Acacia Yatutangaza Vibaya Duniani, Yadai Tanzania Kuna " risks to the safety and security of people"!, Mwekezaji Gani Ata Invest Kwenye Such Risks?!.

Mayala huu ndiyo Ukweli ingawa wapo vilaza humu tena wengi wakiwa ni CCM watakupinga bila hoja au kwa mifano ya kijuha juha, Hakuna Siri kuwa Acacia walifanya kazi zao kwa mujibu wa mikataba waliyoingia na Serikali ya Tanzania chini ya kikwete na kama kuna mapungufu wa kulaumiwa au kubeba lawama zote ni kikwete, mbinu ambayo ilifaa kumaliza tatizo ilikuwa ni kukaa na wanasheria wazuri kisha kuipitia mikataba yao vizuri kwa umakini mkubwa na wakarekebisha mapungufu yote ndipo mengine yangeanzia hapo, lakini kukaa kupiga kelele tumeibiwa mara hivi huku Acacia wapo kiimya wakitunga sheria ni ujinga, ni wakati wananchi wajitolee kubuni namna nzuri ya kumlaliza tatizo badala ya kutengeneza Bomu ambalo litakuja kuigharimu Taifa baadae endapo wajinga wajinga wataendelea kumshauri vibaya mtukufu.
Acha woga mkuu askari hodari hukimbilia risasi za adui zinakotoka ni bora ufe ukipigania chako hayo mahela waliokuwa wanahongana barbados yangekomboa maisha ya watanzania wangapi?
 
Tatizo kubwa nchini kwa sasa ni baadhi ya watanzania kusadiki na kuabudu kuwa kila jambo analofanya mtukufu lipo sawa na halihitaji mjadala wa kitaifa na wanasheria nguri, hilo ni tatizo kubwa kwani wao ni binadamu na wana mapungufu yao lazima watambue mitizamo ya wananchi wengine wa Tanzania ndipo itakuwa sawa.ccm kuingiza propaganda kwenye hilo suala la uchimbaji wa madini ndiko kulikopelekea kuleta mkanganyika mpaka sasa.
 
Wanabodi,
Naendelea na zile mada zangu za kuangazia maslahi kwa taifa.
Mambo ya Acacia kututangaza vibaya duniani yanaendelea, kati ya juzi, na leo, wameishatoa press releses 3 kuizungumzia Tanzania, ikiwemo hii ya leo ambazo zote wanalalamikia watu wao kukamatwa na kushitakiwa.
Press Release Item
Juzi waliotoa press releases mbili
Press Release Item
Press Release Item

Kwenye hii press release yao ya leo, wamesema na hapa ninanukuu
Peter Geleta, Interim CEO of Acacia stated: “Against this strong operating performance, I am, however, deeply concerned about the increasing risks to the safety and security of our people and the increasingly challenging operating environment in Tanzania which could impact the outlook for the business".

Wamesema kwanza wataishitaki Tanzania kwa baba yao Barrick, kushinikiza madai yoyote ya serikali dhidi ya Acacia, yajumuishwe kwenye mazungumzo yanayoendelea, pili watafanya majadiliano na serikali, kuachana na hizi kamata, kamata, sweka ndani na shitakiana shitakiana za watumishi wao, serikali yetu isipowasikiliza, then watatushitaki MIGA!.

My Take.
1. Kwa serikali yetu: kwa vile tunamazungumzo yanayoendelea kati ya serikali yetu na Barrick kuhusu Acacia, na msingi mkuu wa mazungumzo hayo ni Trust and Transparency, yaani kuaminiana na uwazi, kitendo cha kuwashitaki Acacia kwa jambo linalozungumzika mezani, ni breach of trust, kwa nini matatizo yote kabisa ya Acacia na serikali yetu yasiwe consolidated na kupelekwa kwenye meza ya mazungumzo?. Na kama haya mashitaki ni hasira tuu za kucheleweshewa kila kishika uchumba chetu, simamisheni kwanza kila kitu, kishika uchumba kitoke, ndipo mazungumzo yaendelee!.

2. Kitendo cha wanasheria wetu nguli, kukubali kufanya mazungumzo na Barrick bila mhusika mkuu Acacia kushirikishwa, ni udhaifu mkubwa, kwa sababu chochote kitakachokubaliwa, the final ni Acacia na sio Barrick, its not too late kuwakaribisha Acacia now, ili chochote kitakacho fikiwa na mazungumzo yale kiwe ni final and conclusive.

