Access to Canada

Kingdom_man

JF-Expert Member
May 19, 2010
405
456
Habarini wanajamvi.... Nasikia kwa sasa Canada ndio nchi pekee inayolipa kuishi na kujiendeleza kijasiriamali.... Kwa sababu Canada its the 2nd largest country in the world with less population which leads to many opportunities of work na vibarua.....
Sasa naombeni tusaidiane kwa more information kuhusu upatikanaji wake wa uraia, access to the country, kazi zipi zipo around kwa wajasiriamali, mji gani ni cheap kwa kuishi na kujiendeleza, living cost and other expenses. Tukipata mtu aliyeoko Canada ni vizuri zaidi atujuze wanajamvi tujue tukimbilie wapi mana Bongo mambo vagaranti.............
 
Wewe ni mtanzania? na unaishi wapi mkuu nakuonea huruma sana una mawazo ya kizamani sana JF hii inafanyakazi yakuelimisha watu lakini naona bado watu hawajaitumia au hajui malengo ya wana JF sisi tuliyopo nje tunatamani kurudi wewe ndo kwanza unataka kutafuta maisha ya kutumwa nenda kijijini mwaka utaona matunda ya tanzania baada ya miaka miwilitu utarudi mjini kuuza nyago tafuta ushauri lakini kama unataka kwenda kanada nenda utaikumbuka bongo kwa muda mfupi sana na hutoweza kurudi na ukirudi itakuwa umesha poteza sana muda ushauri wangu tafuta chakufanya huko kama unaelim tumia elim uliyo nayo fanya kazi yako binafsi uiajiriwe
 
ni kweli atapoteza muda wake bure man!!!mimi mwenyewe simshauri atoke bongo kama ana elimu yake hapohapo bongo panalipa cha muhimu ni kujiamini na kua na plan inayofaa!
Wewe ni mtanzania? na unaishi wapi mkuu nakuonea huruma sana una mawazo ya kizamani sana JF hii inafanyakazi yakuelimisha watu lakini naona bado watu hawajaitumia au hajui malengo ya wana JF sisi tuliyopo nje tunatamani kurudi wewe ndo kwanza unataka kutafuta maisha ya kutumwa nenda kijijini mwaka utaona matunda ya tanzania baada ya miaka miwilitu utarudi mjini kuuza nyago tafuta ushauri lakini kama unataka kwenda kanada nenda utaikumbuka bongo kwa muda mfupi sana na hutoweza kurudi na ukirudi itakuwa umesha poteza sana muda ushauri wangu tafuta chakufanya huko kama unaelim tumia elim uliyo nayo fanya kazi yako binafsi uiajiriwe
 
Wewe ni mtanzania? na unaishi wapi mkuu nakuonea huruma sana una mawazo ya kizamani sana JF hii inafanyakazi yakuelimisha watu lakini naona bado watu hawajaitumia au hajui malengo ya wana JF sisi tuliyopo nje tunatamani kurudi wewe ndo kwanza unataka kutafuta maisha ya kutumwa nenda kijijini mwaka utaona matunda ya tanzania baada ya miaka miwilitu utarudi mjini kuuza nyago tafuta ushauri lakini kama unataka kwenda kanada nenda utaikumbuka bongo kwa muda mfupi sana na hutoweza kurudi na ukirudi itakuwa umesha poteza sana muda ushauri wangu tafuta chakufanya huko kama unaelim tumia elim uliyo nayo fanya kazi yako binafsi uiajiriwe

ni kweli atapoteza muda wake bure man!!!mimi mwenyewe simshauri atoke bongo kama ana elimu yake hapohapo bongo panalipa cha muhimu ni kujiamini na kua na plan inayofaa!
panalipa mbona nyie mmekimbia na hamurudi??acheni wivu wa kibwege nyie mpeni mwenzenu idea nae akajaribu bahati,kwani nyie mliendaje??nyie ndio mnaowachomaga wabongo wenzenu huko ughaibuni warudishwe:usa2:
 
Kumbe kunakuchoma!! sikujua. kwa kipi hasa umchome mwenzio?? Bongo maisha poa bana wazungu watakubebesha box mpaka ushindwe kupumua shauri lako
 
You can apply to immigrate to Canada under any of the following Three classes, provided you qualify. However Option 2, and 3 favuor pple who are already in the country working, and or students with Canadian Education (graduated within the country)

1.Skilled workers and professionals
Skilled workers are selected as permanent residents based on their education, work experience, knowledge of English and/or French, and other criteria that have been shown to help them become economically established in Canada.
Immigrating to Canada: Skilled workers and professionals
2.Canadian Experience Class
This is fora temporary foreign worker (already in canada)or a foreign student who graduated in Canada.
Canadian Experience Class
3.Provincial nominees
Most provinces in Canada have an agreement with the Government of Canada that allows them to nominate immigrants who wish to settle in that province. If you choose to immigrate to Canada as a provincial nominee, you must first apply to the province where you wish to settle and complete its provincial nomination process.
Provincial nominees - Who can apply

For the Skilled Worke, you will require a min of 67 points to qualify. The link
below is a self assessment tool that can be used to determin this
Skilled Worker Online Self-Assessment - Education


Hope this is helpful and Good luck!
 
panalipa mbona nyie mmekimbia na hamurudi??acheni wivu wa kibwege nyie mpeni mwenzenu idea nae akajaribu bahati,kwani nyie mliendaje??nyie ndio mnaowachomaga wabongo wenzenu huko ughaibuni warudishwe:usa2:

babu umeniwahi! Yaani watz bwana.
Badala hata wamwambie faida na hasara zake wanajifanya kuponda na wakati wenyewe wameng'ang'ana huko huko.
Sio mpango huo.
 
You can apply to immigrate to Canada under any of the following Three classes, provided you qualify. However Option 2, and 3 favuor pple who are already in the country working, and or students with Canadian Education (graduated within the country)

1.Skilled workers and professionals
Skilled workers are selected as permanent residents based on their education, work experience, knowledge of English and/or French, and other criteria that have been shown to help them become economically established in Canada.
Immigrating to Canada: Skilled workers and professionals
2.Canadian Experience Class
This is fora temporary foreign worker (already in canada)or a foreign student who graduated in Canada.
Canadian Experience Class
3.Provincial nominees
Most provinces in Canada have an agreement with the Government of Canada that allows them to nominate immigrants who wish to settle in that province. If you choose to immigrate to Canada as a provincial nominee, you must first apply to the province where you wish to settle and complete its provincial nomination process.
Provincial nominees - Who can apply

For the Skilled Worke, you will require a min of 67 points to qualify. The link
below is a self assessment tool that can be used to determin this
Skilled Worker Online Self-Assessment - Education


Hope this is helpful and Good luck!

Nemo Asante sana, umeokoa jahazi angalau nina pakuanzia sasa.......... nimecheki links hata mimi nimeona Skilled Worker ndio imetulia zaidi......
points zimeniruhusu kuapply...........ngoja niendelee kuchambua hizi habari nikikwama nitakuPM......Ubarikiwe sana
 
babu umeniwahi! Yaani watz bwana.
Badala hata wamwambie faida na hasara zake wanajifanya kuponda na wakati wenyewe wameng'ang'ana huko huko.
Sio mpango huo.

Asanteni wadau bora muongee ninyi, mtu naomba muongozo nijikwamue, afu akina KASOPA wanakurupuka na kuongea mzaha:blah:
 
You can apply to immigrate to Canada under any of the following Three classes, provided you qualify. However Option 2, and 3 favuor pple who are already in the country working, and or students with Canadian Education (graduated within the country)

1.Skilled workers and professionals
Skilled workers are selected as permanent residents based on their education, work experience, knowledge of English and/or French, and other criteria that have been shown to help them become economically established in Canada.
Immigrating to Canada: Skilled workers and professionals
2.Canadian Experience Class
This is fora temporary foreign worker (already in canada)or a foreign student who graduated in Canada.
Canadian Experience Class
3.Provincial nominees
Most provinces in Canada have an agreement with the Government of Canada that allows them to nominate immigrants who wish to settle in that province. If you choose to immigrate to Canada as a provincial nominee, you must first apply to the province where you wish to settle and complete its provincial nomination process.
Provincial nominees - Who can apply

For the Skilled Worke, you will require a min of 67 points to qualify. The link
below is a self assessment tool that can be used to determin this
Skilled Worker Online Self-Assessment - Education


Hope this is helpful and Good luck!

Soma Citizenship and Immigration Canada 2011 updates. Kuna changes kubwa hata hao ni vigumu kukubaliwa.
 
