Account in Dollars

kwema mkuu... Nadhani naweza kuwa na experience japo sio kubwa bt ya kutosha. The good thing ni kwamba sijawahi kuwa na acc ya shilingi na toka nianze nimekuwa na ac za dola CRDB, Stanbic, Standard charter na hatimae access bank. Bila ushabiki Access bank is the best (according to my experience). gharama zake ni kama ifuatavyo; costs of withdrawal in cash ni 0.5%, account maintenance costs ni 1.00 usd kwa mwezi. over and out. wezi wa tatu nilipata capitalization ya 7.92 usd na mwezi wa nne nilipata 8.24 usd mwezi wa tano sita na saba sijachukua statement bt sijwahi kukatwa hela zangu japo zipo kidogo kila mwezi zinaongezeka at least 5 usd kama capitalization. opening balance ni 5 USD

Mkuu kama ni kweli I think Access Bank then will do better. But will pitia kwanza kwa mabenki huko nipate muongozo kidogo. Thank you again in advance.
 
Kama Uko Dar, Bank Of India itakufaa. tembelea tawi lao upate info za kutosha, halaf ili ujiridhishe... Pitia banks nyingine mbili tatu uone tofauti. Labda nikupe tu mfano mdogo, Kufanya TT ya $$ (mf 2000 US$) na Bank of India itakugharimu 12 US$ tu, na CRDB itakugharimu 50 US$, Bank of india hela zitafika unakotuma ndani ya siku pungufu ya 2 , CRDB ni zaidi Ya tatu (tried this already)
Mfano Mungine, Stanbic Bank ukiwa na $$ AC watakucharge dola 18 kwa cheque book yenye page 30, that means kila unapotoa pesa zaidi ya mara 30 itabidi uwalipe $18, Also Monthly fee yao ni $ 8, na ukienda bank umesahau cheque book inabidi upewe temporary kwa gharama ya dola 15... nk... Huu si wizi jamani? Mi nilishafunga AC huko zamani...(labda siku hizi wamebadilika)... Nilipofunga AC yao, wakakataa kunirudishia $50 yangu ile (ya kitabu) wakasema charges gani gani sijui zimetotal hiyo amount, wakati siku zote nilipokuwa natoa pesa walikuwa wanasema bakisha 50....
Kuna baadhi ya Banks kuwa na $$ Ac ni kuibiwa kweupeee....Sijui kwanini wanaona kila mwenye $$ ana hela za mchezo au ana biashara kubwa..!
 
Habarini wanajamvi.
Msaada pliz, ni Bank ipi yenye naweza kuwa na account in dollars, with affordable terms.

Asanteni.

Hebu mwenye data sahihi kuhusu dollar account atujulishe wapi ni cheapest na hawana masharti yenye Urasimu

Wakuu nilikuwa na akaunti za Euro na USD CRDB ilibidi nizifunge zote kukimbia bank charges. Nilienda kufungua Exim Bank. Wakati nafungua gharama zao (Exim bak) zilikuwa kama ifuatavyo.
Monthly fee = 0
Withdraw = 0.1 % ya amount unayochukua.
Interest rate = 0.25 now 0.1 %.
Sijafuatilia kujuwa kama Bank charges zimebadilika.
Nitafuatilia na nitawapa jibu.

Rafiki yangu wa karibu pia aliniambia kuwa yeye ana akaunti ya USD BOA Bank na anasema gharama zao ni sawa na bure ila hakunipa details zaidi. Aliyekaribu na benki hii anaweza kuulizia akatuta jibu. Standarad charted wao huwa wanakata USD 10 kila mwezi. NBC waliniambia wao hawana savings akaunti ya USD ni lazima iwe current akaunti sijafahamu kama wamebadilika hivi sasa.
 
kwema mkuu... Nadhani naweza kuwa na experience japo sio kubwa bt ya kutosha. The good thing ni kwamba sijawahi kuwa na acc ya shilingi na toka nianze nimekuwa na ac za dola CRDB, Stanbic, Standard charter na hatimae access bank. Bila ushabiki Access bank is the best (according to my experience). gharama zake ni kama ifuatavyo; costs of withdrawal in cash ni 0.5%, account maintenance costs ni 1.00 usd kwa mwezi. over and out. wezi wa tatu nilipata capitalization ya 7.92 usd na mwezi wa nne nilipata 8.24 usd mwezi wa tano sita na saba sijachukua statement bt sijwahi kukatwa hela zangu japo zipo kidogo kila mwezi zinaongezeka at least 5 usd kama capitalization. opening balance ni 5 USD

