Acacia Yatutangaza Vibaya Duniani, Yadai Tanzania Kuna " risks to the safety and security of people"!, Mwekezaji Gani Ata Invest Kwenye Such Risks?!.

Mimi siyo mwanasheria wala mfanyabiashara, so please correct me if I am wrong.

Nilishawahi kuambiwa kuwa hakuna kipengele muhimu kwenye mikataba kama eneo linalozungumzia migogoro na hatua za kuvunja mkataba huo. Pande mbili au zaidi zinapoingia kwenye mkataba, na katikati ya muhula kukatokea tatizo, upande wowote unaweza kutoa lalamiko au kutaka kuvunja mkataba.

Hapo kipengele cha majadialiano, mapatano na usuluhishi (negotiation, mediation & arbitration) hutumika. Kama katika kipindi cha mkataba upande mmoja una ushahidi kuwa upande mwingine umedhulumu au kutekeleza uhalifu uliogusa makubaliano ya mkataba huo, wanayo fursa ya aidha kuvunja mkataba na kudai fidia au kusuluhisha kwa kudai fidia na kubadili mkataba. Mara nyingi hili huletwa kwenye meza ya majadiliano na mapatano (amicable resolution) kabla ya kufikishwa mahakama za usuluhishi.

Sasa, ikiwa sisi kama nchi tunao ushahidi kuwa Barrick/Acacia wamevunja makubaliano au kwenda kinyume na mkataba kwa kutakatisha fedha, kukwepa kodi na rushwa, kwa nini tusiutumie ushahidi huu katika majadiliano tukidai fidia? Au kama tumeshindwana mezani kwa nini tusichukue hatua nyingine katika mkataba ya kushitaki mahakamani ilhali ushahidi tunao?

Hata kama dunia inajua kuwa Barrick/Acacia wametuibia sana tatizo linakuja jinsi tunavyokabiliana na hili. We are setting precedence on any other contracts in the mining or extractive industries. Wawekezaji duniani wanaangalia au wataangalia mikataba yetu iliyotangulia na jinsi tumeikabili na maamuzi yao yatategemea na utekelezaji wetu. Sawa inawezekana kwa kukataa usuluhishi kwenye mahakama za kimataifa (international arbitration) tunawapa wakati mgumu Acacia kuuza hisa zao wakimbie, lakini pia tunajiumiza na sisi. Itakuwa vigumu sana kwa mwekezaji wa kimataifa kukubali kuingia mkataba na sisi ikiwa tumekataa international arbitration. Labda bidhaa iwe bei ya madafu kiasi kwamba wanauwezo wa kufyonza hasara yoyote watakayopata.

Kingine, mikataba yote inayohusu rasilimali za nchi haiingiwi na mtu binafsi, ni serikali ndio inaingia mkataba kwa niaba ya nchi. Kama awamu ya kwanza waliingia mkataba na X, awamu ya pili inapoingia haiwezi kumwambia X kuwa "siutambui mkataba huu kwa kuwa ulisaini na flani wa awamu ya kwanza". Tutafeli sana tukifanya hivyo. Hayo ya nani alikosea tushikane humu humu ndani ya nchi bila kuathiri mikataba nje ya utaratibu wa mikataba hiyo.

Ila kama tunaamua kuyafukia madini hadi pale tutakapokuwa na uwezo wa kuyachimba na kuyafua wenyewe, basi tujiandae kwa hilo na lolote lijalo. Pasi na hayo, tunaweza kujiharibia kwenye uwekezaji wa nje.
Mbaya zaidi na sijui kama ina ukweli. Ni kuwa mikataba hii haiwezi kuangaliwa upya au kurekebishwa, mpaka ipete miaka 60 kati ya miaka 100 ya mkataba .
POOR WE
 
Sensationalism over Objectivity:Hii ndiyo shida ya vijana wa kitanzania leo hii.
Magufuli anakosea sana tu na hataacha kukosea lakini hili haliondoi ukweli kwamba Barrick/Accaccia wezi
Hata angeingia Raisi kutoka upinzani huu wizi wa Barrick/Accaccia bado ungekuwepo tu.
NB: Tumia kichwa kufikiria na siyo kufugia nywele peke yake.
Mbona unaandika maneno mengi yasiyo na mwelekeo kama mkia wa mjusi uliokatwa?
Barrick/accasia wezi wamekuibia nini?walishirikiana na nani?ushahidi unao?