3. Pia tumeonyesha udhaifu kwenye composition ya timu yetu ya mazungumzo, kumbe hatuna watu wa PCCB mule?!, ndio maana huku serikali yetu inazungumza na Barrick kuhusu Acacia, huku BCCB wako busy kuwafungulia mashitaka, tuiongeze timu yetu tuwaweke watu wa kila sekta, ili kila kitu kiwekwe mezani, likiisha liishe jumla.

4. Kwa Acacia: Unapokuwa kwenye nchi ya watu, ukijivunia rasilimali za nchi hiyo, inakubidi uwe na adabu na heshima, sometimes unaweza kulazimika kukaa kimya tuu hata kama unaonewa, ili uzimuudhi mwenye mali!, huwezi kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ni nchi yenye safety and security risk, kwa sababu tuu watu wako wameshitakiwa!.

5. Mwisho: Serikali yetu iwe wazi, truthfully na very transparently kinachoendelea kwenye mazungumzo yetu, its not fair, hata sisi Watanzania wenyewe, tunapata updates kutoka Barrick au Acacia, tungependa kupata taarifa rasmi kutoka kwetu.

Paskali
My bro natarajia uko mzima kabisa, na ni siku nyingi sijaona umeadika, lakini maybe ulikuwa busy, wacha niseme hivi, serikali ya ccm hawana chochote kaa ushahidi zidi ya acacia, THATS A FACT, ukikumbuka iko siku serikali ya magufuli ilisema acacia ilipe tax ya $190b , unakumbuka, na hata ukumbuke revenue yote ya acacia tz hata haiko nusu ya hii tax ccm inasema watulipe,na hivyo i mean all the revenue acacia has made in tz, so hapa ukiona kukamatwa kwa watu wa acacia ni vile ccm imegudua haina hata ushahidi kidogo against acacia, sasa kuondoea aibu na frustration ndio hio kamata huyu kamata yule, kuhusu security ya nchi, wewe hio hata usiongee, hio ni swala hapa western country ninaongelewa, tz is now classfied as by investors as a SECURITY INVESTMENT DESTINATION, yaani taifa leye utata kabisa hali ya kiusalama. najua uko na macho unajionea,Mtu kaa MO anaweza tekwa na amalize masiku hatujui aliko swali langu ni hii, WHO IS SAFE IN TZ, answer no one.itachukua muda sana kabla ya international investors kuwa na confidence na tz. weekend jema ndugu yangu
 
Tatizo kubwa nchini kwa sasa ni baadhi ya watanzania kusadiki na kuabudu kuwa kila jambo analofanya mtukufu lipo sawa na halihitaji mjadala wa kitaifa na wanasheria nguri, hilo ni tatizo kubwa kwani wao ni binadamu na wana mapungufu yao lazima watambue mitizamo ya wananchi wengine wa Tanzania ndipo itakuwa sawa.ccm kuingiza propaganda kwenye hilo suala la uchimbaji wa madini ndiko kulikopelekea kuleta mkanganyika mpaka sasa.
Mkuu nchi yetu inaendeshwa kwa sheria kama unaona kuna kasoro siwaende mahakamani.
 
My bro natarajia uko mzima kabisa, na ni siku nyingi sijaona umeadika, lakini maybe ulikuwa busy, wacha niseme hivi, serikali ya ccm hawana chochote kaa ushahidi zidi ya acacia, THATS A FACT, ukikumbuka iko siku serikali ya magufuli ilisema acacia ilipe tax ya $190b , unakumbuka, na hata ukumbuke revenue yote ya acacia tz hata haiko nusu ya hii tax ccm inasema watulipe,na hivyo i mean all the revenue acacia has made in tz, so hapa ukiona kukamatwa kwa watu wa acacia ni vile ccm imegudua haina hata ushahidi kidogo against acacia, sasa kuondoea aibu na frustration ndio hio kamata huyu kamata yule, kuhusu security ya nchi, wewe hio hata usiongee, hio ni swala hapa western country ninaongelewa, tz is now classfied as by investors as a SECURITY INVESTMENT DESTINATION, yaani taifa leye utata kabisa hali ya kiusalama. najua uko na macho unajionea,Mtu kaa MO anaweza tekwa na amalize masiku hatujui aliko swali langu ni hii, WHO IS SAFE IN TZ, answer no one.itachukua muda sana kabla ya international investors kuwa na confidence na tz. weekend jema ndugu yangu
Mkuu hili la acacia ushahidi upo subiri kaka Deo afikishwe kisutu tena tunaomba hii kesi iwe ya wazi ikiwezekana ionyeshwe tbc live
 
