incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,533
- 4,286
deleted
ni kwa kila mtu boss so stop worrying.....Wakuu kila nikiingia kwenye profile ya account yangu ya mikopo (helbs) nakuta information zangu zipo vle vile kama mwanzo hadi kuprint naweza kuoprint form yangu swali langu ni hili ivi hii ni kwa kila mtu au ni kwangu tu?
Ahsante kakani kwa kila mtu boss so stop worrying.....
Dah mkuu pole sanaaamimi nimeandikiwa not applied higher education student loan board 2016/17 academic year kwenye list ya waliokosea simo sijajua tatizo nini
Heslb mkuuWakuu kila nikiingia kwenye profile ya account yangu ya mikopo (helbs) nakuta information zangu zipo vle vile kama mwanzo hadi kuprint naweza kuoprint form yangu swali langu ni hili ivi hii ni kwa kila mtu au ni kwangu tu?
Broo hata mm hv najiandaa nawafata huko hukomimi nimeandikiwa not applied higher education student loan board 2016/17 academic year kwenye list ya waliokosea simo sijajua tatizo nini
wengi tu mkuuWakuu kila nikiingia kwenye profile ya account yangu ya mikopo (helbs) nakuta information zangu zipo vle vile kama mwanzo hadi kuprint naweza kuoprint form yangu swali langu ni hili ivi hii ni kwa kila mtu au ni kwangu tu?
Mkuu vp majina yaliyotoka mbn machache sanawengi tu mkuu
Kumbe tuko weng duuuhMimi yangu inaandika kuwa sijawa allocated for the first batch
sasa iyo second batch wanaachia baada ya cku ngap?Tuwena subira ndugu yangu
wafanye ivyo Mkuu maana familia yote imenitolea mijichoHalafu majina mengi niya wanafunzi wa udsm nahisi inaweza kuwa leo leo
Kwel Mkuu hujakosea maana ata wale waliochaguliwa first batch majina yao hayafungukNaona kuna tatizo, hata sasa hivi website haifunguki