NB: UKINYWA MAJI YA BENDERA NDO UFAHAMU NAO UNAPOTEA?
 
Comment ya aina hiyo ilitegemewa..

Hawategemewi kufurahia hali baada ya makanikia na ripoti zake..

TIC hawajawahi kosa wa kuwahudumia..

Watu wanawekeza Syria ndio iwe Tanzania ambayo amani imejaa Tele?
 
Wanabodi,
Naendelea na zile mada zangu za kuangazia maslahi kwa taifa.
Mambo ya Acacia kututangaza vibaya duniani yanaendelea, kati ya juzi, na leo, wameishatoa press releses 3 kuizungumzia Tanzania, ikiwemo hii ya leo ambazo zote wanalalamikia watu wao kukamatwa na kushitakiwa.
Press Release Item
Juzi waliotoa press releases mbili
Press Release Item
Press Release Item

Kwenye hii press release yao ya leo, wamesema na hapa ninanukuu
Peter Geleta, Interim CEO of Acacia stated: “Against this strong operating performance, I am, however, deeply concerned about the increasing risks to the safety and security of our people and the increasingly challenging operating environment in Tanzania which could impact the outlook for the business".

Wamesema kwanza wataishitaki Tanzania kwa baba yao Barrick, kushinikiza madai yoyote ya serikali dhidi ya Acacia, yajumuishwe kwenye mazungumzo yanayoendelea, pili watafanya majadiliano na serikali, kuachana na hizi kamata, kamata, sweka ndani na shitakiana shitakiana za watumishi wao, serikali yetu isipowasikiliza, then watatushitaki MIGA!.

My Take.
1. Kwa serikali yetu: kwa vile tunamazungumzo yanayoendelea kati ya serikali yetu na Barrick kuhusu Acacia, na msingi mkuu wa mazungumzo hayo ni Trust and Transparency, yaani kuaminiana na uwazi, kitendo cha kuwashitaki Acacia kwa jambo linalozungumzika mezani, ni breach of trust, kwa nini matatizo yote kabisa ya Acacia na serikali yetu yasiwe consolidated na kupelekwa kwenye meza ya mazungumzo?. Na kama haya mashitaki ni hasira tuu za kucheleweshewa kila kishika uchumba chetu, simamisheni kwanza kila kitu, kishika uchumba kitoke, ndipo mazungumzo yaendelee!.

2. Kitendo cha wanasheria wetu nguli, kukubali kufanya mazungumzo na Barrick bila mhusika mkuu Acacia kushirikishwa, ni udhaifu mkubwa, kwa sababu chochote kitakachokubaliwa, the final ni Acacia na sio Barrick, its not too late kuwakaribisha Acacia now, ili chochote kitakacho fikiwa na mazungumzo yale kiwe ni final and conclusive.

3. Pia tumeonyesha udhaifu kwenye composition ya timu yetu ya mazungumzo, kumbe hatuna watu wa PCCB mule?!, ndio maana huku serikali yetu inazungumza na Barrick kuhusu Acacia, huku BCCB wako busy kuwafungulia mashitaka, tuiongeze timu yetu tuwaweke watu wa kila sekta, ili kila kitu kiwekwe mezani, likiisha liishe jumla.

4. Kwa Acacia: Unapokuwa kwenye nchi ya watu, ukijivunia rasilimali za nchi hiyo, inakubidi uwe na adabu na heshima, sometimes unaweza kulazimika kukaa kimya tuu hata kama unaonewa, ili uzimuudhi mwenye mali!, huwezi kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ni nchi yenye safety and security risk, kwa sababu tuu watu wako wameshitakiwa!.

5. Mwisho: Serikali yetu iwe wazi, truthfully na very transparently kinachoendelea kwenye mazungumzo yetu, its not fair, hata sisi Watanzania wenyewe, tunapata updates kutoka Barrick au Acacia, tungependa kupata taarifa rasmi kutoka kwetu.

