Acacia Yatutangaza Vibaya Duniani, Yadai Tanzania Kuna " risks to the safety and security of people"!, Mwekezaji Gani Ata Invest Kwenye Such Risks?!.

PASCAL MAYALLA:Hizi DHARAU,DHIHAKA na AJIZI za ACACIA zinapaswa ziende moja kwa moja kwa Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wale watu wake aliowazawadia "vyeti"na wala sio kwa WATANZANIA wote!
Yeye alikuwa anawakilisha maslahi yake binafsi wala sio ya NCHI..
OVER
 
Lissu alishatutahadharisha haya mambo lkn hatukutaka kusikia sasa tumeshakalia kuti kavu kwa sababu ya kurupu za ccm
tapatalk_1539955260405.jpeg
 
Wanabodi,
Naendelea na zile mada zangu za kuangazia maslahi kwa taifa.
Mambo ya Acacia kututangaza vibaya duniani yanaendelea, kati ya juzi, na leo, wameishatoa press releses 3 kuizungumzia Tanzania, ikiwemo hii ya leo ambazo zote wanalalamikia watu wao kukamatwa na kushitakiwa.
Press Release Item
Juzi waliotoa press releases mbili
Press Release Item
Press Release Item

Kwenye hii press release yao ya leo, wamesema na hapa ninanukuu
Peter Geleta, Interim CEO of Acacia stated: “Against this strong operating performance, I am, however, deeply concerned about the increasing risks to the safety and security of our people and the increasingly challenging operating environment in Tanzania which could impact the outlook for the business".

Wamesema kwanza wataishitaki Tanzania kwa baba yao Barrick, kushinikiza madai yoyote ya serikali dhidi ya Acacia, yajumuishwe kwenye mazungumzo yanayoendelea, pili watafanya majadiliano na serikali, kuachana na hizi kamata, kamata, sweka ndani na shitakiana shitakiana za watumishi wao, serikali yetu isipowasikiliza, then watatushitaki MIGA!.

My Take.
1. Kwa serikali yetu: kwa vile tunamazungumzo yanayoendelea kati ya serikali yetu na Barrick kuhusu Acacia, na msingi mkuu wa mazungumzo hayo ni Trust and Transparency, yaani kuaminiana na uwazi, kitendo cha kuwashitaki Acacia kwa jambo linalozungumzika mezani, ni breach of trust, kwa nini matatizo yote kabisa ya Acacia na serikali yetu yasiwe consolidated na kupelekwa kwenye meza ya mazungumzo?. Na kama haya mashitaki ni hasira tuu za kucheleweshewa kila kishika uchumba chetu, simamisheni kwanza kila kitu, kishika uchumba kitoke, ndipo mazungumzo yaendelee!.

2. Kitendo cha wanasheria wetu nguli, kukubali kufanya mazungumzo na Barrick bila mhusika mkuu Acacia kushirikishwa, ni udhaifu mkubwa, kwa sababu chochote kitakachokubaliwa, the final ni Acacia na sio Barrick, its not too late kuwakaribisha Acacia now, ili chochote kitakacho fikiwa na mazungumzo yale kiwe ni final and conclusive.

3. Pia tumeonyesha udhaifu kwenye composition ya timu yetu ya mazungumzo, kumbe hatuna watu wa PCCB mule?!, ndio maana huku serikali yetu inazungumza na Barrick kuhusu Acacia, huku BCCB wako busy kuwafungulia mashitaka, tuiongeze timu yetu tuwaweke watu wa kila sekta, ili kila kitu kiwekwe mezani, likiisha liishe jumla.

4. Kwa Acacia: Unapokuwa kwenye nchi ya watu, ukijivunia rasilimali za nchi hiyo, inakubidi uwe na adabu na heshima, sometimes unaweza kulazimika kukaa kimya tuu hata kama unaonewa, ili uzimuudhi mwenye mali!, huwezi kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ni nchi yenye safety and security risk, kwa sababu tuu watu wako wameshitakiwa!.

5. Mwisho: Serikali yetu iwe wazi, truthfully na very transparently kinachoendelea kwenye mazungumzo yetu, its not fair, hata sisi Watanzania wenyewe, tunapata updates kutoka Barrick au Acacia, tungependa kupata taarifa rasmi kutoka kwetu.

