afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,206
- Verbal abuse (matusi),
- Physical abuse (kimwili),
- Sexual abuse(unyanyasaji wa ki jinsia,)
- (Neglect)kutelekezwa)
- Hate (chuki)
ni vitu ambavyo vinatokea kila saa, tonaona jinsi watoto wetu
wanavyo danganywa na wazee wazima, tunaona jinsi mama zetu
wanavyopigwa na kutukanwa, tunaona jinsi watu wanavyotengwa na jamii
sababu ya vitu wanavyofanya au jinsi walivyo na ambayo ipo kila sekunde
ni sisi kwa sisi kuchukiana .
wandugu ningeomba sana leo tuongelee hizi Dhuluma..
Nini kinampeleka mtu kufanya haya mambo??
Je kila afanyaye haya mambo ni mtu mmbaya??
na ni vipi tunaweza kuwasaidia waliokuwa kwenye hizi
situation .... You are more than welcome to share anything....
(samahani wakuu ningeomba sana tutumie lugha ya kiswahili na English kidogo)
(ili kila mtu aelewe )
AD