Paskali
Paskali sitakuacha hata siku moja upotoshe watu juu ya siasa na mfumo wa uchumi wa nchi yetu Accacia ni wafanya biashara kama walivyo wengine ukishindwa biashara usimtukane muuzaji na hta kama utamtukana muuzaji wapo watakaokupuuza na watanunua hivyo usiwe mnyonge na ukajirahisi kwa hofu kwamba tutakosa wawekezaji ukitaka kupata jibu la hilo nenda viwanda na biashara utaona ni wangapi wanaomba kuwekeza kwenye secta ya madini kwa kufuata sheria zote za Tanzania. Zaidi ya yote siri ya accacia walizoe kuiba ndiyo maana wanapiga kelele sana akili ya kuambiwa changanya na ya kwako Bwana Mayala usijikombe sana kwa wazungu jivunie mali zako pia kuwa mzalendo usitetee wakoloni wametupiga vya kutosha kwakuwa tuliwapa watu nafasi wenye akili na mawazo kama yako TPX JIHADHALI TPX NAFUTIKA
 
Mbona unaandika maneno mengi yasiyo na mwelekeo kama mkia wa mjusi uliokatwa?
Barrick/accasia wezi wamekuibia nini?walishirikiana na nani?ushahidi unao?

NB: UKINYWA MAJI YA BENDERA NDO UFAHAMU NAO UNAPOTEA?
KAMA HUJUI WALICHOKIIBA UNAONGEA UPUUZI WAKO WA NINI HAPA???
 
Mbona unaandika maneno mengi yasiyo na mwelekeo kama mkia wa mjusi uliokatwa?
Barrick/accasia wezi wamekuibia nini?walishirikiana na nani?ushahidi unao?

NB: UKINYWA MAJI YA BENDERA NDO UFAHAMU NAO UNAPOTEA?
If your brains were a dynamite they wouldn't even blow your head off.
Hivi hata kufikiri kitu kidogo kwamba kampuni kubwa kufanya kazi bila leseni ni wizi nalo umeshindwa ?
Kweli wewe ni Kunguru na akili zako zimesinyaa kama Scrotum za nyani mzee. Wewe ni moja kati ya majitu ya hovyo kabisa niliyowahi kuyaona hapa jukwaani.
 
. Zaidi ya yote siri ya accacia walizoe kuiba ndiyo maana wanapiga kelele sana akili ya kuambiwa changanya na ya kwako Bwana Mayala usijikombe sana kwa wazungu jivunie mali zako pia kuwa mzalendo usitetee wakoloni wametupiga vya kutosha kwakuwa tuliwapa watu nafasi wenye akili na mawazo kama yako TPX JIHADHALI TPX NAFUTIKA
Wamekuibia nini? Je sasa hivi wameacha kuiba?
UNALETA UKASUKU WAKO
 
If your brains were a dynamite they wouldn't even blow your head off.
Hivi hata kufikiri kitu kidogo kwamba kampuni kubwa kufanya kazi bila leseni ni wizi nalo umeshindwa ?
Kweli wewe ni Kunguru na akili zako zimesinyaa kama Scrotum za nyani mzee. Wewe ni moja kati ya majitu ya hovyo kabisa niliyowahi kuyaona hapa jukwaani.
We endelea kukariri kama kasuku na Iyo professorial and presidential rubbish report.
 
We endelea kukariri kama kasuku na Iyo professorial and presidential rubbish report.
I am very far beyond this crap, way far my friend. Mimi haya ya Barrick/Accaccia nimeanza kuyasikia hata kabla ya Jakaya na Magufuli hawajaingia Ikulu. Sasa nyie endelezeni Ukunguru wenu wa kushabikia kila ujinga mkidhani mnamkomoa Magufuli. Pia endeleeni kuwaza ujinga kwamba kila anayepinga Barrick/Accacia basi ni mwana-CCM au timu Magufuli.. Mtachelewa sana kufika...!

Wewe ni lijinga kabisaa........
 