Paskali
Hivi vita ni kubwa kuliko tunavyoichukulia..!
 
Ningependa ufafanue kidogo kuhusu hilo la baadhi ya sera za mheshimiwa raisi Magufuli kuwaathiri baadhi ya wawekezaji kwamba wamaanisha masharti ya uwekezaji au taratibu.
Uchumi ni namba mkuu na hauna maadili yoyote yale. Ili mradi tu sifuri zinaongezeka kwenye Uchumi basi huo Uchumi utakua kwa kasi sana. Haijalishi unatokana na wizi, ufisadi au biashara halali zote hizi zinachangia pato la taifa kwa namna moja au nyingine. Maana kwenye hizo hela kama muuza Unga halipi Corporate Tax basi atalipa Value Added Tax. Atampa hela machinga, atajenga nyumba Masaki, Atajenga hoteli Serengeti watu watapata ajira.

Sasa kinachotufanya kubana uchumi ni kuhakikisha watu wote wananufaika na keki ya taifa. Tunataka Equatable Sharing of nation's wealth, National Security, Control of inflation etc Tusipoingilia Uchumi basi lazima kuna watu watakuwa masikini sana na kuwa wengine watakuwa matajiri sana au kushuka kwa thamani ya pesa na bidhaa au mwishowe hata anguko la kiuchumi.

Kwenye swali lako sasa:
Ili Uchumi ufanye vizuri unategemea vita kama:
-Afya ya Mabenki (Creators of new Money)
-Taasisi Binafsi (Strong Private Sector)
- Ushindani wenye afya (Good and Healthy competition)
- Ukusanywaji na Utozwaji kodi za biashara
- Etc


Lakini sasa huyu Mzee wetu leo hii anataka kutengeneza kitu kinachoitwa The Nanny Government kwamba Serikali ndiyo iwe inafanya kila kitu (Strict Centralization of the Economy). Biashara ni uwekezaji wa mda ambao inabidi ufuate sera na utaratibu. Ila mshua leo anaamini kwamba taasisi binafsi ni kansa kwa taifa. Mfano, hivi kulikuwa na haja gani ya kutumia kampuni za ujenzi za Serikali wakati Tanzania watu wengi waliwekeza kwenye Ujenzi ? Nimeshuhudia makampuni ya Serikali yanapojenga yanacheleweshwa sana kulipwa pesa na wanaishia kuambiwa waandike barua tu. Hivi hapa siyo uvurugaji wa Uchumi huu ?

Kwanini serikali isijikite kwenye kusimamia kutunga sera na kusimamia biashara na kukusanya kodi halafu ikaacha mfumo wa masoko (Market Economy) ufuate mkondo wake ? Hapa kuna ugumu gani ?

Sasa kwenye Ushindani (Competition) wa kibiashara, hivi unadhani mtu binafsi anaweza kushindana na makapuni yanoyoendeshwa kwa ruzuku za Serikali ? Nakubali kwamba makampuni makubwa na biashara kubwa (The Major means of production) ambazo ni chanzo kikubwa cha mapato zinaweza kushikwa na Serikali. Mfano Energy Industry (Gas, Oil, Electricity. Lakini siyo kila kitu lazima ishike Serikali maana vingine vinaweza kufanywa na watu binafsi tena kwa ufasaha mzuri tu kuliko Serikali. Sasa mzee amekazana anazipiga kabali hizi kampuni binafsi hadi unabaki unashangaa.

Ntaendelea na kukupa takwimu kuhusu Mabenki na ambavyo mzee kafanya vizuri lakini akaharibu hapohapo tena. Hakuna Coherence ni fujofujo tu!
 
t means hawa walimu wetu ( maprofesa) walitudanganya kwenye takwimu na makadirio walioweka kipindi kile kuhusu pesa za hawa wanaume, na kama walitudanganya je, kule darasani vyote walivyokuwa wanatufundisha vipo sahihi?

Haikuwa nia yao kudanganya, Excel Sheet Programme iliwasinda kujumlisha Ma-Prof. wazee...........
 