My bro natarajia uko mzima kabisa, na ni siku nyingi sijaona umeadika, lakini maybe ulikuwa busy, wacha niseme hivi, serikali ya ccm hawana chochote kaa ushahidi zidi ya acacia, THATS A FACT, ukikumbuka iko siku serikali ya magufuli ilisema acacia ilipe tax ya $190b , unakumbuka, na hata ukumbuke revenue yote ya acacia tz hata haiko nusu ya hii tax ccm inasema watulipe,na hivyo i mean all the revenue acacia has made in tz, so hapa ukiona kukamatwa kwa watu wa acacia ni vile ccm imegudua haina hata ushahidi kidogo against acacia, sasa kuondoea aibu na frustration ndio hio kamata huyu kamata yule, kuhusu security ya nchi, wewe hio hata usiongee, hio ni swala hapa western country ninaongelewa, tz is now classfied as by investors as a SECURITY INVESTMENT DESTINATION, yaani taifa leye utata kabisa hali ya kiusalama. najua uko na macho unajionea,Mtu kaa MO anaweza tekwa na amalize masiku hatujui aliko swali langu ni hii, WHO IS SAFE IN TZ, answer no one.itachukua muda sana kabla ya international investors kuwa na confidence na tz. weekend jema ndugu yangu
Kuhusu MO muulizeni Le mutuz na Bashite wanajua alipo pia ni kualika FBI watacheza na google map toke tarehe iile mpaka sasa ndani ya mda mfupi watabaini kila kitu.
 
My bro natarajia uko mzima kabisa, na ni siku nyingi sijaona umeadika, lakini maybe ulikuwa busy, wacha niseme hivi, serikali ya ccm hawana chochote kaa ushahidi zidi ya acacia, THATS A FACT, ukikumbuka iko siku serikali ya magufuli ilisema acacia ilipe tax ya $190b , unakumbuka, na hata ukumbuke revenue yote ya acacia tz hata haiko nusu ya hii tax ccm inasema watulipe,na hivyo i mean all the revenue acacia has made in tz, so hapa ukiona kukamatwa kwa watu wa acacia ni vile ccm imegudua haina hata ushahidi kidogo against acacia, sasa kuondoea aibu na frustration ndio hio kamata huyu kamata yule, kuhusu security ya nchi, wewe hio hata usiongee, hio ni swala hapa western country ninaongelewa, tz is now classfied as by investors as a SECURITY INVESTMENT DESTINATION, yaani taifa leye utata kabisa hali ya kiusalama. najua uko na macho unajionea,Mtu kaa MO anaweza tekwa na amalize masiku hatujui aliko swali langu ni hii, WHO IS SAFE IN TZ, answer no one.itachukua muda sana kabla ya international investors kuwa na confidence na tz. weekend jema ndugu yangu
Kwenye mazungumzo barrick walikuja 42 wakiwemo maafisa wa cia mwisho wa siku walikuwa wapole. Kwa taarifa yako tayari ceo wa acacia kesha omba wayamalize kimyakimya
 
Wanabodi,
Naendelea na zile mada zangu za kuangazia maslahi kwa taifa.
Mambo ya Acacia kututangaza vibaya duniani yanaendelea, kati ya juzi, na leo, wameishatoa press releses 3 kuizungumzia Tanzania, ikiwemo hii ya leo ambazo zote wanalalamikia watu wao kukamatwa na kushitakiwa.
Press Release Item
Juzi waliotoa press releases mbili
Press Release Item
Press Release Item

Kwenye hii press release yao ya leo, wamesema na hapa ninanukuu
Peter Geleta, Interim CEO of Acacia stated: “Against this strong operating performance, I am, however, deeply concerned about the increasing risks to the safety and security of our people and the increasingly challenging operating environment in Tanzania which could impact the outlook for the business".