Mkuu nashukuru kwa uzoefu wako!
Je hao Access Bank wapo mikoa ipi hapa Tanzania? Maana wengine tunasafiri sana.
Je Ukiwa nje ya nchi haikupi taabu ku withdraw hela?........................
 
kwema mkuu... Nadhani naweza kuwa na experience japo sio kubwa bt ya kutosha. The good thing ni kwamba sijawahi kuwa na acc ya shilingi na toka nianze nimekuwa na ac za dola CRDB, Stanbic, Standard charter na hatimae access bank. Bila ushabiki Access bank is the best (according to my experience). gharama zake ni kama ifuatavyo; costs of withdrawal in cash ni 0.5%, account maintenance costs ni 1.00 usd kwa mwezi. over and out. wezi wa tatu nilipata capitalization ya 7.92 usd na mwezi wa nne nilipata 8.24 usd mwezi wa tano sita na saba sijachukua statement bt sijwahi kukatwa hela zangu japo zipo kidogo kila mwezi zinaongezeka at least 5 usd kama capitalization. opening balance ni 5 USD

Mie nitafanya kuatach bronchures ili wadau wote mfaidike na hili mkuu

Asante Igwachnya, nitakimbila hUKO access

Mkuu nimependa hao access, vipi unajua matawi yao countrywise, isije kuwa wapo dar tu? itabidi nifunge ya kwangu crdb nihamie access kumbe!

Wakuu nimejaribu kufuatilia Exim wananiambia kuwa charges zao kwa mwezi ni USD 15 kwa current account na kwa savings account ni zero (no charges kwa mwezi) na 1 % kwa withdrawal kwa aina zote za akaunti, too cheap for savings account. Nimejaribu kufuatilia kwenye mitandao ya mabenki mengine na na kuona yafuatayo: Accessbank wameongeza nao gharama za withdrawal kwa sasa ni 1 % badala ya 0.5 % ya awali kama mkuu Igwachnya alivyosema na monthly charges zao bado ni hiyo 1 USD. Kwa Bank of India wao kwa savings account isiyotumia check wanacharge 2 USD kwa mwezi na 0.5 % withdrawal kwa amount inayozidi USD 3000 na minimum balance ni USD 50, very cheap. Nimejaribu kufuatilia BOA Bank naona taarifa zao hawajaziweka wazi kwenye mtandao. Kwahiyo walioko mikoani Exim Bank inawafaa sana.
 
Wakuu nimejaribu kufuatilia Exim wananiambia kuwa charges zao kwa mwezi ni USD 15 na 1 % kwa withdrawal, too expensive. nimejaribu kufuatilia kwenye mitandao ya mabenki mengine naona wakazi wa DAR tu ndo wenye kuweza kupata option rahisi zaidi katika mabenki ya Acess na Bank of India. Accessbank wameongeza nao gharama za withdrawal kwa sasa ni 1 % badala ya 0.5 ya awali kama mkuu Igwachnya alivyosema na monthly charges zao bado ni hiyo 1 USD. Kwa Bank of India wao kwa savings account isiyotumia check wanacharge 2 USD kwa mwezi na 0.5 % withdrawal kwa amount inayozidi USD 3000 na minimum balance ni USD 50, very cheap. Nimejaribu kufuatilia BOA Bank naona taarifa zao hawajaziweka wazi kwenye mtandao labda ingeweza kuwasaidia wakati wa Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Moshi, Morogoro, Mbeya and Tunduma.
Nilichojifunza ni kwamba, kwa kadri benki inavyozidi kujitanua ndo inavyozidi kuongeza gharama.

Mkuu Exim Bank ukiwa na akaunti ya UK pound na Euro ni balaa zaidi maana wanacharge hata deposit (1 %) ya pesa unayoweka which is soo funny. Niliamua kufunga akaunti ya Euro huko. Niliwaulizai "yaani mnaniadhibu hata kwa pesa ninayowawekea maana yake nini?" Wakawa wanajiumauma tu, nikaona upuuzi huu.
 
Standard chartered na stanbic vip? Maana hizi za nyumbani sio rafiki kabisa
nilifungua account na std nilikoma . hawana mashart magumu kufungua, na unaweza we ka $ hata 50 then ukaitoa hata yote hawana neno. sasa kwa mwezi walikuwa wanakata $ 30 niliviacha $ vyangu nikasafiri kama miezi 3 nikakuta wamekata $90 nikahamisha haraka. ila nasikia sasa wameshusha ni $ 10 kwa mwezi. stanibic wanakata unafungua kwa $ 50 harafu wanakata $ 10, baclays unafungua kwa $ 50 wanakata $ 20 kwa mwezi.
 