Mbali na Lissu kuongea ushauri mwingine wa kitaalamu ambao mnatoa kwa Serikali kuhusiana na makinikia ni upi ? Ina maana leo tuwategemee Prof Osoro na Lissu peke yao ? Mbona mwenzenu Pascal Mayalla amejitahidi kutoa ushauri wa kitaalamu na ameonyesha uwezo wa kifikiri na kuchambua yeye peke yake kama msomi. Wewe hapo Odhiambo Cairo ushauri wako binafsi wa kitaalamu kuhusu Makinikia uko wapi ?

AU mpaka Lissu aandike kupitia Mwanahabari Huru ndiyo mpate cha kuchangia ?
Hebu tuache hizi siasa za matukio na tujaribu kuyatazama mambo katika mapana yake. Kama tunapinga basi tulete hoja nzito zenye utafiti wa kutosha na watu tuzione na tuzichambue kwa umakini.



Tena kukusaidia tu, Mikataba mikubwa yote ni ya Raisi hawa makamishna wanaisaini kwa niaba ya Raisi (On behalf of) au kama Mashahidi tu (Witnesses). Halafu hakuna anayesema CCM ni wasafi, hebu acheni hii Sensationalism na Partisan Politics ambayo inawafunga akili msiweze kufikiri vizuri. Hapa hoja siyo Magufuli hapa hoja ni nchi.Huyu Raisi ni mpitaji tu ambaye anajaribu kurekebisha baadhi ya mambo sasa kuichukia nchi yako kisa mpitaji ni ukosaji wa uungwana.



Tatizo lenu kubwa ndiyo hili. Hamsomi viti vizuri, mnakurupuka, mnapenda kukosoa ila mkikosolewa mnapiga kelele kweli. Haya sasa wapi nimesema Tundu Lissu hafai, au umeamua kunilisha maneno ?

.

Kuhusu swala la gesi na mafuta hawakulalamika CHADEMA tu, hata CCM walilamika kwa mambo mabovu ambayo Jakaya aliifanyia nchi. Hadi Mzee Malecela alisema gesi lazima iwanufaishe wana Mtwara kwanza. Siku ile vurugu ya Mtwara inatokea Jakaya alikuwepi Mtera Iringa, aliwatishia sana viongozi wa CCM ambao walikuwa wanataka gesi isitoke akisema "Lazima atawakata pembe". Mbona unataka kulifanya hili swala kama la mtu binafsi wakati ni swala la kitaifa ?


Yes, Tundu Lissu was right. But even people like former Premier Malecela, Dr Slaa, Zitto Kabwe, Mtikila and Mkapa spoke viciously against The Gas Deal. Au unataka kusema huyo Lissu hajawahi kupotosha Umma kwa maksudi ?? AU Unataka nikupe na mifano hai kabisa
Majibu yako yameelemea kutetea hivo nakosa la kushauri.
 
I totally agree with you! Ila tangu mwanzo tulipanda mchungwa tukiuita mchenza, sasa umezaa matunda tunatafutana uchawi.

Hawa Acacia wamekula sana na wameiba vya kutosha. Ila hatuwezi kukataa mkono wetu (watanzania) katika wizi huo. Tulikosea kwanzia kwenye mikataba ya mwanzo na tuliponzwa na watanzania wachache tuliowaamini wasimamie rasilimali zetu. Ila hatuwezi kutatua tatizo kwa ubabe, tunahitaji akili zaidi na mikakati bora kwenye hili jambo laa sivyo tunajichimbia shimo refu litakalotufunika wenyewe.
Ubabe ni mzuri kama ni wa haki!! Lakini hii hawa ni wateule na wale watolewe mifano. HAUFAI HATA KIDOGO.
 
Mimi siyo mwanasheria wala mfanyabiashara, so please correct me if I am wrong.

Nilishawahi kuambiwa kuwa hakuna kipengele muhimu kwenye mikataba kama eneo linalozungumzia migogoro na hatua za kuvunja mkataba huo. Pande mbili au zaidi zinapoingia kwenye mkataba, na katikati ya muhula kukatokea tatizo, upande wowote unaweza kutoa lalamiko au kutaka kuvunja mkataba.