Wamesema kwanza wataishitaki Tanzania kwa baba yao Barrick, kushinikiza madai yoyote ya serikali dhidi ya Acacia, yajumuishwe kwenye mazungumzo yanayoendelea, pili watafanya majadiliano na serikali, kuachana na hizi kamata, kamata, sweka ndani na shitakiana shitakiana za watumishi wao, serikali yetu isipowasikiliza, then watatushitaki MIGA!.

My Take.
1. Kwa serikali yetu: kwa vile tunamazungumzo yanayoendelea kati ya serikali yetu na Barrick kuhusu Acacia, na msingi mkuu wa mazungumzo hayo ni Trust and Transparency, yaani kuaminiana na uwazi, kitendo cha kuwashitaki Acacia kwa jambo linalozungumzika mezani, ni breach of trust, kwa nini matatizo yote kabisa ya Acacia na serikali yetu yasiwe consolidated na kupelekwa kwenye meza ya mazungumzo?. Na kama haya mashitaki ni hasira tuu za kucheleweshewa kila kishika uchumba chetu, simamisheni kwanza kila kitu, kishika uchumba kitoke, ndipo mazungumzo yaendelee!.

2. Kitendo cha wanasheria wetu nguli, kukubali kufanya mazungumzo na Barrick bila mhusika mkuu Acacia kushirikishwa, ni udhaifu mkubwa, kwa sababu chochote kitakachokubaliwa, the final ni Acacia na sio Barrick, its not too late kuwakaribisha Acacia now, ili chochote kitakacho fikiwa na mazungumzo yale kiwe ni final and conclusive.

3. Pia tumeonyesha udhaifu kwenye composition ya timu yetu ya mazungumzo, kumbe hatuna watu wa PCCB mule?!, ndio maana huku serikali yetu inazungumza na Barrick kuhusu Acacia, huku BCCB wako busy kuwafungulia mashitaka, tuiongeze timu yetu tuwaweke watu wa kila sekta, ili kila kitu kiwekwe mezani, likiisha liishe jumla.

4. Kwa Acacia: Unapokuwa kwenye nchi ya watu, ukijivunia rasilimali za nchi hiyo, inakubidi uwe na adabu na heshima, sometimes unaweza kulazimika kukaa kimya tuu hata kama unaonewa, ili uzimuudhi mwenye mali!, huwezi kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ni nchi yenye safety and security risk, kwa sababu tuu watu wako wameshitakiwa!.

5. Mwisho: Serikali yetu iwe wazi, truthfully na very transparently kinachoendelea kwenye mazungumzo yetu, its not fair, hata sisi Watanzania wenyewe, tunapata updates kutoka Barrick au Acacia, tungependa kupata taarifa rasmi kutoka kwetu.

Paskali

Mr. Paskali

Get to know what you ought to, and what is not supposed to stay far from it.

To ACACIA: Criminal is criminal, when you are in any free country you have to adhere to the laws of country and not the laws of the jungle... Bribes and corruption are against our laws, you won't stay untouched simply because you bare the title "investor".
ETI UTOE RUSHWA tena kubwa kubwa Kisha uachwe tu kisa wewe ni mwekezaji na utatutangaza vibaya.

BARRICK & TANZANIA. : Paskali knows (because he is a lawyer) kwamba kwenye Parties to Contract the ACACIA was not there .
Tanzania is in talks with whom waliingia makubaliano. Yeye Barrick sasa ndo akae na mwanae wajue wanayajenga vipi.
Kudhihirisha hili hata acacia mwenyewe "inasemekana" anajiuza kwa wachina, na kwa jeuri yao ama mbinu ya kibiashara Barrick "ameshanunua" kampuni ambayo acacia anataka kujiuza kwao...🤣🤣🤣🤣
Tunaweza kujifanya kuongea na acacia kesho mezani wakaja WACHINA :...... SISI WA KWETU NI BARICK

TERMS ZA MAZUNGUMZO
Toka awali nimeona kama mazungumzo ni siri, vipi sasa iweje kuwe na pressure kutoka kwa ACACIA kutaka kujua yajadiliwayo???? tena Acacia anatumia mbinu nyingi za kutaka kujua kilichomo lakini mara zote anagonga mwamba.
Ametumia WANAHARAKATI, WANASIASA na sasa naona WAANDISHI NGULI wakipitia njia mbalimbali chokonozi ili serikali ijibu hata kidogo wapate clue.!!

