Dah tokea happ nimekua mkorofi x100.Kama ulikosea ukaomba radhi akagoma, ni sahihi kubeba Hiyo adhabu kama alionao ni sahihi kwako..
Mi nipo hivyo, ila nae ajiandae akija kuingia box, ntachomfanyia atasimulia hadi vinying'inya
I was about to say the same thing... Homie was so creative in a bad way πππππ.That's called 'it's not you, it's me' trick.
In other words your were dumped with graceπ€£
Ongeza hadi Γ300. Bado nakuona mpole kwenye miaDah tokea happ nimekua mkorofi x100.
Kwamba debe halimalizi week?mm ckuachwa,,niliacha. alikuwa anang'ata mno sembe msukuma yule, hajui bajeti, nikaona tusije kuolewa wote mjini apa
Eti nina bonge la komwe nitamuharibia watoto .Ni kweli nina bonge la komwe hata ndege ikipita mpaka nilale chini ndio naiona.Komwe kama kofiaππ.
Daah mambo ya ihayabuhaya anayaleta town,,,hatari sanaKwamba debe halimalizi week?
Tatizo ubahiri mkuu huna cha u serious wala nini na ukiendelea hvo mkuu sizani kama utatoboa πππππMkuu kichwa yangu mbovu aisee.. By nature ni mpole ila mtu akishaleta masuala ya kiduanzi aisee...
Kuna demu nilikuwa namfukuzia, nikafika hatua nzuri kabisa. Alikuwa amezoea kuniita chaupole sababu naonekana mpole. Sasa alikuja kujichanganya kutaka kubaki na Hela zangu wakati nimemuagiza dukani.. ananichekea muda huo nipo serious ananletea utani. Nilichomfanyia hakuwahi kutegemea ningefanya kwa nilivyokuwa namkubali. Since then hata salam hakuna na sihitaji tena
Haaaaaaaaah ww Fala mimi siwezi kuachwa kijinga hivyohuyo ni wewe mwenyewe usituzuge,,,,tafuta hela, tafuta hela ,, narudia tena tafuta hela kijana
Ili nihonge lazima nihakikishe hakuna hata mdogo wangu mmoja mwenye shida hata ya penseliTatizo ubahiri mkuu huna cha u serious wala nini na ukiendelea hvo mkuu sizani kama utatoboa πππππ
Weee ni bahili pro max alaaah ππππππππ daaah aiseeeeIli nihonge lazima nihakikishe hakuna hata mdogo wangu mmoja mwenye shida hata ya penseli
Ila Auntie!!!
Mbona umenifanya nicheke namna hii lakini...
Sitaki mimi...
Usicheke auntie ebu niambie tu tatizo lilikuwa nini mpaka mkaachana
Alininyamazia tu....
Na vile hii ni life nikasonga mbele nikaoga na kurudi Soko...