Duuh you are shrewd observer my friend.
Na nilikuwa nasubiria mtu ambaye ninaweza kuzungumza naye vizuri kuhusu hili. Binafsi naamini sana katika mikataba na uwekezaji. Ukisaini mkataba mbovu ambao unakulalia wewe hilo siyo kosa kabisa kisheria. Mkikubaliana kubadilishana Lamborghini na Kunguru wa Kariakoo, hilo siyo kosa kabisa kwasababu kuna kanuni moja kwenye mikataba husema Its all about Sufficiency and Not Adequacy. Ulisharidhika na kuanguka saini yako pale chini.........


Tena naomba nikiri kabisa, kwamba kuhusu Mikataba na Asilimia ngapi tunatakiwa tupate kama nchi sisi tulishakosea tokea mwanzo. Wazungu walipata asilimia 80% sisi asilimia 20% na haya yote viongozi wa nchi walilidhia na kuona kwamba watanzania kwenye mali yetu tunatakiwa kupata asilimia 20% tu.
Hili ni kosa kubwa sana kwa upande wetu na hatuwezi kujikatalia tu kihuni-huni, lazima tufuate utaratibu.


Sasa, ikiwa sisi kama nchi tunao ushahidi kuwa Barrick/Acacia wamevunja makubaliano au kwenda kinyume na mkataba kwa kutakatisha fedha, kukwepa kodi na rushwa, kwa nini tusiutumie ushahidi huu katika majadiliano tukidai fidia? Au kama tumeshindwana mezani kwa nini tusichukue hatua nyingine katika mkataba ya kushitaki mahakamani ilhali ushahidi tunao?

Barrick/Accaccia napopingana nao mimi ni pale walipoanza kuchukua madini aina nyingine ambayo yalikuwepo kwenye ule mchanga kwa kutumia mwanya wa sheria. Meambiwa chukueni dhahabu lakini mle ndani kuna madini mengine pia ya thamani sana. Sasa mkiitwa kuambiwa kwamba mnachukua haya madini mengina na tunaomba tukague mchanga kwanini muanze kuhangaika sana na kutishia kufungua kesi kwenye mahakama za kimataifa wakati ukweli ni kwamba mefanya hivyo ?

Hata kama dunia inajua kuwa Barrick/Acacia wametuibia sana tatizo linakuja jinsi tunavyokabiliana na hili. We are setting precedence on any other contracts in the mining or extractive industries. Wawekezaji duniani wanaangalia au wataangalia mikataba yetu iliyotangulia na jinsi tumeikabili na maamuzi yao yatategemea na utekelezaji wetu. Sawa inawezekana kwa kukataa usuluhishi kwenye mahakama za kimataifa (international arbitration) tunawapa wakati mgumu Acacia kuuza hisa zao wakimbie, lakini pia tunajiumiza na sisi. Itakuwa vigumu sana kwa mwekezaji wa kimataifa kukubali kuingia mkataba na sisi ikiwa tumekataa international arbitration. Labda bidhaa iwe bei ya madafu kiasi kwamba wanauwezo wa kufyonza hasara yoyote watakayopata.
Nakubaliana kabisa na wewe ndugu yangu katika hili lakini tujiulize swali lifuatalo: Je, Acacia/Barrick walikuwa wako tayari kukaa kwenye meza ya mazungumzo na Tanzania bila kujaribu kufurukuta ? Maana ili usuluhishi wowote uishe vizuri na mfanikiwe kufikia Amicable Settlement ni lazima kila mtu akubali kupoteza baadhi ya haki zake ili kuweza kujenga GOOD FAITH. Hapa kulikuwa na madhaifu pande zote mbili. JMT chini ya Raisi JPM tulitaka sifa kisiasa na kuongea sana dunia ijue, na hawa Barrick/Accaccia nao walitaka kuendelea kupiga dili na kuchukulia kwamba yataisha kirahisi. Mpaka sasa mjadala unaendelea lakini hakuna Imani baina ya pande hizi mbili. Ukiangalia vizuri kila pande ina hoja na haki zake za kimsingi kabisa tofauti na baadhi ya wanasiasa kutaka kusema kwamba JMT inawaonea Accaccia/Barrick.