Lets deal with a problem but not people.tukianza kufukua makaburi tutakuwa watu wa ajabu sana.tutafute tatizo then how to solve it amicably.tukitafuta watu nadhani hakuna ambaye atakuwa salama au msafi.binadamu tu wadhaifu na hakuna mkamilifu.tudeal na tatizo hata ww pia si mkamilifi hata mm pia hivyo tusiwatazame watu tutazame tatizo na tulitatue.
Ugonjwa ukiwa mwilini siunakunywa dawa wewe binadamu ili wadudu wa malaria wafe nawewe upone. Kama mtu anamahela Barbados anahonga kila mtu situ deal nae moja kwa moja shida iko wapi?
 
Nina swali nauliza hivi lissu na MO Wana mahusiano yoyote ya kimaslahi na hii kampuni maana Kuna kitu nakiwaza hapa
MO alikuwa kawaleta wachina kununua migodi ya Acacia na Tundu lisu yeye ni mtetezi wa haki kati ya Serikali na Acacia hataki yeyote apunjwe ingawa Serikali kwa masilahi yake wametengeneza porojo nyingi na propaganda nyingi za kupotosha watanzania
 
Paskali sitakuacha hata siku moja upotoshe watu juu ya siasa na mfumo wa uchumi wa nchi yetu Accacia ni wafanya biashara kama walivyo wengine ukishindwa biashara usimtukane muuzaji na hta kama utamtukana muuzaji wapo watakaokupuuza na watanunua hivyo usiwe mnyonge na ukajirahisi kwa hofu kwamba tutakosa wawekezaji ukitaka kupata jibu la hilo nenda viwanda na biashara utaona ni wangapi wanaomba kuwekeza kwenye secta ya madini kwa kufuata sheria zote za Tanzania. Zaidi ya yote siri ya accacia walizoe kuiba ndiyo maana wanapiga kelele sana akili ya kuambiwa changanya na ya kwako Bwana Mayala usijikombe sana kwa wazungu jivunie mali zako pia kuwa mzalendo usitetee wakoloni wametupiga vya kutosha kwakuwa tuliwapa watu nafasi wenye akili na mawazo kama yako TPX JIHADHALI TPX NAFUTIKA
Acha ushamba huko sio kujikomba wala hakuna anayetetea wakoloni na umepigwa na nani? Walaumu waliingia mikataba na hao wazungu kwani hao Acacia hawachimbi madini kienyeji bali ni kwa mujibu wa mikataba ya Serikali ya mkapa na kikwete, kuvunja mikataba kishamba shamba kifala fala ndiko wananchi wenye Uelewa kuliko wewe hawataki na ndicho Tundu Lisu alikitaka wakae chini wairejee mikataba itizamwe upya iandikwe upya kulingana na mazingira ya kisasa, Mayala yupo sawa hataki mambo yenu ya kukurupuka kisha yaje kama yale ya meli za samaki, ndege kuzuiwa huko Canada, kunbuka mikataba ya madini imerekebishwa kipindi cha mkapa akala vyake na kikwete alipoingia ikulu na yeye akarekebisha mikataba upya akapiga chake na huyo mtukufu wa chato kaja na njia zake ili na yeye apige humo humo lakini mbinu zake zina mapungufu ndiyo maana zimekuwa zikileta maneno na migogoro mingi huku wachambuzi wakosoaji wakienda kupigwa Risasi na akina Heri kisanduku hiko Dodoma, na tambua kuwa watanzania wengi wanaijua Sinema ya Acacia A-Z wapo wamelia wanaangali Movie inavyokwenda.
 
Mbaya zaidi na sijui kama ina ukweli. Ni kuwa mikataba hii haiwezi kuangaliwa upya au kurekebishwa, mpaka ipete miaka 60 kati ya miaka 100 ya mkataba .
POOR WE
Hayo matango pori alitulisha Lowasa hiyo mikataba ni ya kawaida na haina usiri wowote hata humu jf ilishawekwa kuna ule wa karamaji ulikuwa na typing error wakawa wanausahihisha kwa bic
 
Wanabodi,
Naendelea na zile mada zangu za kuangazia maslahi kwa taifa.
Mambo ya Acacia kututangaza vibaya duniani yanaendelea, kati ya juzi, na leo, wameishatoa press releses 3 kuizungumzia Tanzania, ikiwemo hii ya leo ambazo zote wanalalamikia watu wao kukamatwa na kushitakiwa.
Press Release Item
Juzi waliotoa press releases mbili
Press Release Item
Press Release Item

Kwenye hii press release yao ya leo, wamesema na hapa ninanukuu
Peter Geleta, Interim CEO of Acacia stated: “Against this strong operating performance, I am, however, deeply concerned about the increasing risks to the safety and security of our people and the increasingly challenging operating environment in Tanzania which could impact the outlook for the business".

