Account za Benki za Mange Kimambi zazuiliwa

kuna siku nimelipia app yake package ya mwezi mmoja nikifikiri anapost mambo mazito kama ya kipindi kile JIWE limeingia ikulu. Nilichokutana nacho kule ndani moyo wangu ulisononeka sana kiasi kwamba hata nikiona notification kua amepost kitu nilikua najawa na hasira sana, after two weeks nili uninstall app na sitarudia tena kusuport kazi yake ya kuumiza hisia za watu.
khaaaah
 
Lakini ujue kama hujui mimi ni basha mzuri sanaa tena fundi mnoo nimebobea kwa walopofu nawapa vidonge havii nikuambie tu jina chokodari muulize mkenya yoyote atakupa jibu, au google kama utabahatika kupata maana yake
Njoo Tanga kama utakatiza bilabila
 
I think waliomtumia wanatafuta namna ya kum dispose. Wanamjua siku moja atawavuruga!

Seems no one is trusting her, good weapon against your enemies but unreliable.

Kwao ni fursa ya kumfunga speed governer ili awe controllable. Lakini kitu kimoja kibaya zaidi "she is smart enough"....
Ndio mtazamo wako hafifu!
 
Nilimwambia huyu dada ingawaje ni nadra Sana mm kukoment kwny mapage ya udaku issue ya prof jay karma itafanya kazi yake yy badala ya kuomba msamaha akaanza kuwananga chadema eti oooh kisa nimewahama nipo kwa mama kasahau prof jay ni mtu asiyeendekeza mavyama na ni mtu poa sasa acha yampate
 
NAONA UNA ANZA KUTENGENEZA KESI MPYA, ZA SHILLA NA WAZAZI WAKE SIJUI.
MARA UNARUDI NA AGENDA ZA LISSU WALIVYOPIGWA RISASI
MARA UNAOMBA USAIDIZI TOKA KWENYE CHAMA.

UKWELI NI KWAMBA KILA MTU YUKO HURU KUONGEA, KUSIKIA ,KUANDIKA NA KUSOMA ANACHO TAKA LAKINI KILA KITU KINA MIPAKA.
OMBA RADHI KWA KUSAMBAZA ILE VIDEO YA MGONJWA AKIWA ICU. HIVYO TU!
 
Back
Top Bottom