Habarini wanajamvi.... Nasikia kwa sasa Canada ndio nchi pekee inayolipa kuishi na kujiendeleza kijasiriamali.... Kwa sababu Canada its the 2nd largest country in the world with less population which leads to many opportunities of work na vibarua.....
Sasa naombeni tusaidiane kwa more information kuhusu upatikanaji wake wa uraia, access to the country, kazi zipi zipo around kwa wajasiriamali, mji gani ni cheap kwa kuishi na kujiendeleza, living cost and other expenses. Tukipata mtu aliyeoko Canada ni vizuri zaidi atujuze wanajamvi tujue tukimbilie wapi mana Bongo mambo vagaranti.............

Mkuu Robinhood, usikatishwe tamaa na yoyote yule, kama umeamua kuitafuta Canada basi funga buti, ila tu inatakiwa uwe na moyo wa hali juu. Kwanza VISA ya Canada inatoka kwa mbinde haswa, kwa hiyo inabidi ujikamilishe (documents) kabla ya kuanza hilo sakata. Pili, endapo utafanyikiwa, basi uende huko na uvumilivu wa hali juu, kwani inachukuwa muda mrefu sana kuingia kwenye SYSTEM (Intergration). Watu wengi wametoka walikotoka na PROFESSION zao laini wanapofika Canada wanaishia kuwa madreva TAXI au wabeba box. Tatu, hakuna mambo ya tiki-taka huko, kilo kitu ni kwenye mstari; ulipaji kodi, kufuata sheria za nchi, na kazi. Na mwisho kabisa, Hali ya hewa ni noma; wakati wa winter hali ya hewa huwa inateremka mpaka -35 degree (below zero), huo mziki usikie hivyo hivyo.
Vinginevyo, good luck.

flag_canada.gif


http://www.google.ca/imgres?imgurl=...=WgNvTabIAoeW4ga6ntWxDQ&sqi=2&ved=0CCoQ9QEwAg
 
Kitu kingine muhimu "watakupima UKIMWI" na vipimo vingine vyote kama vile kifua, figo, BP, macho nk. They dont want watu wagonjwa wagonjwa. Hali ya hewa inategemea na jimbo ulilopo. Nipo Edmonton kwa ajili ya masomo temperature ya leo ni -38C. Kuhusu kupata kazi hapa ni rahisi kidogo kwani hapa watanzania ni wengi na wanaushirikiano kama wapo Bongo. Waziri Chami alikuwa hapa kabla ya kuingia kwenye siasa
 
Mkuu Robinhood, usikatishwe tamaa na yoyote yule, kama umeamua kuitafuta Canada basi funga buti, ila tu inatakiwa uwe na moyo wa hali juu. Kwanza VISA ya Canada inatoka kwa mbinde haswa, kwa hiyo inabidi ujikamilishe (documents) kabla ya kuanza hilo sakata. Pili, endapo utafanyikiwa, basi uende huko na uvumilivu wa hali juu, kwani inachukuwa muda mrefu sana kuingia kwenye SYSTEM (Intergration). Watu wengi wametoka walikotoka na PROFESSION zao laini wanapofika Canada wanaishia kuwa madreva TAXI au wabeba box. Tatu, hakuna mambo ya tiki-taka huko, kilo kitu ni kwenye mstari; ulipaji kodi, kufuata sheria za nchi, na kazi. Na mwisho kabisa, Hali ya hewa ni noma; wakati wa winter hali ya hewa huwa inateremka mpaka -35 degree (below zero), huo mziki usikie hivyo hivyo.
Vinginevyo, good luck.

flag_canada.gif

Nimeukubali sana ushauri wako,umekuwa so straight and unbiased..

Ni kweli ulaya na marekani kwa sasa ni kugumu lakini mtu anapoamua ushauri siyo kumwambia usiende,ila kama ulivyofanya mpe black and white na yeye ataamua mwenyewe,who knows mother luck might shine over him na akatoka..lakini ukweli utabaki palepale abroad kumebadilika sana sasa tofauti kabisa na hapo nyuma and in fact dunia imebadilika,kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni,watu wamebadilika.
 
awe free tu kwenda huo ulikua ni ushauri tu ndio maana nikasema kama anajisikia sio mbaya ila nisingemshauri kwenda so hata wewe ulifikiri kwamba kama kaomba ushauri ategemee atapata majibu chanya tu mie naona kama ***** wewe unaetoa lugha chafu kwenye public kama hii mshauri tu aende kwa moyo mweupe na sio kutoa majibu machafu!
panalipa mbona nyie mmekimbia na hamurudi??acheni wivu wa kibwege nyie mpeni mwenzenu idea nae akajaribu bahati,kwani nyie mliendaje??nyie ndio mnaowachomaga wabongo wenzenu huko ughaibuni warudishwe:usa2:
 
kwa usengge huu wa tanzania mkuu ukipata chanel nistue nikujoin...
 