Kingine, mikataba yote inayohusu rasilimali za nchi haiingiwi na mtu binafsi, ni serikali ndio inaingia mkataba kwa niaba ya nchi. Kama awamu ya kwanza waliingia mkataba na X, awamu ya pili inapoingia haiwezi kumwambia X kuwa "siutambui mkataba huu kwa kuwa ulisaini na flani wa awamu ya kwanza". Tutafeli sana tukifanya hivyo. Hayo ya nani alikosea tushikane humu humu ndani ya nchi bila kuathiri mikataba nje ya utaratibu wa mikataba hiyo.

Unachokisema hapa kwa lugha ya kilatini na kisheria tunakiita Pacta Sunt Servanda kumaanisha kwamba kile ulichokubaliana nacho kwenye mkataba hata kama kibaya basi lazima kiheshimiwe tu hata na Serikali zijazo. Lakini pia naomba nikukusoe tena kidogo, siyo kila mikataba ya kibiashara huingiwa na nchi na nchi, bali inaweza ikawa ni baina ya Nchi na Kampuni Binafsi. Mfano Tanzania na Exon Mobil au Tanzania na Lukoil. Hii kisheria hatuiti Treaty bali Business Concession.

SASA BASI HOJA ZANGU NI HIZI ZIFUATAZO:
1. Tanzania kama nchi yenye mamlaka yake kamili ina nguvu ya kupitia upya kila mkataba uliosainiwa na serikali zilizopita. Kiingereza tunasema Invoning Inherent right over the supervision of all natural wealth within the terriotry of the United Republic of Tanzania with exculusion to any other State. Mkataba kama mbovu lazima tupitie upya (review) kwa kufuata utaratibu kwasababu haya madini n mali yetu.


UCHINA mwaka 1843 baada ya kuvamia na Ufalme wa Uingereza alisainishwa mkataba mbaya sana ambao ulimgharimu kwa miaka zaidi ya 100. Mkataba huo uliitwa The Treaty of Nanking 1843 ambao ulimtaka Uchina agawa rasilimali zake kwa mataifa ya nje kwa kufungulia bandari zake. Pia Mkataba huo ndiyo ulimpa Muingereza kisiwa cha Hong Kong kwa muda usioweza kuja kuisha "Ad Infinitum" Uchina alikataa huo Mkataba baada ya mwaka 1948 na kurudia upya hadi Hong Kong ikarudi Uchina mwaka 1996.

Sasa kwanini sisi kama nchi tukisema tunataka tusimamie mali zetu ambazo Mungu ametupa wengine wanaumia sana ??

2. Tanzania ina madai ya msingi ambayo hayatakiwi kupuuzwa (Legitimate Claims against Barrick)
Watu wanasema kwamba sisi tunawaonea Barrick/Accaccia lakini ukweli mchungu ni kwamba sisi siyo wendawazimu tuanze tu kuwasingizia hawa wawekezaji. Kama kampuni linafanya kazi bila kusajiriwa ndani ya nchi unadhani hakuna ukwepaji wa kodi hapo ? Pia wewe kama mfanyabiashar lazima ujue kwamba popote palipo na ukwepaji kodi (Predicate Offense), lazima kuwe ne utakatishaji wa pesa (Money Laundering). Katika hili nalo mtasema wanaonewa hawa majamaa ??? Hapana sidhani.


Hoja ya msingi ni kwamba tusidai kitu ambacho kiasi kikubwa kuliko kile ambacho tunatakiwa kudai. Tusifanye kukisia kama ambavyo naona inafanyika sasa hivi. Tuwadai tu kile kiasi ambacho kimewekewa kumbukumbu sahihi na si vinginevyo
 
Pascal acaccia kutusema vibaya ughaibuni ni sawa. Usalama uko wapi kama tajiri na 1 anatekwa ki madoido ?!.
Lakini kubwa ni kuwa awamu ya tatu chini ya BWM iliirudisha Tanganyika utumwani kwa kuiingiza kwenye mikataba, ambayo haiwezi kujinasua. Tutawatafuta wachawi sana lakini tatizo ni sisi wenyewe.

Hili la kujirudisha wenyewe utumwani ndilo watawala hawataki kulikubali wala tu kulisikia japo ndio ukweli wenyewe. Bahati mbaya zaidi ni kuwa huku kutolikubali kunazidi kuitia nchi kwenye matatizo makubwa zaidi maana angalau wakikubali itakuwa rahisi kutafuta suluhisho.
Mwenyezi Mungu atusaidie.
 