Wamesema kwanza wataishitaki Tanzania kwa baba yao Barrick, kushinikiza madai yoyote ya serikali dhidi ya Acacia, yajumuishwe kwenye mazungumzo yanayoendelea, pili watafanya majadiliano na serikali, kuachana na hizi kamata, kamata, sweka ndani na shitakiana shitakiana za watumishi wao, serikali yetu isipowasikiliza, then watatushitaki MIGA!.

My Take.
1. Kwa serikali yetu: kwa vile tunamazungumzo yanayoendelea kati ya serikali yetu na Barrick kuhusu Acacia, na msingi mkuu wa mazungumzo hayo ni Trust and Transparency, yaani kuaminiana na uwazi, kitendo cha kuwashitaki Acacia kwa jambo linalozungumzika mezani, ni breach of trust, kwa nini matatizo yote kabisa ya Acacia na serikali yetu yasiwe consolidated na kupelekwa kwenye meza ya mazungumzo?. Na kama haya mashitaki ni hasira tuu za kucheleweshewa kila kishika uchumba chetu, simamisheni kwanza kila kitu, kishika uchumba kitoke, ndipo mazungumzo yaendelee!.

2. Kitendo cha wanasheria wetu nguli, kukubali kufanya mazungumzo na Barrick bila mhusika mkuu Acacia kushirikishwa, ni udhaifu mkubwa, kwa sababu chochote kitakachokubaliwa, the final ni Acacia na sio Barrick, its not too late kuwakaribisha Acacia now, ili chochote kitakacho fikiwa na mazungumzo yale kiwe ni final and conclusive.

3. Pia tumeonyesha udhaifu kwenye composition ya timu yetu ya mazungumzo, kumbe hatuna watu wa PCCB mule?!, ndio maana huku serikali yetu inazungumza na Barrick kuhusu Acacia, huku BCCB wako busy kuwafungulia mashitaka, tuiongeze timu yetu tuwaweke watu wa kila sekta, ili kila kitu kiwekwe mezani, likiisha liishe jumla.

4. Kwa Acacia: Unapokuwa kwenye nchi ya watu, ukijivunia rasilimali za nchi hiyo, inakubidi uwe na adabu na heshima, sometimes unaweza kulazimika kukaa kimya tuu hata kama unaonewa, ili uzimuudhi mwenye mali!, huwezi kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ni nchi yenye safety and security risk, kwa sababu tuu watu wako wameshitakiwa!.

5. Mwisho: Serikali yetu iwe wazi, truthfully na very transparently kinachoendelea kwenye mazungumzo yetu, its not fair, hata sisi Watanzania wenyewe, tunapata updates kutoka Barrick au Acacia, tungependa kupata taarifa rasmi kutoka kwetu.

Paskali
Mayala huu ndiyo Ukweli ingawa wapo vilaza humu tena wengi wakiwa ni CCM watakupinga bila hoja au kwa mifano ya kijuha juha, Hakuna Siri kuwa Acacia walifanya kazi zao kwa mujibu wa mikataba waliyoingia na Serikali ya Tanzania chini ya kikwete na kama kuna mapungufu wa kulaumiwa au kubeba lawama zote ni kikwete, mbinu ambayo ilifaa kumaliza tatizo ilikuwa ni kukaa na wanasheria wazuri kisha kuipitia mikataba yao vizuri kwa umakini mkubwa na wakarekebisha mapungufu yote ndipo mengine yangeanzia hapo, lakini kukaa kupiga kelele tumeibiwa mara hivi huku Acacia wapo kiimya wakitunga sheria ni ujinga, ni wakati wananchi wajitolee kubuni namna nzuri ya kumlaliza tatizo badala ya kutengeneza Bomu ambalo litakuja kuigharimu Taifa baadae endapo wajinga wajinga wataendelea kumshauri vibaya mtukufu.
 
62 Reactions
Reply
Back
Top Bottom