Watu wengine bwana!! Kuna jamaa wameshuka hapo eti wanamwambia aitamani kwenda huko kwa vile wao tu wamekwama na wanatamani kurudi Bongo! Mbona sasa hawarudi? Nani kawazuia kurudi hao? Huu ni wivu tu! Kama kuna mabaya si mngemwambia mwenzenu kuliko kuanza kumkatisha tamaa!!

Jamaa yangu wewe jimwage huko kama mambo yataenda vizuri. Ingawa hata hapa kwetu kunalipa tu mradi utumie elimu yako vizuri! Tatizo ni hawa mafisadi, tu vinginevyo maisha yangekuwa poa sana. Hebutafakari kuhusu elimu yako na uangalie kwa kutumia elimu yako hiyo ni nini unaweza kufanya hapa hapa Bongo? Kuwa Mjasiriamali wa kwetu Ulaya au Amerika utaenda kutembea baada ya kufanikiwa hapa Bongo!!
 
Mkuu samahani kama nimekkwaza lakini hayo ni maoni yangu tu sio lazima ufate mkuu. zijafanya mzaha ndomaana nikasema jaribu kufanya stadi kabla huja fikia hatua hiyo kwakuwa home kunalipa sana kuliko huko wannvyozani wengi. hususani kwa mwenye elim nibora sana TZ kuliko ughaibuni. TZ ni kujua shaneli zilivyo mkuu watu wengi huishia kufanyia kazi tumbo tu nasio maendeleo kwakuwa mfumo wa nchizao. TZ kuna bado kuna nafasi kubwa ya kujikwamua kimaendeleo kinashotakiwa nikubuni na kuvumbua nini chakufanya. ili upate kipato kizuri tanzania bado kuanafasi yakufanya biasha changa naikawa kubwa kwa kipindi kisicho zidi miezi 24 nakufanikiwa kimaendeleo jaribu kufkiri sana kuhusu swala hili usichukuwe ushauri wa harakaharaka tumia elimyako mkuu vijana wengi hawasemi ukweli lakini ukifika huko ndo utaujua ukweli. na wengi wanashindwa kurudi kwakuona ni fedhea kurudi akiwa hana kitu na anajipa moyo kuwa iposiku atadaka ndo usemiwao. lakini hawayaoni maendeleo ya TZ kwamakusudi yao wengiwao wanapiga deywaka. mimi nipo nje lakini mkuu nimeshtuka na nimeisha anza kujiwekeza hom japokuwa ni kujiminya sana ili uweze kushindana na kasi ya maendeleo ya kilaziku. tanzania enaenda kasisana kimaendeleo lakini watu waliopo ndani ya nchi ni wachache sana wanaoliona hilo wamegubikwa na wimbi la wanasiasa na propaganda zao matokeo wanajisahau hawatafuti njia za kujikwamua kimaisha. jaribusana kufanya uchunguzi wakina. wacanada wenyewe wanakwenda ishi nchi za Tailandi na kutafuta urahisi wa maisha. wakati wao ni raiya. mkuu mimi na shukuru sana JF ndio iloniokoa na najivunia kwani maendeleo yangu yametokana na wana JF waliomo humu wengiwao bila kujua na wengine wanajua nawshkuru sana nimepiga hatua kubwa kupitia JAMIIFORUMS wakati nilsha katatamaa nashanga kuona mtu kupitia JF kuwa na wazo la kwenda ughaibuni. mimi nimeweza kumiliki raslimali zenyesamani nakujipatia maendeleo kwa kiasikidogo cha patolangu. narudia tena Thenxx wana JF
Asanteni wadau bora muongee ninyi, mtu naomba muongozo nijikwamue, afu akina KASOPA wanakurupuka na kuongea mzaha:blah:
 
Back
Top Bottom