Majibu yako yameelemea kutetea hivo nakosa la kushauri.
Mimi natetea maslahi ya nchi lakini ninyi mnakuwa na akili mbovu kama farisayo aliyenyimwa mvinyo.
Nimekuuliza toa ushauri wa hoja ambao uko tofauti na ule wa Tundu Lissu lakini wewe unakwepe na kuishia kuniambia Lissu was Right. Nikakuambia kwamba Lissu huwa anakosea mara nyingine na mnapigia makofi bila kufikiria. Sasa kama huleti hoja bali ushabiki wa kisiasa unataka mimi nisemaje mkuu wangu ?


Raisi Magufuli anakosea sana lakini hii isiwe sababu ya kutaka nchi yako iabike bwana. Hebu kueni basi!
Hamuitendei haki nchi yenu wala kusadia vizazi vijavyo kwa huu ushabiki usio na mantiki. Ndiyo maana kuna mabwana wadogo humu ndani huwa nakwaruzana nao kuhusu kutetea kila kitu cha Raisi Magufuli hata kama kinavuruga nchi. Huu siyo Uzalendo mzee!
 
Wanabodi,
Naendelea na zile mada zangu za kuangazia maslahi kwa taifa.
Mambo ya Acacia kututangaza vibaya duniani yanaendelea, kati ya juzi, na leo, wameishatoa press releses 3 kuizungumzia Tanzania, ikiwemo hii ya leo ambazo zote wanalalamikia watu wao kukamatwa na kushitakiwa.
Press Release Item
Juzi waliotoa press releases mbili
Press Release Item
Press Release Item

Kwenye hii press release yao ya leo, wamesema na hapa ninanukuu
Peter Geleta, Interim CEO of Acacia stated: “Against this strong operating performance, I am, however, deeply concerned about the increasing risks to the safety and security of our people and the increasingly challenging operating environment in Tanzania which could impact the outlook for the business".

Wamesema kwanza wataishitaki Tanzania kwa baba yao Barrick, kushinikiza madai yoyote ya serikali dhidi ya Acacia, yajumuishwe kwenye mazungumzo yanayoendelea, pili watafanya majadiliano na serikali, kuachana na hizi kamata, kamata, sweka ndani na shitakiana shitakiana za watumishi wao, serikali yetu isipowasikiliza, then watatushitaki MIGA!.

My Take.
1. Kwa serikali yetu: kwa vile tunamazungumzo yanayoendelea kati ya serikali yetu na Barrick kuhusu Acacia, na msingi mkuu wa mazungumzo hayo ni Trust and Transparency, yaani kuaminiana na uwazi, kitendo cha kuwashitaki Acacia kwa jambo linalozungumzika mezani, ni breach of trust, kwa nini matatizo yote kabisa ya Acacia na serikali yetu yasiwe consolidated na kupelekwa kwenye meza ya mazungumzo?. Na kama haya mashitaki ni hasira tuu za kucheleweshewa kila kishika uchumba chetu, simamisheni kwanza kila kitu, kishika uchumba kitoke, ndipo mazungumzo yaendelee!.

2. Kitendo cha wanasheria wetu nguli, kukubali kufanya mazungumzo na Barrick bila mhusika mkuu Acacia kushirikishwa, ni udhaifu mkubwa, kwa sababu chochote kitakachokubaliwa, the final ni Acacia na sio Barrick, its not too late kuwakaribisha Acacia now, ili chochote kitakacho fikiwa na mazungumzo yale kiwe ni final and conclusive.

3. Pia tumeonyesha udhaifu kwenye composition ya timu yetu ya mazungumzo, kumbe hatuna watu wa PCCB mule?!, ndio maana huku serikali yetu inazungumza na Barrick kuhusu Acacia, huku BCCB wako busy kuwafungulia mashitaka, tuiongeze timu yetu tuwaweke watu wa kila sekta, ili kila kitu kiwekwe mezani, likiisha liishe jumla.

4. Kwa Acacia: Unapokuwa kwenye nchi ya watu, ukijivunia rasilimali za nchi hiyo, inakubidi uwe na adabu na heshima, sometimes unaweza kulazimika kukaa kimya tuu hata kama unaonewa, ili uzimuudhi mwenye mali!, huwezi kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ni nchi yenye safety and security risk, kwa sababu tuu watu wako wameshitakiwa!.

