Kingdom_man
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 405
- 456
Habarini wanajamvi.... Nasikia kwa sasa Canada ndio nchi pekee inayolipa kuishi na kujiendeleza kijasiriamali.... Kwa sababu Canada its the 2nd largest country in the world with less population which leads to many opportunities of work na vibarua.....
Sasa naombeni tusaidiane kwa more information kuhusu upatikanaji wake wa uraia, access to the country, kazi zipi zipo around kwa wajasiriamali, mji gani ni cheap kwa kuishi na kujiendeleza, living cost and other expenses. Tukipata mtu aliyeoko Canada ni vizuri zaidi atujuze wanajamvi tujue tukimbilie wapi mana Bongo mambo vagaranti.............
Sasa naombeni tusaidiane kwa more information kuhusu upatikanaji wake wa uraia, access to the country, kazi zipi zipo around kwa wajasiriamali, mji gani ni cheap kwa kuishi na kujiendeleza, living cost and other expenses. Tukipata mtu aliyeoko Canada ni vizuri zaidi atujuze wanajamvi tujue tukimbilie wapi mana Bongo mambo vagaranti.............