SERIKALI:
Pigeni buyu hivyo hivyo, na endeleeni na mazungumzo kimya kimya huko ARUSHA tena kwa usiri wa hali ya juu kwa faida ya vizazi vyetu na vijavyo.

DINI:
Binafsi nawashukuru watu wa "Dini" kwa kukesha kwenye maombi hasa prior 2015.
Waliomba sana AMANI Tanzania, waliomba Mungu awape kiongozi ambaye atawaunganisha watanzania na kuiendeleza Nchi.
Atakayesimamia rasilimali kwa manufaa ya nchi na si yake binafsi. Na maombi memgine mengi.
AJABU!! Mungu ametupa tulichoomba eti tunakataa na kusema huyu mkali sana, JE HATUAMINI MAOMBI YETU??????????
 
Mkuu mbona hata hapo padogo panaeleweka vizuri

hapo padogo panaeleweka halafu kwingine uongo sio?

ni wapi ACACIA wamesema "watafanya majadiliano na serikali, kuachana na hizi kamata, kamata, sweka ndani na shitakiana shitakiana za watumishi wao, serikali yetu isipowasikiliza, then watatushitaki MIGA!"

Wamesema kesi iko MIGA tayari!

Mayalla analisha sana matango pori, akisoma sources za nje huko mara nyingi haelewi na akielewa anasahau hapo hapo.
 
Hamuitendei kabisa haki nchi yenu kwa kutukana na kukashifu hivi. Unajua hakuna kitu kibaya kama kukashifu kitu bila kutoa njia mbadala ya kutatua hilo tatizo. Kama umefuatilia vizuri historia ya nchi na kufikiri bila kuleta hisia utafahamu kwamba huu mgogoro wa kula rasilimali za nchi zetu haukuanza na Raisi Magufuli. Tangia kipindi cha Baba wa Taifa mataifa ya nje yalikuwa yanataka kutafuna nchi yetu na kutuacha sisi masikini. Hivi kwanini haya hamyaoni lakini ?

Raisi Magufuli anakosea kwenye mengi na anatakiwa kukemewa anapofanya hivyo, lakini katika hili naona wengi mnakuwa na hisia sana bila kufikiria vyema. Hivi kama wakina Raisi Mkapa na Andrew walisaini hii Mikataba Mibovu inayoumiza nchi basi na sisi tukubali tu sheria ichukue mkondo wake na nchi iendelee kuumizwa ? Kwa miaka yangu ambayo nimesoma nina uhakika kwamba haya mazungumzo hata yangefanywa na hao wakina Tundu Lissu sidhani kama yangekuwa marahisi kama ambavyo anasema.

Ukishakosea kusaini mikataba basi lazima ujue kwamba utakuwa na nafasi ndogo sana Mahakamani au kwenye Bodi ya Usuluhishi. Na huu ndiyo mzizi wa matatizo hapa nchini, huyu mzee wa watu hapa mtamchukia na kumuonea bure wakati yeye anajaribu kutibu makosa yaliyosababishwa na serikali zilizopita. Hebu muweni waungwana mazee!
Mkuu umeongea vizuri sana, tena sana, sisi sote lengo na wazo letu ni moja, ila sasa lawama zinakuja kwa JIWE kwakua yeye kataka kutuaminisha kwamba Lissu ndo amewaambia Accacia atuibie! Yaani kila wakizungumzia hili suala eti Lissu ndo kasababisha haya yote, lakini wanajitoa ufahamu kabisa alichofanya BWM na vijisenti.

Na hii ndo inaleta mgawanyiko baina yetu, huyu Lissu wakati anapiga kelele kule bungeni miaka ya nyuma kuhusu hii mikataba huyu JIWE na yeye alikua mulemule bungeni na wao ndiyo walikua wakwanza kuzomea, kukashfu na kunanga hoja za Lissu, ndo hawa hawa walikuwepo bungeni kusema Ndiyooooooooooooo.... Halafu leo badala ya kuungana na kumuuliza Lissu mwenzetu umefikia wapi kwenye ufuatiliaji wa huu wizi wa rasilimali zetu wanaamua kumuita msaliti na kumuachia ulemavu.

