Account yangu ya helbs siielewi!!

Account yangu ya helbs siielewi!!

kwa wale wa nit vp maana ata chuo hakijatoa majina official tumeyapata juu juu tu na tcu hawajatoa, sijui wa nit account zenu za heslb zinasomekaje.
 
mimi nimeandikiwa not applied higher education student loan board 2016/17 academic year kwenye list ya waliokosea simo sijajua tatizo nini
Niliingiza namba ya mtu ambae amepata mkopo (list ya jana), cha ajabu nae kaambiwa hivyo hivyo-kaandikiwa Not secured loan, na kwamba haja omba.
 
Majina Yale mbona mengi ni ya UD? inamaana chuo ni UD tu, wengine wanatubagua ase
 
sasa iyo second batch wanaachia baada ya cku ngap?
Maana bila mkopo chuo kimekua kigum kuripot
Batch uwa zinachelewa kutoka, zinaweza fika ata zaidi ya tano na zikachukua hadi November - December ili ziishe, zikiisha wanafungua appeal ya mkopo Kwa waliokosa, Cha msingi fight uanze chuo kwa namna yako wewe if possible, all da best, on the same boat
Halafu majina mengi niya wanafunzi wa udsm nahisi inaweza kuwa leo leo
 
Back
Top Bottom