5. Mwisho: Serikali yetu iwe wazi, truthfully na very transparently kinachoendelea kwenye mazungumzo yetu, its not fair, hata sisi Watanzania wenyewe, tunapata updates kutoka Barrick au Acacia, tungependa kupata taarifa rasmi kutoka kwetu.

Paskali


Utaambiwa kama hataki kuwekeza kuna ambao wanataka, aache tu
 
Wanabodi,
Naendelea na zile mada zangu za kuangazia maslahi kwa taifa.
Mambo ya Acacia kututangaza vibaya duniani yanaendelea, kati ya juzi, na leo, wameishatoa press releses 3 kuizungumzia Tanzania, ikiwemo hii ya leo ambazo zote wanalalamikia watu wao kukamatwa na kushitakiwa.
Press Release Item
Juzi waliotoa press releases mbili
Press Release Item
Press Release Item

Kwenye hii press release yao ya leo, wamesema na hapa ninanukuu
Peter Geleta, Interim CEO of Acacia stated: “Against this strong operating performance, I am, however, deeply concerned about the increasing risks to the safety and security of our people and the increasingly challenging operating environment in Tanzania which could impact the outlook for the business".

Wamesema kwanza wataishitaki Tanzania kwa baba yao Barrick, kushinikiza madai yoyote ya serikali dhidi ya Acacia, yajumuishwe kwenye mazungumzo yanayoendelea, pili watafanya majadiliano na serikali, kuachana na hizi kamata, kamata, sweka ndani na shitakiana shitakiana za watumishi wao, serikali yetu isipowasikiliza, then watatushitaki MIGA!.

My Take.
1. Kwa serikali yetu: kwa vile tunamazungumzo yanayoendelea kati ya serikali yetu na Barrick kuhusu Acacia, na msingi mkuu wa mazungumzo hayo ni Trust and Transparency, yaani kuaminiana na uwazi, kitendo cha kuwashitaki Acacia kwa jambo linalozungumzika mezani, ni breach of trust, kwa nini matatizo yote kabisa ya Acacia na serikali yetu yasiwe consolidated na kupelekwa kwenye meza ya mazungumzo?. Na kama haya mashitaki ni hasira tuu za kucheleweshewa kila kishika uchumba chetu, simamisheni kwanza kila kitu, kishika uchumba kitoke, ndipo mazungumzo yaendelee!.

2. Kitendo cha wanasheria wetu nguli, kukubali kufanya mazungumzo na Barrick bila mhusika mkuu Acacia kushirikishwa, ni udhaifu mkubwa, kwa sababu chochote kitakachokubaliwa, the final ni Acacia na sio Barrick, its not too late kuwakaribisha Acacia now, ili chochote kitakacho fikiwa na mazungumzo yale kiwe ni final and conclusive.

3. Pia tumeonyesha udhaifu kwenye composition ya timu yetu ya mazungumzo, kumbe hatuna watu wa PCCB mule?!, ndio maana huku serikali yetu inazungumza na Barrick kuhusu Acacia, huku BCCB wako busy kuwafungulia mashitaka, tuiongeze timu yetu tuwaweke watu wa kila sekta, ili kila kitu kiwekwe mezani, likiisha liishe jumla.

4. Kwa Acacia: Unapokuwa kwenye nchi ya watu, ukijivunia rasilimali za nchi hiyo, inakubidi uwe na adabu na heshima, sometimes unaweza kulazimika kukaa kimya tuu hata kama unaonewa, ili uzimuudhi mwenye mali!, huwezi kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ni nchi yenye safety and security risk, kwa sababu tuu watu wako wameshitakiwa!.

5. Mwisho: Serikali yetu iwe wazi, truthfully na very transparently kinachoendelea kwenye mazungumzo yetu, its not fair, hata sisi Watanzania wenyewe, tunapata updates kutoka Barrick au Acacia, tungependa kupata taarifa rasmi kutoka kwetu.

Paskali
Awamu ya tatu ndivyo ilivyo haitaweza kamwe kujipanga kwa jambo lo lote zaidi ya kukurupuka. Sababu unaijua ni utawala wa kimwananzengo.
 
Back
Top Bottom