drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
yani ukiwa auna rushwa mafaili yanapoteaga kimuujiza ila ukitoa rushwa tu hapo hapo linaonekana yani cjui kinatokeaga nn hapa ata kama unaliona hapo mezani ukamwonyesha samani si hilo hapo anakwambia siyo lako lakwako silioni ukimpa rushwa macho yanafunguka
yani no wonder bibilia inasema rushwa upofusha macho unakuwa uone kabisa angalia ata matrafiki magari mabovu kabisa yani uitaji ata kukagua lakini awayaoni why rushwa
yani no wonder bibilia inasema rushwa upofusha macho unakuwa uone kabisa angalia ata matrafiki magari mabovu kabisa yani uitaji ata kukagua lakini awayaoni why rushwa