Ni kweli sisi kama Watanzania kwa mazingira yaliyopo hatuwezi kumshauri lolote JIWE kwenye hii issue, ila tunaona, na tunajua wapi tunadanganywa na wapi tunaambiwa ukweli, hata kama Lissu angekufa mwaka mmoja uliopita bado hiyo haingefanya tuamini kwamba ni kweli Lissu ndo amesababisha tuibiwe rasilimali zetu.

Hakuna kitu kizuri kama kukiri kosa na kujua kujirekebisha, ila sasa kitendo cha CCM kujifanya leo inauchungu sana na Accacia wakati wengi washatajirika kupitia hiyo accacia ni unafki wa kiwango chakavu kabisa!

CCM mliiuza nchi, mnatakiwa kukiri kosa na kuomba msamaha halafu sote kwa pamoja tuungane kuona tunajikwamuaje hapa tulipo, ila mkitaka kufanya kama mnavyofanya sasahivi hakika hamtofanikiwa zaidi ya kuendelea kupata hasara na kwa hasira mtaendelea kuwalaumu wapinzani.
 
Mkuu umeongea vizuri sana, tena sana, sisi sote lengo na wazo letu ni moja, ila sasa lawama zinakuja kwa JIWE kwakua yeye kataka kutuaminisha kwamba Lissu ndo amewaambia Accacia atuibie! Yaani kila wakizungumzia hili suala eti Lissu ndo kasababisha haya yote, lakini wanajitoa ufahamu kabisa alichofanya BWM na vijisenti.
Kaka hili la raisi Magufuli kuendesha nchi kienyeji na kisiasa hata mimi nalilaani na wala sintaacha kulilaani kabisa. Barrick/Accaccia wameanza kutuibia muda mrefu sana hata kabla ya utawala wa JK na JPM. Hapa mimi ninachopinga na ndugu zangu wengi ni kutaka kulifanya hili swala la kisiasa na kusema kwamba Barrick/Accaccia wanaonewa kisa tu wanamchukia Magufuli.

Nimewaambia hivi kwamba hata angekuwa Raisi mwingine mwenye uchungu na nchi hili swala la Barrick/Accaccia lazima angepambana nalo tu. Ukweli mchungu ni kwamba sisi kama nchi tuna udhaifu mkubwa wa kisheria kwa kusaini mikataba mibovu na huu ndiyo udhaifu ambao Raisi Magufuli na genge lake hawataki kabisa kukubali.

Sasa basi:
Tatizo langu mimi na vijana ni kwamba:
1. Mimi ni muumini wa ile kauli mikataba ya madini urudiwe upya.
2. Mimi ni moja ya watu wanaolaani mchezo wa Barrick/Accaccia kuendesha baadhi ya shughuli kinyume cha sheria za nchi na Mkataba. Mfano Kuchukua madini msiyoruhusiwa, Kukwepa kodi na kuendesha biashara isiyosajiliwa.
3. Mimi ni muumini wa uwekezaji na naamini kwamba Tanzania itaendelea kama itafikia makubaliano ya kiungwana na haya makampuni ya madini na siyo kuyafukuza. Tatizo langu kubwa ni pale ambapo hili kampuni na baadhii ya wanasiasa wanapotaka kusema kwamba Tanzania inawasingizia na wao siyo wezi.


Na hii ndo inaleta mgawanyiko baina yetu, huyu Lissu wakati anapiga kelele kule bungeni miaka ya nyuma kuhusu hii mikataba huyu JIWE na yeye alikua mulemule bungeni na wao ndiyo walikua wakwanza kuzomea, kukashfu na kunanga hoja za Lissu, ndo hawa hawa walikuwepo bungeni kusema Ndiyooooooooooooo....
Hapa ndugu yangu nakubali ukweli wote kabisa kwamba Lissu ni moja kati ya wanasiasa waliolizungumzia hili swala kizalendo sana hata kabla ya kuwa mbunge. Lakini kuna mambo mengine ambayo huyu ndugu yangu naye huwa anakosea au anapotosha kwasababu za Uzandiki wa kisiasa: This is not fair kabisaa. Kuna mambo mengi Lissu huwa namsikiliza anapotosha kwasababu za kisiasa.

Huwa nawaambia vijana kwamba kabla ya kumwamini mwanasiasa yoyote yule, basi za kuambiwa changanya na zako. Fikiri vizuri, chuja hoja na usitegemee sana kauli za wanasiasa.

CCM mliiuza nchi, mnatakiwa kukiri kosa na kuomba msamaha halafu sote kwa pamoja tuungane kuona tunajikwamuaje hapa tulipo, ila mkitaka kufanya kama mnavyofanya sasahivi hakika hamtofanikiwa zaidi ya kuendelea kupata hasara na kwa hasira mtaendelea kuwalaumu wapinzani
Ni kweli kabisa CCM ndiyo wamefikisha nchi hapa na atakaye kataa huu ukweli ni mnafiki na wala haitakii kabisa mema nchi. Ndiyo maana mimi nikasema hivi, kabla ya Raisi Magufuli hajatoa kibanzi kwa wakina Deo Mwanyika basi atoe maboriti kwake. Mkapa, Chenge na Kikwete waliosaini hii mikataba mbona bado wako hai na hawawajibishwi kivyovyote vile ???
 
Kaka hili la raisi Magufuli kuendesha nchi kienyeji na kisiasa hata mimi nalilaani na wala sintaacha kulilaani kabisa. Barrick/Accaccia wameanza kutuibia muda mrefu sana hata kabla ya utawala wa JK na JPM. Hapa mimi ninachopinga na ndugu zangu wengi ni kutaka kulifanya hili swala la kisiasa na kusema kwamba Barrick/Accaccia wanaonewa kisa tu wanamchukia Magufuli.

Nimewaambia hivi kwamba hata angekuwa Raisi mwingine mwenye uchungu na nchi hili swala la Barrick/Accaccia lazima angepambana nalo tu. Ukweli mchungu ni kwamba sisi kama nchi tuna udhaifu mkubwa wa kisheria kwa kusaini mikataba mibovu na huu ndiyo udhaifu ambao Raisi Magufuli na genge lake hawataki kabisa kukubali.

Sasa basi:
Tatizo langu mimi na vijana ni kwamba:
1. Mimi ni muumini wa ile kauli mikataba ya madini urudiwe upya.
2. Mimi ni moja ya watu wanaolaani mchezo wa Barrick/Accaccia kuendesha baadhi ya shughuli kinyume cha sheria za nchi na Mkataba. Mfano Kuchukua madini msiyoruhusiwa, Kukwepa kodi na kuendesha biashara isiyosajiliwa.
3. Mimi ni muumini wa uwekezaji na naamini kwamba Tanzania itaendelea kama itafikia makubaliano ya kiungwana na haya makampuni ya madini na siyo kuyafukuza. Tatizo langu kubwa ni pale ambapo hili kampuni na baadhii ya wanasiasa wanapotaka kusema kwamba Tanzania inawasingizia na wao siyo wezi.



Hapa ndugu yangu nakubali ukweli wote kabisa kwamba Lissu ni moja kati ya wanasiasa waliolizungumzia hili swala kizalendo sana hata kabla ya kuwa mbunge. Lakini kuna mambo mengine ambayo huyu ndugu yangu naye huwa anakosea au anapotosha kwasababu za Uzandiki wa kisiasa: This is not fair kabisaa. Kuna mambo mengi Lissu huwa namsikiliza anapotosha kwasababu za kisiasa.

Huwa nawaambia vijana kwamba kabla ya kumwamini mwanasiasa yoyote yule, basi za kuambiwa changanya na zako. Fikiri vizuri, chuja hoja na usitegemee sana kauli za wanasiasa.


Ni kweli kabisa CCM ndiyo wamefikisha nchi hapa na atakaye kataa huu ukweli ni mnafiki na wala haitakii kabisa mema nchi. Ndiyo maana mimi nikasema hivi, kabla ya Raisi Magufuli hajatoa kibanzi kwa wakina Deo Mwanyika basi atoe maboriti kwake. Mkapa, Chenge na Kikwete waliosaini hii mikataba mbona bado wako hai na hawawajibishwi kivyovyote vile ???
Asante! Tatizo sasa ndiyo palepale kuyashughulikia mambo "kisiasa". Kumbuka JPM aliapa "kuwalinda" wastaafu, kwahiyo hawezi kuruhusu hawa jamaa wawajibishwe kwa namna yeyote ile. Na mzizi wa haya mambo yooote ya kulindana unatokana na KATIBA mbovu! Laiti kama tungepata KATIBA nzuri leo hii nchi ingekua mbali sana, si ajabu hata zile hela "fiction" tunazoambiwa tunawadai Accacia tungeshalipwa! Ila sasa kila kiongozi anayekuja anatumia Katiba dhaifu kujijenga ili atapostaafu asisumbuliwe, ni lazima tufike mahala sisi kama sisi bila kutegemea wanasiasa tusimamie mambo muhimu kama Katiba yatakayoleta mustakabali mzuri kwa taifa letu.. Mimi kila nikiangalia haya mambo yanavyoenda huwa nawawazia watoto wangu kwamba wataishi katika Tanzania ya namna gani mimi nikishatoweka duniani.

Kuhusu hili la mikataba ipo haja ya kulijadili tena ila sasa safari hii wasiwepo wanasiasa mezani, Hao Acaccia wakae na wataalamu wetu wa sheria na madini, Ikiwezekana Waajili kwaajili ya kazi hiyo tu wanapokosea inakua rahisi kuwawajibisha kama tu wanavyowajibishwa watu wengine wanapokiuka miiko yao ya kitaaluma au wanaposababisha ubadhilifu wowote.

Kuendelea kuwategemea wanasiasa kwenye mambo nyeti ya taifa letu ni kuendelea kujisokomeza gizani ambako hata mwanga wa jua hautotusaidia kutoka.
 
Unatakiwa kukaa kimya kama huna hoja ya kuchangia waache wanao elewa hii ya accacia kwani hawa walioianzisha wanaijua zaidi kuliko wewe.
Tatizo kubwa nchini kwa sasa ni baadhi ya watanzania kusadiki na kuabudu kuwa kila jambo analofanya mtukufu lipo sawa na halihitaji mjadala wa kitaifa na wanasheria nguri, hilo ni tatizo kubwa kwani wao ni binadamu na wana mapungufu yao lazima watambue mitizamo ya wananchi wengine wa Tanzania ndipo itakuwa sawa.ccm kuingiza propaganda kwenye hilo suala la uchimbaji wa madini ndiko kulikopelekea kuleta mkanganyika mpaka sasa.
 
Unatakiwa kukaa kimya kama huna hoja ya kuchangia waache wanao elewa hii ya accacia kwani hawa walioianzisha wanaijua zaidi kuliko wewe.
Acha hizo wewe unaelewa nini? kwani tatizo ni Acacia? au wale waliowaleta Acacia? Kiini cha tatizo ni wale waliowaalika Acacia na kuingia nao mikataba ya ajabu mikataba ya kijuha ambayo inawalinda Acacia ndiyo maana Tundu lisu alisema njia bora ya kukomesha wizi ni kurejea kwenye mikataba upya iandikwe upya ili iendane na wakati na isimame kwenye masilahi ya watanzania ndipo tutamaliza tatizo, lakini kuendelea kupiga kelele kuwa tunaibiwa mara hoo hivi viler...! Pasipo kurekebisha mikataba upya lazima Acacia na Barrick wataendelea kuvuna chao kulingana na mikataba waliyosaini na viongozi wa CCM.
 
Wizi wote wa kigeni nchini umeharalishwa na CCM na watu wake, kikulacho ki ngoni mwako, yaani CCM ipo ngoni mwa watanzania na ndiyo sumu inayoimaliza Nchi ya Tanzania.
 
Kwa vile mazungumzo yamemalizika rasmi, wewe kama mwana JF, be the first to know kuwa next mention ya kesi ya mabosi wa Acacia, DPP wetu atawasilisha Nolle, kesi ndio zitaishia hapo.

P
 
Kwa vile mazungumzo yamemalizika rasmi, wewe kama mwana JF, be the first to know kuwa next mention ya kesi ya mabosi wa Acacia, DPP wetu atawasilisha Nolle, kesi ndio zitaishia hapo.

P

Na ikitokea hivyo ujumbe utakaokuwa umetolewa kwa kila foreign investor ni kuwa Tanzania haina independent judiciary which means anything the government wishes the judiciary will comply. Ujumbe wa aina hiyo unaondoa investors' confidence.
 
Back
Top Bottom