30 na mashirika ya Kimataifa na balozi za nchi mbali mbali, kwamba “HAKUNA MAGEUZI HAKUNA KUDINDISHA” isomeke hivi penye (L)pakiwekwa (R) Jamaa ameonekana mtu anayefuata utaratibu...www.jamiiforums.com
Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu
Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’
Britanicca
Yaani sheria zisifuatwe kwa kuogopa airtime?wewe ni mshauri wa lissu?Nyie ndo mnafanya CCM ionekane tuna watu wajinga kumbe CCM Kuna watu smart sana wewe kwa akili yako Uoni kwamba wakifungia Account wanazidi kuipa Chadema Airtime kwa wananchi nyie ndo mnamshauri mama vibaya hata kumkamata Lissu ilikua ni kosa na mtego Lissu wamemuongezea ushawishi na umaarufu wa bure
Hata akaunti ya heche inaweza kufuatiliwa pindi ikiingiza fedha chafu...fedha chafu ni uhujumu uchumiTutachangia kwenye account ya Heche
Tone Tone na uchangishaji usio rasmi wa fedha ni njia ya kutakatisha fedha.
Yaani mnapewa fedha na walami halafu mnajidai mnataka kuvuruga uchaguzi.
Hamkatazwi kupewa fedha lakini mkumbuke fedha hizo zikishaingia kwenye akaunti ni mali ya umma na lazima zifuate taratibu za kisheria za matumizi ta fedha.
CAG afanye ukaguzi maalumu kutambua fedha zilizopo kwenye akaunti ya CDM zinetokea wapi?
Kakifute ili ufurahie.ni muhimu sana vyama vya siasa visivyo fanya shughuli za kisiasa kufutwa tu 🐒
Huko alianzia usifikiri Vyama vitasamehewa.View attachment 3352616
Sasa huku unakusemeaje ili mambo yawe sawa.
Nchi yetu inataka kupotoka. Segmental marginalization kama hizi ndo zilizalisha makundi kama Boko Haram na Alshabab. Kugawa watu kuwa hawa wanastahili keki ya Taifa na hawa siyo wakati wote ni Taifa moja ni hatari mbeleni.Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,
Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale
Uzi
Nyumba mithili ya Meli pachungu hapakaliki, mbelgiji awe makin sana, aliyeshika pembe anaingizwa Chaka kumuumiza
Yes the man is Smart Chama WALATA kilizoea sana vya kuchinjwa, kwa sasa Mbelgiji katembelea Taasisi zaidi ya 30 na mashirika ya Kimataifa na balozi za nchi mbali mbali, kwamba “HAKUNA MAGEUZI HAKUNA KUDINDISHA” isomeke hivi penye (L)pakiwekwa (R) Jamaa ameonekana mtu anayefuata utaratibu...www.jamiiforums.com
Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu
Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’
Britanicca