Mkuu Exim Bank ukiwa na akaunti ya UK pound na Euro ni balaa zaidi maana wanacharge hata deposit (1 %) ya pesa unayoweka which is soo funny. Niliamua kufunga akaunti ya Euro huko. Niliwaulizai "yaani mnaniadhibu hata kwa pesa ninayowawekea maana yake nini?" Wakawa wanajiumauma tu, nikaona upuuzi huu.

Mkuu kwa USD savings account Exim are still the best maana charges zao ni bearable
 
Habarini wanajamvi.
Msaada pliz, ni Bank ipi yenye naweza kuwa na account in dollars, with affordable terms.

Asanteni.

Basi nimewapa mkuu AccessBank
Kumbe bado hawajasambaa mikoani

Mkuu kama ni kweli I think Access Bank then will do better. But will pitia kwanza kwa mabenki huko nipate muongozo kidogo. Thank you again in advance.

Duh, hilo ndio tatizo sasa., anyways will find a way.


Wakuu kwa wale mlioko mikoani basi nendeni Exim Bank. Nime-edit post yangu ya jana baada ya kupata ufafanuzi zaidi kutoka Exim Bank ya kuwa kwenye USD savings account hawana makato yoyote kwa mwezi ila ukichukua ndo wanakata 1 % ya pesa unayochukua. Hiyo USD 15 kwa mwezi wanakata kwenye current account. Nawatakia kila la kheri.
 
Wakuu kwa wale mlioko mikoani basi nendeni Exim Bank. Nime-edit post yangu ya jana baada ya kupata ufafanuzi zaidi kutoka Exim Bank ya kuwa kwenye USD savings account hawana makato yoyote kwa mwezi ila ukichukua ndo wanakata 1 % ya pesa unayochukua. Hiyo USD 15 kwa mwezi wanakata kwenye current account. Nawatakia kila la kheri.

asante kwa jitihada zako mkuu, binafsi itabidi nikafunge ya CRDB ili niokoe hiyo dola 5 wanayonikata kila mwezi
 
kwema mkuu... Nadhani naweza kuwa na experience japo sio kubwa bt ya kutosha. The good thing ni kwamba sijawahi kuwa na acc ya shilingi na toka nianze nimekuwa na ac za dola CRDB, Stanbic, Standard charter na hatimae access bank. Bila ushabiki Access bank is the best (according to my experience). gharama zake ni kama ifuatavyo; costs of withdrawal in cash ni 0.5%, account maintenance costs ni 1.00 usd kwa mwezi. over and out. wezi wa tatu nilipata capitalization ya 7.92 usd na mwezi wa nne nilipata 8.24 usd mwezi wa tano sita na saba sijachukua statement bt sijwahi kukatwa hela zangu japo zipo kidogo kila mwezi zinaongezeka at least 5 usd kama capitalization. opening balance ni 5 USD

asante kwa taarifa hii nilikuwa nafikiria kufungua a/c axim bank nimedili mawazo na endelea kutupa feedback zaidi kuhusu hiyo acces bank
 
kwema mkuu... Nadhani naweza kuwa na experience japo sio kubwa bt ya kutosha. The good thing ni kwamba sijawahi kuwa na acc ya shilingi na toka nianze nimekuwa na ac za dola CRDB, Stanbic, Standard charter na hatimae access bank. Bila ushabiki Access bank is the best (according to my experience). gharama zake ni kama ifuatavyo; costs of withdrawal in cash ni 0.5%, account maintenance costs ni 1.00 usd kwa mwezi. over and out. wezi wa tatu nilipata capitalization ya 7.92 usd na mwezi wa nne nilipata 8.24 usd mwezi wa tano sita na saba sijachukua statement bt sijwahi kukatwa hela zangu japo zipo kidogo kila mwezi zinaongezeka at least 5 usd kama capitalization. opening balance ni 5 USD

asante kwa taarifa hii nilikuwa nafikiria kufungua a/c axim bank nimedili mawazo na endelea kutupa feedback zaidi kuhusu hiyo acces bank
 
Habari wakuu!
1.Nini tofaauti ya current account na Saving account?
2.Je hyo USD account napewa ATM card? Kama ndio ATM kuna $ pia?
3.Nikiwa na $ account kwenye bank naweza nikarusha hela(TT) kununua gari japan? Je cost zake zipo vp? Maana bank nyingine kutuma TT ni 60$
4.Nini faida ya kua na $ acc vs TZS acc?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom