Abuse..( Dhuluma)

my dear samhani sana
ila huo ni mfano tu ..
na nimeweka hivyo maana
ni majority (wanawake na watoto)
mara nyingi lakini kweli kuna
wanawake wengine ni sumu pia..
samahani kama nimekukwaza

wema-page32-insert.jpg


Ukichuja unadhurumiwa haki zako zote za msingi
 
asante sana kwa mtazamo wako
ningependa kukuliza ni group gani la watu
mfano.. watoto , wanawake, waume , vijana
wanaokubwa na hizo type za abuse na kwa nini
hilo group is the main target???
ntakuongezea maswali baada ya hayo ..
mmmhh Pole ae usinichukie sababu nakubana sana
hahahhahaah lol unasaidia wengi dear ..

Kimahesabu waadhirika wakuu ni wanawake na watoto mydear; kimwili, ngono na kutelekezwa Ila matusi waathirika wakubwa ni wanaume majumbani ndio hudhalilishwa kwa kiasi kikubwa pia makondakta wa daladala na madereva wao, wenye magari (tunajiita madereva) hapa dsm wana/tuna matusi sana. hate ipo upande wote na inasababishwa na rangi, kabira, dini, utaifa matabaka nk waathirika wakubwa ni minority. sina uhakika kama nimeandika ulichotaka niandike mydear
 
my dear samhani sana
ila huo ni mfano tu ..
na nimeweka hivyo maana
ni majority (wanawake na watoto)
mara nyingi lakini kweli kuna
wanawake wengine ni sumu pia..
samahani kama nimekukwaza
Naandaa mkanda aliosema CPU hapo juu!
 
Hii topic ina mambo mengi sana my dia
Yaani ni kama umekusanya mafaili ya ofisi tatu za Mamlaka za Kodi nchi za USA, China na Brazil halafu umeweka ktk kajidude kamoja kadogo (flash)

Kwanza naomba nikurekebishe kwamba Sexual Abuse tunatafsiri kwa kiswahili kama Unyanyasaji wa Kijinsia

hatari.jpg


Naomba sasa nielezee kisa kimoja cha Unyanyasaji wa Kijinsia.

Kuna mdada ana mtoto mmja ameolewa, ana miaka minne katika ndoa yake, alizaliwa miaka 24 iliyopita.
Yeye na mume wake walikua wana pendana sana na mpaka sasa mdada anasema bado anampenda tena sana mume wake.

Ananiambia, " Yaani CPU, siku hizi mume wangu kabadilika sana kiasi najuta hata kuolewa yaani kidogo kanitukana mara mshenzi mara mjinga mara ananitisha kunipiga kwa kusema mimi simjui vizuri ndio maana nashindwa kufanya atakavyo.

Ukweli ninachanganyikiwa mume wangu anakuwa kigeugeu anaweza akakwambia "mimi sipendi uvae nguo ndefu", ukivaa fupi kwa muda huo aliosema anafurahi sasa itokee siku nyingine akuambie tutoke ukivaa hiyo nguo fupi anaanza
" . . . . unaenda kumuonyesha nani? Unatakautongozwe kwani mimi sikutoshi? "
Ukivaa ndefu au suruali ananyamaza.

Juzi simu yangu ilijizima nikiwa salon iliyo nje ya uzio wa nyumba tunayo ishi. Akampigia rafiki yake akaja mpaka saloon nikaongea naye kupitia simu ya rafiki yake. Jamani hakutaka kukata simu mpaka muda wa kazi uishe, karudi home hakuna salam ananiambia "utanieleza uliko kuwa" huku anatafuta mkanda aanze shunghuli. Mimi nikamwambia mimi sijatoka hata gengeni sikwenda.

Siku hiyo ndipo alipo mwita mtoto wake mwenye miaka minne nilimkuta naye akamuuliza, ndipo mtoto akamwambia "mama leo hajaenda mahali zaidi ya saloon anako sema" mume wangu akaona aibu akaondoka.

CPU, hata sasa nikimuuliza kwa nini ananifanyia hivyo ananiambia nisimkumbushe anakasirika mpaka nashindwa hata kuendelea kumuuliza. Ni mengi lakini naomba unisaidie "


hapa naoana Verbal abuse pamoja na hate
sasa CPU my dear dahhhhh pole sana
umeweza msaidia vipi??
au umepa maneno gani ya kumfariji??
 
  • Thanks
Reactions: CPU
Tabia ni kama ngozi ya mwili na mtoto wa nyoka ni nyoka;
Hivi vitu vilikuweko toka enzi za babu yetu DAUDI kwani alimdhulumu askari wake mke tena akampeleka vitani ili auawe ndo aweze kumla mjane kwa raha zake.

Haya mambo ni takribani 95% ya mambo yatendekayo duniani, halafu 5% ni usamaria wema ambao usipokaa vizuri unapigwa changa la macho pia.

dahhh my dear
hiyo number kwenye red
menishtua kidogo jamani mmmhh
kwa hiyo unasema percentage kubwa ya watu
wamepitia some sort of abuse??
 
Oh dear siku hizi mbona watu wengi wamefungwa sana tu.Zamani jinai hizi zilikuwa haziadhibiwi kwa sababu ya ukimya wa jamii,siku hizi watu wameamka,wakiona mathalan mtoto kafanyiwa mbaya wanachofanya ni kumtonya mwandishi wa habari(wamejaa tele mitaani tunakoishi),akishaaandika tu kwenye gazeti/TV/radio -hasa kipindi cha clouds 'Leo tena' saa 3 asubuhi,Kova akisikia tu wangu wangu anatuma vijana wa kazi maana anajua kesho yake media itamdai mrejesho.

Very very happy to hear that...
Big Up TZ.. sante Bishanga sante sana
 
wema-page32-insert.jpg


Ukichuja unadhurumiwa haki zako zote za msingi

Huyu mdada kulia ni mzuri sana kwa muonekano.
Hata nikimuona ktk maigizo yake na sauti yake kwa kweli yuko kipekee.
Binafsi nakiri (mimi kama mwanaume) amenivutia sana kwa sifa za muonekano
Tatizo ni tabia za kichwani mwake
Atakae muoa huyu, kama akiwa mtu wa aina ya Dudu Baya uzuri wake wote utapukutika
 
haka nako ni ka kupeleka lupango,tumikono twenyewe twa kupiga mtu tuko wapi?

Yaani ukiangalia mikono yake, hauna tofauti na wa huyo mdada
Basi tu mdada wa watu hajiamini, angeweza kumdunda vizuri
 
Huyu mdada kulia ni mzuri sana kwa muonekano.
Hata nikimuona ktk maigizo yake na sauti yake kwa kweli yuko kipekee.
Binafsi nakiri (mimi kama mwanaume) amenivutia sana kwa sifa za muonekano
Tatizo ni tabia za kichwani mwake
Atakae muoa huyu, kama akiwa mtu wa aina ya Dudu Baya uzuri wake wote utapukutika

Nasikia amesha mwagana na Diamondo anajiita rais wa wasafi

Sijui anamnyemelea mzee wa combinanga? Lakini hamuoni kama nae anafanya dhuruma ya mapenzi?
 
hapa naoana Verbal abuse pamoja na hate
sasa CPU my dear dahhhhh pole sana
umeweza msaidia vipi??
au umepa maneno gani ya kumfariji??

mambo mengi sana nilimsaidia nikishirikiana na wanaume wenzangu. Yaani tulishughulika na Mume zaidi kuliko mke
Lakin hatua ya kwanza ilikuwa ni kutambua rafiki best wa Mume.
Tulimsoma tabia na mienendo yake kwanza
Tukamtengenezea bifu la kufa mtu
Alikosa amani kabisa, akajiona kama ameshatengwa.
Akaamua kutuomba tumuambie alichotukosea ili ajirekebishe (aliongea kwa upole)
Hapo sasa ndio tukaamua kumpa LIVE ZA USO (yaani tulimwambia visa vyote alivyokuwa anamfanyia mke wake)

Alivyobadilika sasa hivi utasema hajawahi kuwa mkatili au ni mpole sana na anampenda sana mke wake. Utamsifia mke kwamba amepata mwanaume wa kweli
 
Nasikia amesha mwagana na Diamondo anajiita rais wa wasafi

Sijui anamnyemelea mzee wa combinanga? Lakini hamuoni kama nae anafanya dhuruma ya mapenzi?

Wanaume wote wanajua kwamba huyu mdada amewahi kuvuta bangi (sijui kama bado anaendelea au la)
Hivyo wanapoingia nae kimahusiano wanajua huyu si MKE bali ni NUNGA LA EMBE.
Yaan wanam-treat ki-bangi bangi kama akili zake. Wanadunga wanatambaa.
Bora ufe kwa ukimwi kuliko kuoa mwanamke wa aina hii
 
unaweza sema asilimia 75
ya ndoa zina unyanyasaji hasa kwa wanawake......
na athari zake ni mpaka kwa watoto.....
tanzania...
 
AD,

Hii topic imenigusa sana. Labda kwa vile mimi ni victim kwa namna moja au nyingine wa domestic violence na pia kwa vile mimi nachukia haya mambo. Nadhani haya matatizo yanajitokeza sana kwenye familia zetu kwa sababu watu wanatanguliza ubinafsi zaidi. Iweje mtu amtendee mwenzie yale ambayo asingependa kutendewa?

Kuna jamaa yangu alikuwa mpenzi sana wa vibinti vidogo. Ila watoto wake (girls) walipofikia umri wa puberty alipiga marufuku vijana wa kiume hata ndugu zake wa karibu kuja kukaa kwake!!!

Nitarudi tena baadaye.


Mzee DC.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom